Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

On JF:

Katika mjadala wa ndoa ya wake wengi, Waislamu mara nyingi hujadili aya ya Qur’an: "Na mkikhofu kuwa hamtoweza kufanya uadilifu kwa mayatima; basi oeni waliokupendezeni katika wanawake wengine...
5 Reactions
18 Replies
894 Views
One of the greatest challenges faced by humans in their interactions with the details of life is the sayings, discourses, and concepts socially entrenched, which have gained legitimacy in...
3 Reactions
2 Replies
640 Views
Nchini Marekani, kuna zaidi ya sehemu 100 ambazo zinatumika kuhifadhi miili ya watu waliofariki. Sehemu hizo zimejengwa katika hali ya kuweza kuifanya miili hiyo isiharibike na kubaki katika hali...
15 Reactions
201 Replies
22K Views
Wakuu, Nna maswali kadhaa najiuliza:- 1. Kama kweli mshahara WA dhambi ni mauti, Ina maana TULIOWAZIKA WOTE NI WATENDA DHAMBI 2. Kama kweli mshahara WA dhambi ni mauti, Kwaiyo WASIO NA DHAMBI...
7 Reactions
27 Replies
1K Views
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️ Naam imesimama, Namaanisha imesimama kiteknolojia na ugunduzi na utatuzi wa changamoto za binaadam za kila siku. Ukisoma vitabu Dunia wakati inaumbwa haikuwa...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
 KWA WAHUSIKA, KUTOKA PANDE ZOTE. Enyi WAJAMAA, Karibuni kwenye Lami ya Kondoa-Babati to start THE JOURNEY BY NIGHT,  Q R17. Fupisho la Kafia getho-Ni Machozi yaliyosheheni pumziko Zito...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Niliwahi kusikia kuwa njia rahisi ya kutambua nyota ni herufi ya mwanzo ya jina na Tarehe ya kuzaliwa.. Herufi ya jina ni nyota nyingine na tarehe ya kuzaliwa ni nyota nyingine.. Hapo ipi nzuri...
2 Reactions
51 Replies
69K Views
THE HIDDEN POWER OF THE UNIVERSAL LAW NGUVU YA SHERIA ZA SIRI ZA ULIMWENGU 👉Hili ndilo Neno la Mungu, sheria 12 za ulimwengu ni sheria zilizowekwa au kusetiwa na Ile Nguvu kuu tuliyokubaliana...
32 Reactions
26 Replies
10K Views
Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!! Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi...
64 Reactions
718 Replies
163K Views
Military Intelligence Coup: Kisa cha majasusi wa Mossad waliomhonga rubani aliyeiba na kutoroka na Ndege ya Kijeshi ya Iraq (Mikoyan-Gurevich MiG-21) Kuanzia mwaka 1952 mpaka mwaka 1963 Isser...
91 Reactions
185 Replies
60K Views
Mchungaji Mtikila, mwanasiasa machachari wa Chama cha Upinzani cha DP aliyekuwa akiishi ya maisha yasiyoendana na hadhi yake, alikufa papo hapo kwenye ajali ya gari huku watu wote aliokuwa nao...
21 Reactions
135 Replies
34K Views
Kifo ni sehemu ya asili ya maisha ya binadamu, na kila mmoja wetu anajua kuwa siku moja, maisha yetu yatakwisha. Ingawa ni jambo lisiloepukika, kifo bado linabaki kuwa suala gumu na...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Tunajidili namba tatu kivingine leo... Sio tatu kama tatu la hasha bali mara tatu. Tuangalie kwanza jinsi uhai unavyotengenezwa; Makutano ya jinsia mbili tofauti Kutungwa mimba Kuzaa Mfano huu...
19 Reactions
105 Replies
14K Views
Baada ya Mgogoro mkubwa wa Kanisa uliozaa Makanisa mawili - Western Roman Catholic Church na Eastern Orthodox Catholic Church mwaka 1054, Kanisa la Magharibi ambalo ni Western Roman Catholic...
6 Reactions
18 Replies
3K Views
Mfano 1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.? 2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
31 Reactions
1K Replies
169K Views
Wakuu, Moral philosophy ni tawi la falsafa linalohusu nadhalia za maadili (Ethics) na kanuni za maisha. Falsafa hii inamtaka mtu mtu kufanya maamuzi yake kwa kuangalia/kupima faida na hasara...
7 Reactions
56 Replies
5K Views
Kamwe huwezi kudanganya kifo. Michael Jackson alitaka kuishi kwa miaka 150. Aliteua madaktari 12 nyumbani ambao wangemchunguza kila siku kuanzia nywele hadi kucha. Chakula chake kilijaribiwa kila...
10 Reactions
34 Replies
4K Views
DONALD Trump ni Rais wa 45 wa Marekani. Hicho cheo chake sina shida nacho. Trump ni bilionea wa dola, kwa Shilingi ya Nyerere, ni trilionea. Nina kazi muhimu leo na huo utajiri wake. Trump ni mtu...
30 Reactions
36 Replies
7K Views
Majasusi wa Mossad walivyoiba mkojo wa Rais Hafez Al-Assad wa Syria kwa kutumia choo cha bandia. Rais wa zamani wa Syria bwana Hafez Assad (Baba yake na Bashar, rais wa sasa) alikuja kugundua...
47 Reactions
133 Replies
42K Views
Sasa wazee habari zenu kwanza, Heri ya mwaka mpya, Kwa upande wangu baada ya hii AI ya Deepseek kuvumbuliwa nikajua labda inaweza kuleta school of thought mbadala kabisa kwenye hill swali pendwa...
5 Reactions
7 Replies
852 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…