enzo1988
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 2,558
- 9,831
Dah, kwa hali ngumu (katika awamu zote za uongozi tangu uhuru) tunayopitia halafu viongozi wetu na watoto wao wanasaza!!! Hawajali!!! Ebu mwangalie huyo mtoto!!! Inatia hasira sana!!!
Nb: Wavuja jasho wenyewe wamekalia simba na yanga na connections plus tunda kimasihara!!!!
Nb: Wavuja jasho wenyewe wamekalia simba na yanga na connections plus tunda kimasihara!!!!