Hapa nanukuu maneno bora mno miongoni mwa maneno ya mwanachuoni huyu,alipokuwa anaelezea ukweli kuhusu Wanafalsafa.
Lengo la kunukuu maneno haya ni kuangalia ukweli na uzito wa maneno haya kisha...
Tunazaliwa, tunakuta baba anatuita fulani, mama naye.
Kaka pia anatuita hivyo, na dada na ndugu zetu! Kiukweli jamii nzima tumekuta inatuita tu fulanii fulanii.
Wapi tulikaa kikao, ni lini...
Sikilizeni ducumentary hii hapa kuhusua utafiri wa hivi karibuni yenye kichwa kinachosema
"Solving the Mystery of the 3,000 year old Paracas Skulls… Evidence of Ancient Aliens"
UPDATE...
ALAMA YA MNYAMA NI NINI?
UFUNUO 13:16 "Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa masikini, walio huru kwa watumwa watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso...
Nimejaribu kuleta mjadala wa kichwa husika hapo juu.tujadili.kwakutumia logic ya kawaida pamoja na laws of nature ilikuonesha uwepo wa Mungu bila kuhusisha kitabu chochote cha dini fuatilia.
Kila...
Hapa kuna nyekundu kijani na blue. Lakini nini kinafanya ujue kwamba unachokiona ni cha blue na mimi nakiona ni cha blue?
Rangi tumezipa majina ili iwe rahisi kupata reference wakati wa...
NB: Huu mjadala sio wa kubishana kama mungu yupo au hayupo.
Hapa ninataka kuwauliza Kwa upole wale tunaoamini tayari kuwa Mungu yupo...Je, kwanini yupo?
Yaani siulizi mungu ametokea...
Utulivu ni muhimu kwenye nafsi zenu wote.
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Wajuzi wa mambo wanasema ukweli unashangaza sana kuliko uhalisia wa mambo. Asilimia 100% ya vitu vinavyo tuzunguka...
Je, Unataka Kupima Nguvu Zako Za Ziada? Mind power? Fanya hivi:
Mahitaji:
1: Sauti Iliosawia Ya Kwako
2: Taa au Mshumaa
Fuata Yafuatayo Utaweza Kuwasha Na Kuzima Mshumaa Kwa Nguvu Ya Fikra...
Mungu wa biblia,
Imeandikwa katika biblia kuwa Mungu ndie alieliteua taifa la Israel kuwa taifa lake,ambalo kupitia taifa hilo neno lake lingesambazwa dunia nzima!
Katika kitabu hicho kimenadi...
Inawezekana katika kupita pita kwako kwenye mitandao umekuta jini huyu kazungumziwa sana lakini si kwa uwazi zaidi ya kuwa ana hakikisha ushindi kwako katika michezo ya kamari,
Hapa nitakujuza...
Habari wanaJF,
Katika Mwanzo 2:7, Adamu 1 aliumbwa kwa udongo na mavumbi, katika warumi 8:23 kitabu kinasema kuwa sisi sote tulikuwa malimbuko ya Roho na Nafsi ambayo inaugua na ina mwili (yaani...
Salute
Siku moja nilikua naangalia TV chanel moja ya watoto inaitwa Da Vinci Learning ya wayoto nikaona kipindi kimoja kinaitwa Thomas Edison Laboratory:Father of invetion asee nilighafirika sana...
Baada ya mamilioni miaka kadhaa ya vita ya nuclear ambayo ilihusisha Allies tofautitofauti( vita hiyo ndiyo iliua wanyama wakubwa kama dinosaurs etc) achana na habari za kuanguka kwa kimondo kama...
Jina huathiri muktadha, asili, chanzo na uhalisia wa kitu..... Kitabu cha MWANZO katika Biblia takatifu ndicho kitabu msingi kinachosomwa zaidi duniani... Tena na imani na dini zote...
Nukuu na...
Kuna vijana wengi wanataka kuwa ‘masiya wa kisiasa’ wa Tanzania. Yaani wanataka kuikwamua Tanzania kutoka kwenye matatizo yake ya muda mrefu.
Ili vijana hawa wasifanye makosa, ni vizuri wakajua...
Majo yote tunayoyaona hapa duniani yana umri mrefu sana kuliko hata mifumo mengine ya nyota kama ulivyo mfumo wetu wa Jua hapa na maana kwamba hata mfumo wetu wa Jua unaumri mdogo kuliko maji haya...
Katika makala hii nitazungumzia nguvu nyingine ya muujiza moja kati ya nguvu za miujiza walizonazo watu wengi ambayo ni Clairvoyance;
Hii ni moja kati ya nguvu za miujiza ambayo wenye nayo...
HYPNOSIS
Katika makala hii nitakueleza kwa uchache kuhusu Hypnosis nikiwa na maana kupangua na kuhama kutoka sehemu moja ya fikra kwenda nyingine.
Kwa Kuanza;
Hypnosis ni rejea Inayohusu au...