Angalia picha hizi unaweza kufikiria kuwa picha hizi zimefanyiwa editing au photoshop si ndio?.
Ikiwa unafikiria kuwa editing basi unakosea, hiyo kitu nyeusi inajulikana kama Vantablack na ndio...
Huu ndio mwili wa firauni ambae umehidhiwa katka nchi ya Misri "Je wajua" firauni ndio mtu pekee ambaye hajaoza hadi leo wala haguswi na mdudu aina yoyote na ndio mtu pekee aliyekuwa anajifanya...
Zinaitwa face me I face you kwakua ukifungua mlango wa chumba chako inatazamana na jirani yako.
Ukipika pilau chakula kinachobaki utakinusa usiku mzima mpaka kesho hamu imekuishia.
Dah, kwa hali ngumu (katika awamu zote za uongozi tangu uhuru) tunayopitia halafu viongozi wetu na watoto wao wanasaza!!! Hawajali!!! Ebu mwangalie huyo mtoto!!! Inatia hasira sana!!!
Nb...
Inauzwa katika minada ya antique, ni picha chache za kuchora ambazo bado zinapatikana. Nimevuta hisia, maisha way huyu binti si ajabu hajui hata wazazi wake walipo. Sura yake haionyeshi furaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.