International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Lebanon yaionya Hamas dhidi ya mashambulizi yanayotishia usalama wa taifa. Chombo cha juu cha usalama cha Lebanon kimeonya kundi la Palestina la Hamas dhidi ya kutumia eneo la nchi hiyo kwa...
1 Reactions
12 Replies
585 Views
Report zinasema Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama ya London nchini Wingereza iliyomkuta na hatia ya kumtumikisha Mwanadada Nyumbani/ House Girl kwake bila malipo stahiki. Mwanamke huyo mwenye...
5 Reactions
58 Replies
2K Views
Wanakumbi. Moto mkubwa wa misitu umezuka katika maeneo mengi ya Israeli. Israel imeomba rasmi msaada wa kimataifa kutoka mataifa kadhaa kusaidia kuzima moto huo. Malipo hapa hapa duniani Mungu...
14 Reactions
181 Replies
7K Views
Kama kuna mtu atataja kiongozi wa kiarabu aliewahi kuongoza nchi inayoitwa Palestine kabla ya 1948, kuna milioni 1 yako Kuna watu wamekuwa brainwashed sana kuamini huo uongo tajeni viongozi wa...
12 Reactions
125 Replies
5K Views
Gaidi Razeq al-Madhoun hatimaye ameangamizwa katika mji wa Gaza alipokuwa akijificha miongoni mwa raia katika kitongoji chenye wakazi wengi. Majeshi ya Israel kwa umahiri mkubwa yameweza...
2 Reactions
6 Replies
587 Views
Abu Mazen anawashutumu Hamas kwa kupora maghala ya chakula katika Ukanda wa Gaza Mwenyekiti wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Abu Mazen, alichapisha taarifa rasmi jioni hii akizungumzia hali...
0 Reactions
8 Replies
496 Views
Jeshi la Lebanon limebomoa zaidi ya 90% ya miundombinu ya Hezbollah karibu na mpaka. "Tumebomoa zaidi ya 90% ya miundombinu ya Hezbollah katika eneo la kusini mwa Litani," afisa huyo, ambaye...
2 Reactions
7 Replies
683 Views
Tuelimishane hapo ,mimi naamini demokrasia ni ujinga na uhuni. Neno "demo-" ndiyo mzizi wa demokrasia ambapo maana yake ni "onesho" kwahiyo demokrasia ni maonesho ya kisiasa tu na siyo uhalisia wa...
3 Reactions
26 Replies
971 Views
Hapo ni Uingereza wavamizi tayari wako ndani sasa hivi wanaweka tamaduni zao, kwa miaka 10 inayoitwa Ulaya na Marekani zitakuwa chini ya mtu mwingine kabisa. WAKE-UP EUROPE!!! WAKE-UP AMERICA!!!
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Kumbe vita havitakuja kuisha duniani hata karne zijazo kwa sababu binadamu tunatofautiana mitazamo na imani. Historia inaonesha vita vilikuwepo karne na karne sehemu mbalimbali duniani ikiwemo...
3 Reactions
14 Replies
920 Views
Rais Donald Trump alitangaza kwamba ununuzi wote wa mafuta ya Iran na bidhaa za petrochemical lazima usitishwe mara moja. Alionya kuwa nchi yoyote au mtu yeyote anayeendelea na biashara hiyo...
2 Reactions
52 Replies
2K Views
Pamoja na kuzuiwa na Israel Meli iliyokuwa na misaada Gaza Flotilla ilianza safari yake kuelekea Gaza ambako wanajua wazi kuwa hawawezi kwenda kwa sababu ya mzingiro wa kijeshi eneo hilo kufuatia...
0 Reactions
2 Replies
312 Views
Netanyahu anasema 'lengo kuu' la vita ni ushindi, sio kurudi kwa mateka Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu anahudhuria hafla ya kumbukumbu ya serikali ya wanajeshi wa Israeli waliokufa, katika...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Tukisema USA ni taifa la chokochoko,dhulma,wivu na uonevu mnatuambia sisi tuna chuki na Marekani. YouTube · Afro Page 4.7K+ views · 4 days ago US Wants to Arrest Capt. Traoré for Trading Gold for...
5 Reactions
76 Replies
5K Views
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ( BIBI ) lengo kuu la operation ya kijeshi inayoendelea huko Gaza ni kuifuta Hamas ili isije kuwa hatari kwa Israel tena. Gaza sasa itakuwa chini ya...
0 Reactions
1 Replies
307 Views
Habari hii iliripotiwa kwa mara ya kwanza mnamo Oktoba 9, 2024, kupitia jukwaa la Nairaland. Katika tukio hilo la kusikitisha, mwanamke mmoja nchini Nigeria alikamatwa kwa kosa la kumchoma msumari...
2 Reactions
15 Replies
671 Views
Inachofanya Israel kwa mataifa jirani ni utovu wa nidhamu mkubwa na kudharau utu wao.Mtua anayekudharau kupitiliza na kukuvunjia heshima lazima utafute mbinu naye umfedheheshe hadharani...
6 Reactions
44 Replies
2K Views
Serikali ya Tanzania yahitaji kuchukua hatua kali dhidi ya meli za uvuvi za kigeni, hasa kutoka China, zinazofanya shughuli za uvuvi haramu, zisizoripotiwa, na zisizodhibitiwa (IUU) ndani ya eneo...
1 Reactions
0 Replies
481 Views
Utawala wa Syria asubuhi ya leo umemkamata Dkt. Talal Naji mjini Damascus. Yeye ni Katibu Mkuu wa Front Front for the Popular Front for the Liberation of Palestine - General Command (shirika la...
0 Reactions
2 Replies
297 Views
Tukio la kibaguzi lililorekodiwa katika uwanja wa michezo wa Minnesota limezua hasira na kuzua mzozo usiotarajiwa baada ya mwanamke anayeitwa Shiloh Hendrix (kwenye picha) kurekodiwa akielekeza...
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Back
Top Bottom