Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Nimecheka sana baada ya kuiona video hii ya bwana mdogo akilia huku akitoa maneno nataka kuhamia Yanga Hii yote inatokana na mateso ya kufungwa timu yake ya Simba, kwahiyo dogo kaona ya nini...
4 Reactions
4 Replies
472 Views
I will be short list yangu ya matapeli since 2014 - 1. Vítor Salvador (Jul 2014 - Jun 2015) 2. Goran Kopunovic (Jan 2015 - Jun 2015) 3. Dylan Kerr (Jul 2015 - Jun 2016) 4. Pierre...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Leo katika historia, Itachukua miaka 20 ndipo simba ichukue ubingwa kwa sababu hawana akili hawashauriki pablo franco" Simba haitakuja kubeba ubingwa Hadi miaka 10 ipite ....kama GSM yupo..."...
9 Reactions
15 Replies
989 Views
Nilisema toka mwanzo kwamba mpira wa Afrika umeporomoka sana na ndio maana hata vilabu hivi vya Tanzania vinaonekana kimakosa kwamba ni vizuri. Ukiangalia jinsi vilabu vinne vya Afrika vilivyo...
2 Reactions
5 Replies
557 Views
Kutokana na kiwango kisichoridhisha cha hii timu ni dhahiri msimu huu hii timu haiwezi kuwa bingwa kwenye mashindano yoyote inayoshiriki. Kuna uwezekano mkubwa Yanga akatetea makombe ya Crdb...
10 Reactions
36 Replies
2K Views
Aziz Ki bado ana nafasi ya kurejea Yanga Aziz Ki alijiunga na Wydad kwa mkopo mfupi wenye kipengele cha kununuliwa mazima kabla ya tarehe 10/07/2025. Makubaliano ya Yanga na Wydad ni kulipwa...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
I will be short. club world cup updated points ni points za caf champions league tu. in short team za caf confederation cup hazipo. hii ndo list za point accumulated for fifa 2029 club World...
3 Reactions
54 Replies
3K Views
JKU VS Yanga SC | Fainali Kombe la Muungano | Mei 1, 2025 Mchezo unaendelea Goooooooooooooo! Max Mpia anawapatia goli la kwanza Yanga Yanga anakuwa bingwa wa kombe la Muungano 2025 Go
1 Reactions
42 Replies
4K Views
Siku ya Tarehe 25/6/2025 kutakua na ligi kubwa itakayofanyika DODOMA ligi hiyo itawakutanisha mafundi wa drafti kutoka sehemu tofauti tofauti hapa nchini ZAWADI KWA WASHINDI...
9 Reactions
102 Replies
3K Views
Alichokiandika Meneja Habari Wa Azam ZakazaKazi Baada Ya Yanga Kuishinda Simba… SASA NI TANO KWA TANO Agosti 9, 2023 Azam FC ilifungwa 2-0 na Yanga kwenye Ngao ya Jamii jijini Tanga, Shabiki...
13 Reactions
17 Replies
2K Views
Baada ya kuchambua kwa kina hizi timu za kibongo na sasa nimejiridhisha kuwa Bingwa wa NBC Premier League msimu wa 2023/2024 atakuwa timu ya Simba Sc, mpaka ligi NBC inafika ukingoni Simba Sc...
25 Reactions
153 Replies
14K Views
Nimepata habari za chini chini kuwa , Bodi ya Ligi inapanga kutumia staili na busara iliyotumika katika derby ya Al ahly na Zamaleki. Bodi ya Ligi Haina mpango wa kumpokonya Yanga point 15. Kwa...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Msimamo wa makombe msimu huu kwa kilabu ya 5imba mpaka sasa Ngao ya jamii ❌ Cafcc ❌ Muungano ❌ CRDB cc ❌ NBC Premier League ❌
9 Reactions
17 Replies
933 Views
Simba imechangia kwa 100% katika ubingwa wa yanga msimu uliopita,wamegawa utamu kotekote,nyumbani na ugenini,alama 6 kwa mpinzani wake waliekuwa wanapigania ubingwa Lakini ukiangalia kwa umakini...
3 Reactions
6 Replies
677 Views
Anawaambia watoe hoja zenye mashiko zitazomfanya afikirie kujiuzulu👇
10 Reactions
23 Replies
1K Views
"Mchezaji mwenye matumizi bora ya Mguu wa Kushoto ni Mohamed Hussein (Simba), Mchezaji bora matumizi Mguu wa kulia ni yeye Feisal Salum (Azam FC), Mmaliziaji bora amemtaja Prince Dube (Young...
8 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu amezungumza kuhusu matokeo ya derby ya jana na kujibu kuhusu baadhi ya maoni ya mashabiki wa klabu yake kuto kumuamini na kumtaka aondoke kwenye uongozi.
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Klabu ya paok imethibitisha kuachana na Samatta siku ya jana
13 Reactions
44 Replies
3K Views
Arsenal inapigana vikumbo na wapinzani wao wa Kaskazini mwa London, Tottenham katika mbioz za kumsajili kiungo wa Crystal Palace na England, Eberechi Eze, 26, ambaye anatajwa kuwa na thamani ya...
1 Reactions
8 Replies
705 Views
Nilikuwa najua ni utani wa Ally Kamwe tu kumbe kweli bwana. Aisee kwa hali hii nadhani mzee Mangungu atupishe tu. Ikumbukwe pia Feitoto na Jonathan Soah tayari wamesha saini Yanga.
2 Reactions
4 Replies
854 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…