Kufuatia operesheni maalum ya IDF na Shin Bet katika eneo la Rafah, mwili wa marehemu Natthapong Phintha, ambaye alitekwa nyara kutoka Kibbutz Nir Oz mnamo Oktoba 7, umerudishwa Israeli...
Trump na Musk wanafanya biashara ya matusi huku mzozo ukizuka hadharani
Mtafaruku kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na mshauri wake wa zamani Elon Musk umeibuka wazi, huku kila mmoja...
Yaani jamaa huwa wamejazwa ilmu ya dini, sio mchezo, mpaka mtu anaamua kujilipua......
Asuspected al-Shabab suicide bomber killed several people and wounded others Sunday in an attack on a...
Greta na marafiki wanakaribia Nchi Takatifu.
Israel tayari imeamua kwamba Kiherehere maarufu huyo hatafika ufuo wa Gaza. Atapigwa na kitu kizito hukohuko!!
Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer anashutumu hatua za Israel huko Gaza kuwa "haziwezi kuvumilika" na kutishia vikwazo zaidi, huku akipuuza ugaidi wa Hamas na mgogoro unaoendelea wa mateka...
Wanaukumbi.
Israel’s Prime Minister Benjamin Netanyahu has said the country is using armed gangs in Gaza to help fight Hamas, his admission coming after a new wave of military strikes on the...
NATO wana ofisi( liaison officer) kwenye makao makuu ya Umoja wa Afrika ( AU) yaliyopo Addis Ababa Ethiopia.
Ofisi za NATO ziko hapo tangu mwaka 2015. Viongozi wanaouhusika na masuala ya kijeshi...
Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kupiga marufuku raia wa nchi 12 kuingia Marekani.
Nchi zilizopigwa marufuku kwa raia wao kuingia Marekani ni Afghanistan, Myanmar, Chad, Republic of the...
Kwa miezi kadhaa Trump alikuwa akijaribu sana kuongea na Xi bila mafanikio.
Pia alikuwa akitamani sana atembelee China aongee na Xi
Hatimaye leo ndoto zake zote 2 zimetimia kwanza ya kuongea na...
Raia wa Misri Mohammed Sabri Suleiman amefunguliwa mashitaka 118 ya uhalifu baada ya kufanya shambulio kwenye maandamano ya Colorado yaliyofanyika kuwaunga mkono mateka wa Israel.
Mashtaka dhidi...
Donald Trump ameendelea kumshambulia Elon Musk kupitia mtandao wa Truth Social, akisema:
"Elon alikuwa ‘anavuka mipaka’, nilimwambia aondoke, niliondoa amri ya magari ya umeme (EV Mandate)...
Jeshi la Israel lilidai siku ya Alhamisi kuwa “maandalizi yanaendelea kwa ajili ya kushambulia miundombinu kadhaa ya chini ya ardhi inayotumika kutengeneza ndege zisizo na rubani (UAVs) ambayo...
Bila shaka kuna vitu Trump kajifunza kuhusu Xi katika hivi vita vya biashara na ushuru mpaka tulipo fikia hapa inawezekana alikuwa ana mchukulia kawaida Rais wa China Xi kama anavyo vichukulia...
Kiongozi wa Upinzani huko Israel bwana Yair Lapid ameishutumu serikali ya Israel chini ya Benjamin Netanyahu kwa kuunda kundi jingine la wanamgambo huko Gaza na kuwapa Silaha. bwana Yair amesema...
Lebanon yalaani shambulizi la anga la jana usiku huko Beirut.
Israel inasema Lebanon ijilaumu yenyewe pamoja na magaidi wa Hezbollah inaowakumbatia.
Waziri wa Ulinzi Israel Katz alijibu matamshi...
Elon Musk jana akitokea hadharani akiwa na ngeu usoni ameulizwa kuhusu taarifa za yeye kutumia dawa za kulevya akawa mkali sana bila kukanusha hayo madai.
Naona wameshibana sasa, mpaka Musk kumwambia Trump bila yeye, asingeshinda
Na pia Musk amekasirika baada ya Trump kuweka kodi kubwa kwa matajiri
Tulisema hawa hawafiki mbali
Yamefika sasa...
Marekani yapinga azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kutaka kusitishwa kwa mapigano Gaza
Marekani inapiga kura ya turufu azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalotaka...