Joe Biden amsamehe Mwanae Hunter Biden makosa yake ya Jinai

Wild Flower

JF-Expert Member
Jul 20, 2023
341
705
Rais Joe Biden ametoa msamaha " kwa mtoto wake Hunter Biden, dhidi ya mashitaka yanayomkabili katika taarifa iliyotolewa na Ikulu Desemba 1, 2024.​

1733129320920.png


Hunter Biden alikua akisubiri kusomewa hukumu ya mashitaka yake Desemba, 2024
Septemba 2024 mtoto wa Rais wa Marekani, Hunter Biden (54) alikutwa na hatia ya kumiliki silaha kinyume cha sheria, matumizi ya Dawa za Kulevya pamoja na kukwepa kulipa kodi

Aidha, Juni 12, 2024 Rais Joe Biden alisema ataheshimu uamuzi wa Kisheria wa Mahakama baada ya Mwanaye kupatikana na hatia na kukabiliwa kifungo cha hadi miaka 25 jela

Ni kawaida kwa Marais wanaomaliza muda wao kutoa msamaha kabla ya kuondoka katika nafasi hiyo ambayo inafuta makosa ya jinai
=============For English Audience==========​

Statement from President Joe Biden​

Today, I signed a pardon for my son Hunter. From the day I took office, I said I would not interfere with the Justice Department’s decision-making, and I kept my word even as I have watched my son being selectively, and unfairly, prosecuted. Without aggravating factors like use in a crime, multiple purchases, or buying a weapon as a straw purchaser, people are almost never brought to trial on felony charges solely for how they filled out a gun form. Those who were late paying their taxes because of serious addictions, but paid them back subsequently with interest and penalties, are typically given non-criminal resolutions. It is clear that Hunter was treated differently.

The charges in his cases came about only after several of my political opponents in Congress instigated them to attack me and oppose my election. Then, a carefully negotiated plea deal, agreed to by the Department of Justice, unraveled in the court room – with a number of my political opponents in Congress taking credit for bringing political pressure on the process. Had the plea deal held, it would have been a fair, reasonable resolution of Hunter’s cases.

No reasonable person who looks at the facts of Hunter’s cases can reach any other conclusion than Hunter was singled out only because he is my son – and that is wrong. There has been an effort to break Hunter – who has been five and a half years sober, even in the face of unrelenting attacks and selective prosecution. In trying to break Hunter, they’ve tried to break me – and there’s no reason to believe it will stop here. Enough is enough.

For my entire career I have followed a simple principle: just tell the American people the truth. They’ll be fair-minded. Here’s the truth: I believe in the justice system, but as I have wrestled with this, I also believe raw politics has infected this process and it led to a miscarriage of justice – and once I made this decision this weekend, there was no sense in delaying it further. I hope Americans will understand why a father and a President would come to this decision.​
 
Rais Joe Biden ametoa msamaha " kwa mtoto wake Hunter Biden, dhidi ya mashitaka yanayomkabili katika taarifa iliyotolewa na Ikulu Desemba 1, 2024.​
Hunter Biden alikua akisubiri kusomewa hukumu ya mashitaka yake Desemba, 2024
Septemba 2024 mtoto wa Rais wa Marekani, Hunter Biden (54) alikutwa na hatia ya kumiliki silaha kinyume cha sheria, matumizi ya Dawa za Kulevya pamoja na kukwepa kulipa kodi

Aidha, Juni 12, 2024 Rais Joe Biden alisema ataheshimu uamuzi wa Kisheria wa Mahakama baada ya Mwanaye kupatikana na hatia na kukabiliwa kifungo cha hadi miaka 25 jela

Ni kawaida kwa Marais wanaomaliza muda wao kutoa msamaha kabla ya kuondoka katika nafasi hiyo ambayo inafuta makosa ya jinai
=============For English Audience==========​

Statement from President Joe Biden​

Today, I signed a pardon for my son Hunter. From the day I took office, I said I would not interfere with the Justice Department’s decision-making, and I kept my word even as I have watched my son being selectively, and unfairly, prosecuted. Without aggravating factors like use in a crime, multiple purchases, or buying a weapon as a straw purchaser, people are almost never brought to trial on felony charges solely for how they filled out a gun form. Those who were late paying their taxes because of serious addictions, but paid them back subsequently with interest and penalties, are typically given non-criminal resolutions. It is clear that Hunter was treated differently.

The charges in his cases came about only after several of my political opponents in Congress instigated them to attack me and oppose my election. Then, a carefully negotiated plea deal, agreed to by the Department of Justice, unraveled in the court room – with a number of my political opponents in Congress taking credit for bringing political pressure on the process. Had the plea deal held, it would have been a fair, reasonable resolution of Hunter’s cases.

No reasonable person who looks at the facts of Hunter’s cases can reach any other conclusion than Hunter was singled out only because he is my son – and that is wrong. There has been an effort to break Hunter – who has been five and a half years sober, even in the face of unrelenting attacks and selective prosecution. In trying to break Hunter, they’ve tried to break me – and there’s no reason to believe it will stop here. Enough is enough.

For my entire career I have followed a simple principle: just tell the American people the truth. They’ll be fair-minded. Here’s the truth: I believe in the justice system, but as I have wrestled with this, I also believe raw politics has infected this process and it led to a miscarriage of justice – and once I made this decision this weekend, there was no sense in delaying it further. I hope Americans will understand why a father and a President would come to this decision.​
Umeambatanisha picha ya utotoni. Ungeweka hii hapa ya ukubwani
IMG-20241202-WA0025.jpg
 

.

Chanzo cha picha,Getty Images
Rais wa Marekani Joe Biden ametoa msamaha rasmi kwa mtoto wake Hunter, ambaye alikuwa anakabiliwa na kesi mbili za uhalifu, licha ya kwamba awali, alikuwa ameondoa uwezekano wa hilo.
Katika taarifa yake, alisema mwanawe "amelengwa" na kuzitaja kesi zake kuwa "ukosefu wa haki".
Hunter Biden alikiri mashtaka ya kukwepa kulipa ushuru mapema Septemba, na alipatikana na hatia ya kuwa mtumiaji haramu wa dawa za kulevya na kumiliki bunduki mnamo mwezi Juni - na kuwa mtoto wa kwanza wa rais aliyeko madarakani kuhukumiwa kwa uhalifu.
Akijibu msamaha huo, Rais Mteule Donald Trump alisema: "Je, Msamaha uliotolewa na Joe kwa Hunter unajumuisha waliokamatwa [Januari 6], ambao sasa wamefungwa kwa miaka mingi? Unyanyasaji na ukosefu wa Haki!"
Trump alikuwa akimaanisha wafuasi wake waliovamia Bunge la Marekani tarehe 6 Januari 2021 kwa nia ya kubatilisha kushindwa kwa Trump katika uchaguzi wa 2020.
Msamaha kamili na usio na masharti wa Joe Biden kwa mtoto wake unawadia baada ya rais kusema hapo awali kuwa hatatoa msamaha kwa mtoto wake.
Lakini Jumapili jioni, Rais Biden alisema ingawa anaamini katika mfumo wa haki, "siasa zimeingia katika mchakato huu na kusababisha kukosekana kwa haki".
BBC
 
Wengi hamjaelewa hata.. , Rais akiwa anamaliza muda wake ana haki ya kikatiba ya kutoa msamaha kwa wafungwa mbalimbali. Hii hata huku kwetu ipo tena kwa muda wowote ndo maana unaskia wametolewa kwa msamaha wa Rais kwa mfano babu seya na nguza... wala Magufuli hakuingilia mhimili wa mahakama kwani ana haki kikatiba kama Rais kusamehe wafungwa


Biden hapo kajieleza sana maana anajua watu watamsema kwa kua ni mtoto wake, Makosa yenyewe ya kawaida sana alikosea kujaza fomu wakati ananunua silaha,kuchelewa(kukwepa) kulipa kodi


Huko democracy bado ipo juu sana, leo hii huku kwetu nani anaweza kwenda hata kumshika mtoto wa Samia eti hajalipa kodi?
 
Sheria za marekani ziko vizuri sana.yeyote zinamwajibisha hata kama mtoto wa rais.Kwa Tanzania nani mwenye ubavu wa kumshitaki mtoto wa rais anapofanya jinai?jibu ni hakuna mwenye ubavu.
 
hapo amewajibishwa nini zaidi msahama wa hovyo kwa mhalifu huyo

ngoja january ifike kesi itaanza upya
Kitendo tu Cha mtoto wa bideni kufunguliwa mashitaka ni ukomavu wa mhimili wa mahakama wa marekani.kwa Tanzania nani mwenye ubavu huo wa hata kujaribu tu kumfungulia mashitaka mtoto wa rais?
 
Wengi hamjaelewa hata.. , Rais akiwa anamaliza muda wake ana haki ya kikatiba ya kutoa msamaha kwa wafungwa mbalimbali. Hii hata huku kwetu ipo tena kwa muda wowote ndo maana unaskia wametolewa kwa msamaha wa Rais kwa mfano babu seya na nguza... wala Magufuli hakuingilia mhimili wa mahakama kwani ana haki kikatiba kama Rais kusamehe wafungwa


Biden hapo kajieleza sana maana anajua watu watamsema kwa kua ni mtoto wake, Makosa yenyewe ya kawaida sana alikosea kujaza fomu wakati ananunua silaha,kuchelewa(kukwepa) kulipa kodi


Huko democracy bado ipo juu sana, leo hii huku kwetu nani anaweza kwenda hata kumshika mtoto wa Samia eti hajalipa kodi?
Unga ujatolea maelezo anakesi ya UNGA akibwia mwenyewe!!!
 
Wengi hamjaelewa hata.. , Rais akiwa anamaliza muda wake ana haki ya kikatiba ya kutoa msamaha kwa wafungwa mbalimbali. Hii hata huku kwetu ipo tena kwa muda wowote ndo maana unaskia wametolewa kwa msamaha wa Rais kwa mfano babu seya na nguza... wala Magufuli hakuingilia mhimili wa mahakama kwani ana haki kikatiba kama Rais kusamehe wafungwa


Biden hapo kajieleza sana maana anajua watu watamsema kwa kua ni mtoto wake, Makosa yenyewe ya kawaida sana alikosea kujaza fomu wakati ananunua silaha,kuchelewa(kukwepa) kulipa kodi


Huko democracy bado ipo juu sana, leo hii huku kwetu nani anaweza kwenda hata kumshika mtoto wa Samia eti hajalipa kodi?
Marekani hakujawahi kua na demokrasia na unafiq wao Joe alisema ataiachia mahkama imuhukumu hanta ila kaona awe yeye ndio mahkama bure kabisa
 
Wengi hamjaelewa hata.. , Rais akiwa anamaliza muda wake ana haki ya kikatiba ya kutoa msamaha kwa wafungwa mbalimbali. Hii hata huku kwetu ipo tena kwa muda wowote ndo maana unaskia wametolewa kwa msamaha wa Rais kwa mfano babu seya na nguza... wala Magufuli hakuingilia mhimili wa mahakama kwani ana haki kikatiba kama Rais kusamehe wafungwa


Biden hapo kajieleza sana maana anajua watu watamsema kwa kua ni mtoto wake, Makosa yenyewe ya kawaida sana alikosea kujaza fomu wakati ananunua silaha,kuchelewa(kukwepa) kulipa kodi


Huko democracy bado ipo juu sana, leo hii huku kwetu nani anaweza kwenda hata kumshika mtoto wa Samia eti hajalipa kodi?
Tofautisha mfungwa na mtuhumiwa.
Nguza alikuwa mfungwa
Hunter hajahukumiwa bado ni convict.
Sheria zao za kindezi
 
Back
Top Bottom