Ripoti zinasema kuwa FBI imetoa tahadhari kwa vyombo vya usalama katika jimbo la California kwamba Iran inaweza kufanya shambulio la kulipiza kisasi dhidi ya Marekani.
Inaelezwa kuwa shambulio...
Niaje waungwa
Hii habari ingeandikwa na Al Jazeera misukule ya Netanyahu ingesema ni uongo, lkn kwa bahati nzuri imeandikwa na gazeti lao wenyewe kupitia kauli halali ya raisi wa Ukraine Mr...
Baada ya Hezbollah kuamua kuingia kichwa-kichwa ku zaidi a Bwana wake Iran tutarajie muda si mrefu wataanza kutoa milio isiyoeleweka.
Israel imetuma Kikosi cha vifaru kupambana na magaidi hao...
Katika Hesabu 34:1-15, Mungu anampa Musa maelekezo mahususi kuhusu mipaka ya Nchi ya Ahadi (Kanaani) ambayo Waisraeli walipaswa kuimiliki. Mipaka hiyo imegawanywa katika pande nne kuu:
Kusini...
Rais mwendawazimu wa US anasema kupanda kwa bei ya mafuta duniani ni faida kubwa kwa US kwa sababu wao ni wazalishaji wakubwa zaidi duniani.
==============
IRAN WILL BE STOPPED!
The United States...
Mama wa Taifa la Iran ni mzima kabisa
Hayo yamethibitishwa na vyombo vya habari ya Iran
At the Same media za Iran zimechapisha video ya kutengebeza inayosema "Khamenei is back"
BREAKING:
Wife...
Dear Pastors,
Please remember that the married women in your congregation are also wives and mothers before they are workers in the church.
When a married woman spends long hours in church service...
Inasemekana Trump ameweka msisitizo kwa viongozi aliowateua kuvaa aina ya vitu anayoipendelea zaidi vya brand ya Florsheim. Inasemekana viongozi wengine hadi anawanunulia hivyo viatu anawatumia...
Russia kimya kimya anatengeneza mtonyo wa maana kwenye kipindi hiki mgogoro kati ya Us/Iran umechachamaa.
Kremlin inaingiza angalau kiasi cha dola za kimarekani 150 kila siku kutokana na mauzo ya...
Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ametangaza kuwa Ufaransa itapeleka meli nane za kivita, manowari ya kubeba ndege za kivita, na meli mbili za kubeba helikopta katika maeneo ya Bahari ya...
MAOMBI YA USIKU
MAOMBI YA KUOMBA AMANI NA UTULIVU KATIKA [TAJA HIZO NCHI]LI KUSIWEKO NA MAGOMVI.
KWENYE FAMILIA TAJA HIZO NCHI
MUNGU AKUBARIKI NAIONA IKIISJA KWA.AMANI NA UTULIVU
---...
1. Nguruwe Netanyahu lazima akabidhiwe kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai.
2. Chombo cha Israeli lazima kiondoke Gaza na kusini mwa Lebanon hadi mipaka ya Oktoba 7, 2023 na kufuta mpango wa amani...
Spain removes ambassador from Israel in protest to Iran war, Gaza genocide
Madrid recalls ambassador amid rising diplomatic tensions and criticism of US-Israeli actions in Iran.
Serikali ya...
Wakuu,
Kiongozi wa North Korea, Kim Jong Un, pamoja na binti yake walionekana wakifyatua risasi za bastola wakati wa ukaguzi katika kiwanda cha kutengeneza silaha ndogo, kulingana na picha...
Wakuu,
Nikisema hawa watu sio wa kuwaamini na hata Tanzanian tunapaswa ku-rethink mahusiano yetu na wao huwa mnaona kama siwakubali hawa jamaa
Haya sasa Nigeria limeshawakuta jambo...
Maafisa wa utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump wamekadiria katika kikao cha taarifa kwa wabunge wa Bunge la Marekani wiki hii kuwa siku sita za kwanza za vita dhidi ya Iran zimeigharimu...
Vikosi vya Ukraine vimeshambulia kimoja kati ya "viwanda muhimu zaidi vya kijeshi" vya Urusi, kulingana na kauli ya Rais Volodymyr Zelensky.
Jeshi la Ukraine lilisema kuwa makombora ya masafa...
Wakuu vipi, kwema.
Wakuu Iran ni mmoja kati ya nchi ambazo ziliwekewa vikwazo vikali na nchi za magharibi toka mnamo mwa miaka ya 70s huko hadi leo hii na siku zijazo.
Vikwazo hivyo ni vya...