Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alisema Israeli inaendelea kuishambulia Hezbollah "kwa nguvu, usahihi, na azma," akitangaza kumwondoa Ali Youssef Kharshi, katibu binafsi wa shirika la kigaidi la...
Kuna msemo wa kiingereza husema hivi "mpe mbwa wako jina baya, kisha umuue". Mnamo tarehe 8 mwezi huu Raisi wa Marekani Donald Trump ametangaza kwamba jeshi la mapinduzi la Iran, ambalo ni sehemu...
Tofauti na waziri wake wa ulinzi,Hegeseth,Trump yeye hajivungi tena kuhusu kushindwa vita alivyovianzisha na Iran.
Wakati wa mahojiano hapo jana na mashirika ya habari.Trump amerudia kwa mara...
Wanaukumbi.
🇮🇱🇮🇷🇱🇧🇺🇸 Usitishaji mapigano uko karibu kuvunjika, Iran inajiandaa kuitenga Israeli kutoka kwa mchakato wa mazungumzo kutokana na shambulio kubwa dhidi ya Lebanon
Iran yafunga...
Roketi ya NASA ya kwenda Mwezini sasa iko rasmi kwenye eneo la kurushia roketi.
Roketi hii kubwa ya NASA yenye urefu wa futi 322 iitwayo Space Launch System (SLS) imekamilisha safari yake ya...
Nimezungumza humu JF kuhusu Serikali kupiga Marufuku Dini. Basis kubwa ya dai hilo ni Unabii wa Biblia tafadhali soma Ufunuo Sura 17. Sura hiyo kwa lugha ya mfano inamtambulisha mwanamke kahaba na...
Wengi waliambiwa lakini hawakusikia. Rais wenu aliyekuwa ''mfano wa kuigwa wa Afrika'', tayari keshalewa madaraka.
Nukuu: ''Demokrasia inaua na watu wa Burkina Faso lazima wasahau kuhusu hilo”...
Nimeshangaa mno na uwezo wa baadhi ya watu wanaoshabikia kuwa America amekubali masharti ya Iran, yaani ata vikao vya mazungumzo bado ila wabongo washa conclude. In my opinion Iran ni tough...
https://youtube.com/shorts/QXKmNjDbk9U?si=eo_ckgeSH-mDtbep
Ujumbe ndio huo Iran anasema Israel kashambulia Iran lazima tufunge tena Hormuz hapa naona Iran anamtafuta Israel amtie adabu
Hio ni...
🌲 - 🇱🇧🇱🇧 Chuo Kikuu cha Lebanon kilitangaza kifo cha Dkt. Ali Zeaiter, mkurugenzi wa Taasisi ya Sayansi ya Jamii - Tawi la 1.
Zeaiter alikuwa mwanajeshi wa Hezbollah ambaye aluliwa asubuhi ya leo...
Jinsi ambavyo huwa naona hapa bongo watu wanavyogombania kazi za jeshini hadi wengine wanahonga, wanaenda kwa vimemo na wengine kutapeliwa huwa nashangaa sana jinsi jeshi la Marekani linvyoshindwa...
Kati ya mataifa 9 duniani yanayomiliki nyuklia, Marekani ndiyo taifa pekee lililowahi kutumia silaha za nyuklia katika vita kuishambulia nyingine.
Mwishoni mwa Vita vya Pili vya Dunia Agosti...
A parliamentary inquiry has implicated corrupt politicians, local government officials, and some state agency representatives in a widening network of illegal land allocations on wetlands, leading...
Wanaukumbi.
🇺🇸🇮🇷 Iran yakataa usitishaji vita wa muda uliopendekezwa na wapatanishi wa Pakistan
Afisa wa ngazi ya juu wa Iran alisema Tehran haitafungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz kwa...
Urusi imezuia matumizi ya huduma ya ujumbe ya WhatsApp ikidai kampuni hiyo imekiuka sheria za nchi, huku wananchi wakihimizwa kuhamia kwenye jukwaa mbadala linaloungwa mkono na serikali, hatua...
Wakristo wengi wamekuwa wakishangilia maumivu, vita na vifo vinavyosababishwa na majeshi ya Israeli, kwa kisingizio cha kuiunga mkono au kulibariki taifa la Israeli. Je, msimamo huo unaendana na...
Kamal Kharrazi, ambaye aliwahi kuwa mwenyekiti wa Baraza la Mikakati la Iran kuhusu Mahusiano ya Kigeni (na hapo awali akiwa waziri wa mambo ya nje wa Iran), amefariki kutokana na majeraha...