International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Kampuni hizi zinasema kuwa zinawekeza zaidi katika uzalishaji bidhaa nchini Marekani huku ushuru (Tariffs) unapoanza kutumika. Tangu kuanza kwa muhula wa pili wa rais Trump, mashirika kadhaa...
0 Reactions
0 Replies
278 Views
Katibu Mkuu wa Usalama wa Ndani nchini Marekani, Kristi Noem ameonja adha wa wananchi wa kawaida nchini humo Kaibiwa pochi nene kabisa. Ndani ya pochi mlikuwemo bulungutu la kushiba mtu...
0 Reactions
4 Replies
554 Views
Kinachoendelea pale Gaza ni kama walimwengu wameamua waiache Israel ishinde vita vyake vya kuwamaliza Hamas na kuitawala Palestina. Kundi jengine la walimwengu ni kama wale wapenzi wa filamu za...
12 Reactions
68 Replies
3K Views
Majeshi ya Marekani bado yanaendeleza kipondo kwa Wahouth huko Yemen baada ya wao kununua ugomvi usiowahusu. Majeshi ya Marekani usiku huu yameshusha kipondo cha kufa mtu kwa magaidi hao na...
3 Reactions
15 Replies
862 Views
Vatican wamethibitisha kuwa Papa Francis amefariki dunia Jumatatu asubuhi kutokana na kiharusi kilichofuatiwa na kushindwa kwa moyo. Taarifa rasmi imeeleza kuwa afya ya Papa ilikuwa tayari...
1 Reactions
1 Replies
706 Views
"Nimebubujikwa na machozi ya furaha" kumsikia Rais Donald Trump akitamka maneno mazito wakati akifungua sherehe na ibada maalum ya kuadhimisha Pasaka, masaa machache yaliyopita: "Tukiwa...
19 Reactions
73 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote? Umri miaka 77 na asili kutokea Ireland ameshika hatamu muda huu. Taarifa kamili za wasifu wake hapo chini kwa kimombo: FARRELL Card. Kevin Joseph Card FARRELL Kevin...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Mungu wetu awatie nguvu wakatoliki na wakiristo wote tukiwa kwenye msiba mzito wa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Papa Francis
2 Reactions
29 Replies
1K Views
Kwanini ulevi wa aina yoyote ile umetajwa kuw ni haramu ni kwa vile unasababisha majanga makubwa kwa watu waiso na hatia.Mtume saw kasema ulevi na mama wa maasi. Watu 12 huko Ecuador wamepigwa...
5 Reactions
32 Replies
2K Views
Waziri wa mambo ya ndani Marekani Department of homeland security secretary Kristi Noem mwenye kiherehere cha kushika na kudepot wahamiaji wasiokuwa na makaratasi sahihi ya kuishi Marekani...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Marekani, kupitia Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio, imetangaza kuwa itajiondoa kwenye mazungumzo ya amani kati ya Ukraine na Urusi ndani ya siku chache zijazo endapo hakutakuwa na dalili za wazi...
3 Reactions
46 Replies
3K Views
hii ndiyo pakistani ( officially the islamic republic of pakistan) … Take a walk through the streets of Bhati Gate Lahore, Pakistan and explore local life and street food. This 4K walking tour...
1 Reactions
3 Replies
529 Views
Mpaka leo hii China bara hakuna uwakilishi wa rasmi wa Kanisa Katoliki la Roma, shughuli zao zinafanywa na "underground church" ambalo ni kanisa la mafichoni na lisilotambuliwa na serikali ya...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Serikali ya ki Communist ya china imetishia kuchukua hatua kali dhidi nchi marafik waliokuwa wanafanya nao biashara baada ya nchi hizo kuwa ktk shinikizo la kuikacha china na kufanya biashara na...
4 Reactions
6 Replies
613 Views
Wadau hamjamboni nyote? Papa Francis aliyefariki Leo anakuwa papa wa kwanza kwa kipindi cha zaidi ya Karne moja kuamua kutozikwa Vatican. Mapapa kiutamaduni huzikwa Vatican ndani ya Kanisa Mkuu...
1 Reactions
4 Replies
970 Views
Control ya raia iliyoko China ni kiwango cha kambi za mateso. 1. Ni taifa pekee kubwa duniani linalotumia time zone moja. 2. Ni taifa ambalo raia kutembelea jimbo lingine inabidi kupewa kibali...
13 Reactions
122 Replies
4K Views
Huyu jamaa anampenda Mungu lkn na Dunia anaipenda pia
3 Reactions
8 Replies
713 Views
Ni muendelezo wa mauaji ya kigaidi huko Nigeria katika mkesha wa pasaka.
2 Reactions
15 Replies
734 Views
Donald Trump plans to shut dozens of US embassies – including 8 in Africa According to an internal State Department memo seen by CNN, the Trump administration is considering the closure of up to...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…