Huyu anaitwa Khadija Abrahamani ,,,,kwa Instagram anatumia yemenquendija,,,binti kaumba alafu kaumbika,,,na anavaa kwa heshima haswa kiukwel sisi wenye hela za mbuzi tutaishia kusifia tu kula...
Naombeni msamaha sijasalimia.
Mwenye kujua kwa kina matumizi ya hili dude chini na hiyo kamba iliyoning'inia kazi yake ni ipi. Leo nisijeharibu vitu vya watu kwakutokujua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.