Hapa ni mambo ya samaki, bei pooooaaaa, unakula tu mchemsho wa fish.
Na hizi ndizo ndizi zenyewe aina ya kulekule, ambako mwana mama akizila hizi Mambo ya "katerero" yanaenda sawia, maana...
Wakuu nisiwachoshe , amani ya Bwana ikawe juu yenu popote mlipo
Bila kinyongo na share picha yangu ya mwaka huu 2023 na kwa vizazi vyangu vijavyo, thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.