Klabu ya Simba SC imekubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Kenya Police FC ya nchini Kenya katika mchezo wa Simba Day uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru.
Matokeo hayo yamekuja katika kilele cha...
Kivyovyote itakavyo kuwa tatizo kubwa la Simba msimu ujao,ni safu ya ushambuliaji.
Kwa jinsi kikosi kilivyo hatutarajii goli za kutosha kwenye michezo ijayo goli 0-2 inatarajiwa kutokea mara...
Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba imefikia uamuzi wa kusimamisha kwa muda masuala na matukio yote yaliyokuwa yakiendelea kuhusiana na Baraza la Wadhamini la klabu hiyo, ili kutoa fursa kwa...
UEFA isema katika taarifa yake kuwa ombi la msamaha la Rais wa FIFA, Gianni Infantino, halibadilishi kitu chochote, na kwamba vyama vyake wanachama 55 vinasalia kwenye msimamo wa mpango wao wa...
Haiwezekani timu ambayo imechukua ubingwa miaka 5 mfululizo inazidiwa promo na Simba ambayo haikua na kombe lolote,kitengo hicho kinapaswa kuongezewa pro active mmoja ambae pia ni muongeaji na...
Yeah nawapongeza sana Simba sc, kwasababu naona nafasi ya pili msimu wa 2026/2027 nafasi yao iko very secured.
Naona mabeki wao wazuri Kameta Duchu, Kibabage wakipambana angalau wafikie nafasi...
Police have arrested two suspects and recovered dozens of suspected stolen mobile phones as investigations continue into the murder of Owor David, a captain of Villa Football Club.
According to...
Pamoja na kufanya maboresho kadhaa ya kikosi kwenye dirisha kubwa la usajili, Klabu ya Simba inatarajiwa kuonyesha sura ya kikosi chake kitakachopambana katika msimu wa 2026/27 wakati wa Tamasha...
Mara baada ya kupata wasaha wakumsikiliza mara kadhaa, nimejiridhisha kuwa ndugu zetu wa Simba wana kila sababu ya kuhakikisha anabaki madarakani ili kuimarisha timu yao.
Sioni kiongozi wakumzidi...
Kama kuna tukio moja kubwa linalowakutanisha watanzania wengi kwa mara moja, basi tukio hilo ni Derby ya Kariakoo.
Hizi klabu mbili zinawaunganisha watanzania nje ya mipaka ya itikadi, dini...
🔥 COMEBACK 5 KUBWA ZAIDI KWENYE HISTORIA YA SOKA (2005–2025) ⚽🔥
🥇 1. Liverpool 3-3 AC Milan (2005)
Walikuwa nyuma kwa mabao 3-0 kipindi cha kwanza dhidi ya mabingwa waliotikisa Ulaya. Ndani ya...
Vilabu vya Simba SC, Yanga SC na Azam FC vimezindua rasmi jezi zao zitakazotumika katika msimu wa 2026/27, huku kila klabu ikiwasilisha muundo mpya unaoakisi utambulisho wake na malengo ya msimu...
Azam FC wanachofanya ni kiburi cha pesa ambacho hakina tija yoyote kwao.
Tangu usajiri wa Feisal ufanyike, Azam FC imeendelea kua msindikizaji Katika mashindano ya ndani na hata Yale ya...
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally ametanabaisha kwamba siku ya Simba (Simba Day) Jumamosi Agosti 8, 2026 ataingia Uwanjani kwa namna ya tofauti ambapo ataingia kwa kupaa na ungo.
Kuna nyakati chache katika historia ya soka ambazo dunia haichagui kwa kura, bali inakubaliana kimya kimya. Hakuna mkutano unaoitishwa, hakuna tangazo linalosomwa, lakini macho ya mamilioni ya...