International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Balozi wa Iran Lebanon aibuka Beirut baada ya matibabu, alijeruhiwa vibaya shambulizi la pager Septemba, atembelea eneo ambalo kiongozi wa Hezbollah hassan nasrallah aliuawa Wadau hamjamboni...
1 Reactions
2 Replies
688 Views
U.S. President Joe Biden arrived in Luanda Monday and was welcomed by Angola foreign minister Tete Antonio on an official state visit to the southern African nation. This is the first visit by a...
8 Reactions
26 Replies
3K Views
Leo katika pitapita zangu nimekutana na kitu kinaitwa Rand Corporation 2019. Hii ni ripoti yénye kuelezea mbinu ambazo Marekani na washirika wake wanaweza kutumia kwa ajili ya kuidhoofisha Urusi...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
U.S. Government COVID-19 after action report is out .It clearly shows those who were called "Conspiracy Theorists" were RIGHT,and everyone else was wrong Hal Turner World December 02, 2024 The...
0 Reactions
3 Replies
625 Views
Mahakama ya Ubelgiji imeiamuru serikali ya nchi hiyo kuwalipa fidia wanawake watano waliochukuliwa kwa lazima kutoka katika familia zao katika enzi ya ukoloni wa Ubelgiji nchini DR Congo...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
Mimi sijui kusimulia vyema. Ila habari imekaa kiutata sana hasa ukizingatia BBC wanavyojua kuconceal information. Wanadai alisababisha "disturbance" kwenye ndege iliyotakiwa kumrudisha baada ya...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Rais Joe Biden ametoa msamaha " kwa mtoto wake Hunter Biden, dhidi ya mashitaka yanayomkabili katika taarifa iliyotolewa na Ikulu Desemba 1, 2024. Hunter Biden alikua akisubiri kusomewa...
5 Reactions
54 Replies
3K Views
Wafanyakazi wa ngono nchini Ubelgiji sasa wanapata ulinzi sawa na wafanyakazi wa sekta nyingine kupitia sheria mpya ya kihistoria iliyopitishwa mwezi Mei mwaka huu na kuanza kutekelezwa siku ya...
4 Reactions
5 Replies
611 Views
Zaidi ya watu 76 wamefariki dunia na wengine 240 wamejeruhiwa kwa risasi nchini Msumbiji wakati wa siku 41 za maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi, kwa mujibu wa shirika lisilo la kiserikali...
1 Reactions
4 Replies
987 Views
Ukiangalia maelfu watu wasio na hatia tena waliodhulumiwa nchi ardhi na nchi yao wakiuawa, unashangaa dunia iko wapi, maendeleo yako wapi, haki za binadamu ziko wapi, binadamu wako wapi, akili iko...
2 Reactions
12 Replies
903 Views
Wanaukumbi hizi Imani za kumpigania Mungu zinaitesa Dunia, vita nyingi zinazohusisha vikundi vya kigaidi kama Hayat Tahrir al-sham inayoshusha kipondo kwa mashia ya Irani na Syria ni ya kidhehebu...
12 Reactions
65 Replies
2K Views
Habari njema kutoka Angola ni kwamba Bilionea raia wa Nigeria Aliko Dangote anatarajiwa kuwekeza kwenye ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta cha Lobito ( Lobito Refinery). Hayo yameelezwa...
1 Reactions
10 Replies
778 Views
Syrian rebel advance brings exiled Aleppo residents back to city Syrian opposition fighters have pushed Assad’s forces out of Aleppo, allowing exiled residents to return for the first time in...
4 Reactions
76 Replies
4K Views
Waziri Mkuu wa Ufaransa Michel Barnier anakabiliwa na kura ya kutokuwa na imani dhidi ya serikali yake ya wachache baada ya kutumia mamlaka maalum kupitisha muswada wa bajeti ya hifadhi ya jamii...
0 Reactions
1 Replies
411 Views
Wanaukumbi. NDANI TU: 🇮🇱 🇵🇸 Papa Francis anasema vita vya Israel huko Gaza ni "ugaidi." "Ninaendelea kupokea habari nzito na zenye uchungu kutoka Gaza. Raia wasio na silaha wanakumbana na...
5 Reactions
65 Replies
2K Views
Toka mwanzo nlisema hawa Israel suala la watu wao kutekwa walikuwa wanatafuta tu sababu. Now wamezidi imega Gaza. Wame advance kuchukua eneo kubwa zaidi Gaza. Wamejiongezea maeneo zaidi. Hawa...
7 Reactions
82 Replies
3K Views
Jeshi la Mali limefanikiwa kumuua kiongozi wa juu wa kundi la kigaidi linalowashambulia raia katika eneo la kaskazini la nchi huyo. Katika taarifa iliyotolewa kupitia televisheni ya taifa, jeshi...
4 Reactions
18 Replies
988 Views
Wadau hamjamboni nyote? Kazi kazi IDF hawajapoa Hadi wamalize shughuli Kituo cha kijeshi cha kutengeneza silaha za kemilali na makombora ya kisasa ya masafa marefu kikiwa huko Syria...
13 Reactions
33 Replies
2K Views
Katika muhula wa Biden na Harris, wahamiaji haramu zaidi ya milioni 20 wameingia Marekani, wengi wakitumia mpaka wa Mexico na baadhi Canada, wahamiaji haramu wengi hasa wa wanaoingia kwa mpaka wa...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Biashara ya kukodisha Wachumba feki Nchini Vietnam imezidi kushamiri na kuendelea kukua siku hadi siku ambapo Vijana wamekuwa wakikodisha Wachumba hao na kwenda nao katika sherehe za familia ili...
1 Reactions
0 Replies
383 Views
Back
Top Bottom