Baada ya uvumi uliokuwa ukiendelea wengi wakihoji ukimya na kutokuonekana kwa Mojtaba Khamenei aliyechaguliwa kuwa Kiongozi Mkuu mpya wa Iran baada ya kifo cha Baba yake Ayatollah Ali Khamenei...
Ukimsikiliza rais wa Marekani Donald Trump kwa makini na bila upendeleo, unagundua ni mtu mwenye changamoto ya akili. Ni muotaji ndoto wa mchana, muongo, mjinga, na mpumbavu.
Anaongopa hata bila...
Rais wa Madagascar, Michael Randrianirina, ambaye alichukua madaraka kufuatia maandamano ya Oktoba 2025, amemfuta kazi Waziri Mkuu na kuvunja baraza lote la mawaziri siku ya Jumatatu Machi 9...
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amelishukuru Baraza la Wataalamu kwa kumchagua mrithi wa Ali Khamenei licha ya "tishio la Trump la kulishambulia kwa mabomu", kwa mujibu wa...
Jamaa wamegoma watu wasirekodi kwa kipigo wanachoshushiwa
Imebidi waweke amri ya kuwapiga watu risasi ukionekana ukirekodi
Waliokufa sio mamia tu ni maelfu
Kuanzia wanajeshi hadi raia
The bad...
Hali ni mbaya mno huko Israel, Iran anazidi kuipasua hilo taifa vipande vipande..
Jamaa wanashusha kipigo kama kile cha Sodoma na Gomora
Jana wamerusha kombora hatari la kohramshahr 4 lenye...
Kupitia taarifa iliyotolewa na Wizara ya Tawala za Mikoa, ilieleza kuwa vyama hivyo vimeshindwa kutimiza wajibu wao wa kisheria, na kuamuru kusitishwa kwa shughuli za vyama hivyo pamoja na...
China imesema inapinga hatua yoyote ya kumlenga kiongozi mpya wa juu wa Iran, Mojtaba Khamenei, kufuatia vitisho vilivyotolewa na jeshi la Israel dhidi ya mrithi huyo wa baba yake aliyeuawa, Ali...
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran (IRGC) limetangaza kufunga mfereji maarufu wa Harmuz (Strait of Hormuz) ambao ni maalum kwa kupitisha meli za mafuta kwa meli zinazotoka Marekani, Israel na...
Jeshi la Israeli lime toa tishio jipya dhidi ya viongozi wa Iran, likisema litawafuatilia wote watakaofuata Khamenei, ambaye aliuawa katika mashambulizi ya Marekani-Israeli mnamo Februari 28...
Jamaa wameanza kutumia makombora mapya na yenye kasi aina ya Hypesonic
[emoji599] BREAKING:
Iranian President Masoud Pezeshkian:
We have entered a new phase of the war. Tehran has finished its...
Simu moja toka ikulu ya dodom...aa,, hello captain natumai ni mzima//
Habari za mashariki nadhani unaziona,, Ziko tofauti usifaninishe na Goma//
Ripoti kikosi cha anga kile cha kigoma,, Usiage mtu...
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema hajafurahishwa na taarifa kwamba Mojtaba Khamenei amepewa nafasi ya kuwa Kiongozi Mkuu mpya wa Iran baada ya kifo cha Ayatollah Ali Khamenei.
Trump...
Kwenye vita inayoendelea kati ya Israel na Iran, Kuna mambo yananishangaza Sana, lakini hili moja limezidi mengine.
Kila Israel ikishambuliwa zinaonekana juhudi za kuficha madhara yanayotokana na...
Kwanza nianze kwakusema hakuna anayefurahia mauaji yanayotokea kwa raia wasio na hatia pande zote mbili Iran na Israel,kwakuwa wao ni victim tu au wahanga tu
Twende kazi.....
Mzee wa hovyo Trump...
Rais wa Marekani, Donald Trump, ameashiria kuwa serikali yake bado inalenga kuiondoa madarakani serikali ya Cuba, licha ya vita vinavyoendelea kati ya Israel na Marekani dhidi ya Iran kuingia wiki...