Wasaalaam
Katika dini hizi kuu (Abrahamic) hakuna pande yoyote inayokataa uwepo wa Mtoto wa Mariamu Yesu wa Nazareth , historia na hadithi za maisha za Yesu/Issa zipo katika upande wa Dini kuu...
Wasalaam wakuu
Pope Audiance Hall
Paolo VI pia inajulikana kama Jumba la mkutano la Kipapa ni jengo moja kubwa huko Rome kwa Papa, lenye uwezo wa kuchukua watu 6,300, lilitengenezwa kwa saruji...
Salaam wanabodi,
Very simple. Swali linajieleza hapo juu. Je Mungu yuko wapi? Kabla ya Mungu kuumba ulimwengu/dunia na vitu vyoooote vilivyopo, yeye binafsi alikuwa wapi? Alikuwa kwenye nini...
JITAMBUE:
Habari wakuu,
Natumaini nyie wote ni wazima wa afya na mnaendelea vema katika mambo yenu ya hapa na pale ambayo yanaendelea kuwatesa na kuwapumbaza katika maisha.
Leo nataka...
Wasaalam,
Uvumii huu uliibuka zaidi mwaka jana
Vyombo vya habari vya serikali vilitoa picha na video zikimuonyesha Raisi huyo wa korea kaskazini katika kiwanda cha mbolea ,
Huku wakati ule...
Ulimwengu wote kwa jinsi ulivyo unamtegemeano wa moja kwa moja kwa kila kilichomo huwa na mwingiliano na chenzake "kutegemeana kimazingira".
Hivyo basi kama haishivyo chawa au kupe juu ya ngozi...
Majini ni viumbe ambao wameumbwa kwa Moto na walikuwa wakiishi duniani kabla ya binadamu miaka Milioni nyingi iliyopita.
Viumbe hawa wana tabia kuu mbili;
Yaani ya kibinadamu kwa maana wanakuwa...
Awali ya yote ningependa kuwasalimu wanajamii wenzangu habari zenu, natumai ni wazima wa afya.
Nina maswali kadhaa ambayo ningependa kupata majawabu kutoka kwenu wana Jamiiforums yatakayo kuwa...
Habari Jamiah,
Mliopo kwenye Jamii inteligence, ifuatayo ni aina mpya ya akili ningependa na nyinyi pia muifahamu ili muweze kufanikiwa mengi kupitia njozi zenu...
Ndoto:
Sipo hapa kuzungumzia...
Habari wakuu,
Imagine umeamka asubuhi unafumbua macho unaanza kuona mwanga kisha kitendo bila kuchelewa kuna mashine moja katika mwili wako inafanya kazi kwa speed kubwa sana ambayo kama speed...
Nasilsiniz JF üye?
Naomba unisamehe maana kwa haraka haraka hata mimi najishangaa kuuliza hili swali, kwasababu it's a No-brainer right?, Namaanisha ofcourse binadamu sisi sio kama wanyama...
Kuibuka kwa Rabi kijana, maarufu, mwenye akili nyingi ya elimu ya "toral & tulmud" na mtenda miujiza, Shlomo Yehudah Be’eri inaanza kushukiwa kuwa ni mwanzo wa kipindi cha Masihi wa Kiyahudi...
Wadau nawasalimu.
Nimekuwa nasikia baadhi ya Watu wanasema mtu kabla ya kufariki anaweza kutoa maagizo ayatakayo kuwa akifa yatekelezwe sio wosia.
Mfano wa hayo maagizo ni
1. Mgao wa mali zake...
Inaweza kuwa unaumwa maradhi ya hovyo hovyo hayaelezeki na umejaribu sana kutibiwa hospitali au tiba mbadala au kwa mashehe na mapadre bila mafanikio, leo nitakujuza maradhi kuu saba yanayobebwa...
Ni jambo la kushangaza kwa nini huduma kubwa kama hii tunayo tumia ikawa na watu 14 tu wanaoshikilia huduma hii ya internet wakati internet yenyewe ni zaidi ya hao watu.
Huduma ya internet ni...
Wana ndugu, tangu Waziri Mkuu aje na utaratibu wa kubadili matumizi ya barabara ya Morogoro na nyingine ili kupunguza msongamano, upande mmoja imerahisisha watu kuingia na kutoka katikati ya jiji...
William Tyndale alikuwa mwanatheolojia Mwingereza, kasisi ya kanisa na mtaalamu aliyetafsiri Biblia mara ya kwanza katika Kiingereza cha kisasa. Alizaliwa huko Gloucestershire mnamo mwaka 1494 -...
Kumbe huu ulikua ni mkakati wa mda sana kuusiana na jinsi yakupunguza population duniani na ndo maaana hata aueleweki bcz unakua na maaana nyingi nyingi aupo clear kila mtu na chake alicho nacho...
Si ajabu kuona leo tuna tumia simu janja miaka ya sasa ila ingekuwa miaka 1200 B.c (kabla kristo) kingekuwa kinaelezwa tungemchukulia chizi kwa kuwa uwezi kukubali ujakiona.
Matajiri wakubwa kama...
Watu weusi tuna tatizo kubwa la inferiority complex. Tukifuatiwa na waarabu.wazungu wanajijenga au kujengwa na hali ya kujiamini sana.
Weusi tumebaki kuanzisha nyuzi na kuandika vitabu mafarao...