Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Wana JF naomb mnisaidie jinsi ya kufungua akaunt CRDB bank pamoja na masharti yake na vigezo vyake.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hamjambo wapendwa. Mnamo mwaka 2014 mwezi na tarehe sikumbuki kwasababu sikuandika popote ndoto hii. Mimi naishi kwa kumwamini Mungu kama muumbaji na mlinzi wa kila kitu kwangu. Siku moja...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Wandugu. Katika topic hii nitathibitisha kuwa, kiini cha hizi dini ambazo waafrika wengi hasa hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla tunazozifuata zina kiini Afrika. Kwa maana hii, namaanisha...
4 Reactions
102 Replies
16K Views
Salaamu wanaJf Matukio ya kupatwa kwa jua na mwezi yamekua yakielezewa kisayansi zaidi wataalamu wa elimu ya jiolojia (Geology) wamekua wakitoa prove za kisayansi wakati gani na kwanini haya...
7 Reactions
16 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu.Nilikuwa naomba yeyoye mwenye ufahamu kuhusu INTELLIGENCE CYCLE anisaidie even for full details concerning it najua kwa jukwaa hili sitakosa kitu maana hili ni jukwaa la Jamii...
0 Reactions
0 Replies
585 Views
Rejea mada yangu juu ya vitu sita ambavyo havikuumbwa na MUNGU. Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu Wakati wakichangia mada yangu juu vitu sita ambavyo Mungu hakuviumba, watu kadha wa kadha...
6 Reactions
41 Replies
10K Views
Universe tunaambiwa ina kila kitu tunachoweza kukiona, kukisikia na sayari zote kubwa tisa na nyingine ndogo zote zipo kwenye hii universe, nyota zote na alliens wote tunaambiwa wapo kwenye hii...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajamii, Habari za masiku? Well nilipotea kidogo kutokana na majukumu ya kikazi...! Sasa nimerudi na hii video. Hebu angalia hii video upate ukweli wa undani kuhusu waliomuua Laurent Kabila wa...
5 Reactions
6 Replies
6K Views
Bermuda Triangle, ambayo pia inajulikana kama Devil's Triangle, ni eneo la magharibi wa bahari ya Atlantiki ya kaskazini ambapo idadi kubwa ya ndege na vyombo vya baharini vinanadaiwa kutoweka...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Amani iwe nanyi JF members & non members: Naomba kujulishwa jina la kiongozi wa Chama cha Wanajeshi wa Kikiristo tawi la Tanzania. Nimejaribu kucheki website yao The Structure of AMCF...
2 Reactions
44 Replies
8K Views
Children play in a street in Dar es Salaam, Tanzania, not far from house where users buy heroin and spread disease. Photo courtesy of The Global Fund/Mia Collis. IV DRUG USERSThe Street of Blood...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
As the quantity of digital data is doubling approximately every two years yet the ability to store this data is not keeping pace. There is a drastic need for a new storage medium that effectively...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Za kwenu wana JF? Naona kunaupotoshi, kama siyo kulisingizia Jua limepatwa kumbe iliyopatwa ni Dunia. Jua ni Nyota ambayo imezungukwa na sayari takribani kumi na kitu. Mwezi huzunguka Dunia...
1 Reactions
29 Replies
7K Views
Habari zenu wapendwa, Niende moja kwa moja kweli mada, Leo tumeshuhudia kupatwa kwa jua ambalo ni tukio lakuvutui na kustaajabisha zaidi, Bahati mbaya sina ufahama na haya mambo ningeomba...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Papa benedicto wa tisa alizaliwa katika mji wa roma mwaka 1020 na jina lake la kuzaliwa anaitwa Theophily Tesculu, mtoto wa Ableric wa tatu ambaye alikuwa ni mpwa wa papa benedict wa nane na papa...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Wanasayansi wamegundua mahali mbingu na pepo ilipo katika anga za mbali sana,Ma trilioni ya kilometer kwa speed ya mwanga kwa mabilioni ya miaka. Aidha chombo kilichotumwa ''Centurion'' miongo...
25 Reactions
127 Replies
22K Views
Not one more of our friends or family need to die from a curable disease or chronic ailment. It's documented and proven #DrSebi cured everything from #AIDS, to all types of #cancer , both types of...
0 Reactions
0 Replies
980 Views
Zipo nyota saba. 1.Kwanza ni jua. Hii ndiyo 7th plane of absract spiritual conciousness. The sun gives life and it causes life to flourish. 2.Ya pili ni Jupiter. This is the 6th plane of...
6 Reactions
43 Replies
8K Views
Hali ya usalama wa Arusha inatisha sana sasa hivi, ujambazi, utapeli na uwizi vimerudi upya. Kuna kila style ya uwizi na kusikitisha ukienda polisi msaada si mkubwa kihivyo. 1. Kuna vijana...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Diplomats Help Push Sales of Jetliners on the Global Market Source: New York Times 2 January 2011 Summary Boeing executives, at times, are pressed by foreign government officials and...
0 Reactions
73 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…