Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Nani alianzisha,ni jeshi gani lilikuwa la kwanza, je ni universal requirement ya majeshi yote duniani?
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Kumsoma mwanamke sura Kujua au kuweza kumsoma mtu kunaweza kukupa dalili nyingi nzuri zakuweza kumfahamu undani wake kimapenzi. Nywele Changa (HAIRLINE) Zikiwa zimejikunja zinaashiria kuwa u Mtu...
3 Reactions
17 Replies
20K Views
Hakuna hata mmoja anayependa kupokea lawama mara kwa mara, na mara nyingi inategemea ni jinsi gani unavyomjibu yule anayekulaumu, labda utamwambia maneno ya dharau kejeli, matusi au kujibu...
4 Reactions
7 Replies
5K Views
Kuna taasisi iliyoanzishwa kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wanafunzi wa chuo, inaitwa HIGHER LEARNING STUDENT SUPPORTING FUND, hivi inatambulika kisheria na iko chini ya nani? Naofia ya deci na kina...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
  • Closed
Tanzania, Sudan na Libya wako bize kuandaa majeshi yaende Comoro , Lakini mbona hiii mipango kabambe inayofanyika inamaana kuwa ilipitishishwa na nani?na mbona suala hili la kupeleka wanajeshi...
1 Reactions
534 Replies
76K Views
Kama ulidhani Afrika ni kinara wa maliasili na rasilimali basi umekosea. Makala hii toka allafrica.com, japo ni ndefu sana itakupa mwangaza wa kutosha kujua ukweli. Na kwa mtazamo wangu ni kwamba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimechunguza sana na kuona mara nyingi nchi za Afrika hukurupuka na kujiunga na shirika/mikataba/makubaliano yeyote yaitwayo ya Kimataifa bila kwanza kufikiria kwa kina faida na athari zake. Jambo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
16 Sep 2012 kupitia Yericko Nyerere Ni takribani miaka 7 sasa tangu taifa la Tanzania limpate kiongozi wake muhimu na aliyekuwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kuporomoka Kwa Maadili, Kushamiri Kwa Ushoga Na Ukahaba Katika zama zetu za leo kuna janga kubwa linalohatarisha uhai wa jamii ulimwenguni. Mithili ya virusi vinavyoua mwili, janga hili...
14 Reactions
91 Replies
20K Views
mara nyingi kwenye kusoma kwangu sayansi nimekutana na maneno,'assume other terms are constant'. kuna wakati i also assumed so as to proceed with my calculations, "fake calculations". siku moja...
4 Reactions
45 Replies
7K Views
Naomba kama kuna mwenye busara anifahamishe kwetu ni wapi? Kwa wale waliozaliwa MPANDA miaka ya sabini kurudi nyuma wamezaliwa mkoa wa TABORA wilaya ya MPANDA. Kwa wale waliozaliwa MPANDA miaka...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hivi hawa watu wanaoitwa Clairvoyants wanapatikana Bongo? ingawa sijui ni jinsi gani inaitwa kwa kiswaahili ila tafsiri yake ni somebody who is supposedly able to perceive things that are usually...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Filmmaker: Claudio von Planta Albinism is a non-contagious, genetically inherited disorder, affecting about 1 in 20,000 men and women around the world, regardless of ethnicity and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana Jamii forums, Nimeonelea ni-post hizi news zilizotoka wiki iliyopita kwenye ki-jarida cha Africa Confidential (UK) ambacho najua wengi tunashinda kukisoma kutokana na kuwa bei ya...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Achunguzwa na vigogo wengine saba Makachero wadai ana kesi nzito ya kujibu Mheshimiwa, Andrew Chenge Wakati kampuni ya kutengeneza zana za kijeshi...
1 Reactions
69 Replies
14K Views
By Nova Kambota, I just hear that there are some people who question about Osamas death, a lot of critics around the world against Obama, people think that this may be political propaganda by...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Jamani, do zombies and vampires exist?
0 Reactions
47 Replies
14K Views
Habari wana JF, Serikali inajiandaa kutoa vitambulisho vya taifa kwa waTZ wote. Naiunga mkono kwa uamzi huo mzuri. Lakini katika vipengele vyote sijaona sehem hata moja ambayo itaweza kumtambua...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Dear Colleagues, Please find the attached advisory. I kindly request wide dissemination to all staff members. Kind Regards, Lee Lee Peterson Country Security Adviser Department of SaFety &...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nimebahatika kuingia katika ofisi mbalimbali za serikali na hata baadhi ya mahakama zetu jijini Dar es salaam na nilishangaa kuona matangazo mbalimbali katika kuta za ndani za baadhi ya ofisi hizo...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom