International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Rais mteule wa Marekani Donald Trump, ameanza mazungumzo ya siri na Iran ili kufikia makubaliano. Mazungumzo haya yalifanyika kwenye eneo lililochaguliwa na Balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa...
8 Reactions
83 Replies
4K Views
Tulisema. Israel yeye anapiga. Halafu anaacha wenyewe ndo waseme. Yeye ananyamaza kimya. Nashauri tufuate anachosema Ayatollah... Tujitolee wadau tukajiunge naye.
10 Reactions
27 Replies
2K Views
Jimbo la Colorado mahakama kuu jimboni humo imeamua kumuengua Trump toka kwenye kinyang'anyiro cha kura za awali jimboni humo zitakazopigwa mwakani. Jimbo hilo linaongoza kwa Democrats wengi...
5 Reactions
169 Replies
6K Views
Watu 35 wamefariki na wengine 43 kujeruhiwa baada ya dereva aliyejaa hasira kutokana na kutoridhika na makubaliano ya talaka ya mgawanyo wa mali kuendesha gari lake kwa makusudi kwenye kundi la...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Mchungaji wa Kanisa la Baptist aliyekuwa Gavana wa Jimbo la Arkansas kwa miaka 11. Rafiki wa Netanyahu na mtu aliyewahi kusema hakuna kitu cha Mpalestina. Mike Huckabee ameteuliwa na Trump kuwa...
17 Reactions
60 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika hapo juu Kila la kheri ndugu zetu Marekani ---- Welcome back': Biden greets Trump at the White House Two men have criticized each other for...
9 Reactions
15 Replies
1K Views
Kamala amekuwa akitaka kutumia tabaka la ngozi nyeusi kum boost kisiasa lakini wamarekani weusi wamestukia na kumkataa, ni Tofauri ya Obama alikuwa tayari ana uwezo mkubwa sana wa ku debate, very...
9 Reactions
79 Replies
4K Views
Wadau hamjamboni nyote? Makabidhiano yamefanyika wizara ya ulinzi Israel. Gallant na Katz ni marafiki wakubwa. Aumizwa sana na hasara ambayo Israel imepata kupitia vita hii pamoja na kushindwa...
8 Reactions
57 Replies
3K Views
Maonesho ya uagizaji ya China (CIIE) yamemalizika hivi karibuni mjini Shanghai. Maonesho haya ambayo safari hii ni ya awamu ya saba, yamefanyika kwa mafanikio makubwa kwani nchi nyingi zaidi...
1 Reactions
4 Replies
532 Views
Inaripotiwa kwamba power struggle ya kumritithi dikteta mzee Teodoro Obiang Nguema wa Guinea mwenye miaka 82 aliyeitawala nchi hiyo kwa miaka 45 ndio chanzo cha kuvujishwa video za ngono za mpwa...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Huyu mke wa Trump mbona simwoni. Sana kwenye media siku hizi. Kipindi Trump yupo Rais walikuwa wanapendeza mno wakiwa kwenye lile dege wakitembelea nchi kadhaa. Lkn Simeon tena yule mama mzuri...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Nchi ya China imekuwa nchi ya kwanza duniani kufanya uzalishaji wa magari ya umeme 10mln kwa mwaka.
8 Reactions
9 Replies
723 Views
Biashara inayokua kati ya nchi za Afrika na China katika miaka 15 iliyopita imetumika kama kichocheo cha ajira na kuinua kiwango cha maisha katika bara la Afrika. Katika mahojiano na Shirika la...
1 Reactions
3 Replies
451 Views
ISHMAEL ALIZAA MASEYIDI(WATOTO) 12 AMBAO NDIO WAARABU WA LEO. ENEO LAO LA UMILIKI NI KUANZIA SAUDI ARABIA KUELEKEA Ashuru NA MASHARIKI YA MISRI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Kuna Watu wengi...
18 Reactions
82 Replies
11K Views
Hawa jamaa huwaoni wakionesha onesha silaha zao. Huwasikii wakitishiana na mtu au kupiga mkwara. Lakini rudi miaka ya nyuma katika vita utawasikia kwa uzuri. Nenda kawaulize wachina. Watakuambia...
10 Reactions
59 Replies
3K Views
Huku akiendelea kusuka Watendaji wa Serikali yake Trump amelitaka Bara la Africa lijifunze kujitegemea Trump amesema kwa sasa Republican wanacontrol Seneti tofauti na ilivyokuwa kwa awamu yake ya...
31 Reactions
61 Replies
3K Views
Askofu Mkuu wa Canterbury ametangaza kujiuzulu wadhifa wake kufuatia ripoti ya kulaaniwa kuhusu mnyanyasaji mkubwa wa watoto anayehusishwa na Kanisa la Uingereza. Uchunguzi uligundua kuwa Justin...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Times of Israel Iran says it is willing to hold nuclear talks, but not ‘under pressure and intimidation’ Iran says it is willing to hold nuclear talks, but will not negotiate “under pressure and...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Wataalam mje hapa, China wamezindua ndege yao hatari ya kivita ya J-35 ambayo inafanana na na ndege hatari ya kivita ya F-35 ya kimarekani Hapo ni kwenye maonyesho ikiruka...
10 Reactions
41 Replies
2K Views
Kwanza Kabisa, sipo hapa kusambaza chuki, wala uongo, kila neno nitakalo sehema hapa kutakua na sources so ni proven facts, Lakini pia nita share socials zangu humu ili uni follow kwasababu hii...
7 Reactions
105 Replies
7K Views
Back
Top Bottom