Mazishi ya watu wengi kwa magaidi wa Hezbollah waliouawa na Israeli bado yanaendelea kusini mwa Lebanon.
Picha na mabango 2 yanatoka kwenye kundi la leo. Orodha ndefu (picha 3 za mwisho) ni kundi...
Iran kwa sasa inaonekana kama nchi inayosema:
“Ni afadhali nikabiliane na Uncle Sam kuliko nimguse Israel.”
Marekani ikishambulia, Iran nayo hujibu kwa kushambulia kambi za Marekani katika...
AMEANGAMIZWA: KAMANDA WA HAMAS, WALID HANIYA—ambaye anadaiwa kuwapiga risasi na kuwaua watoto 10 wasio na hatia mbele ya familia zao, na ambaye pia anadaiwa kumbaka kwa nguvu na kumuua mwanamke...
AMEKATAA OFFA
----------
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, amekataa katakata ofa ya kwenda Moscow kukutana na Vladimir Putin. Amesema mapendekezo hayo ya Kremlin ni "michezo" tu, na yeye...
Katika matukio ya kutisha yaliyotokea wakati wa tetemeko la ardhi nchini Venezuela, mtoto mdogo anayejulikana kama Mateo anaripotiwa kunaswa chini ya vifusi baada ya majengo kuporomoka.
Katika...
Makundi yanayojiita Islamic Resistance in Iraq yalitangaza Alhamisi usiku kuwa yanatoa zawadi ya dola milioni 10 kwa yeyote atakayemuua Rais wa Marekani Donald Trump, kwa mujibu wa shirika la...
Amri Kuu ya Marekani ilitangaza kwamba kizuizi cha baharini dhidi ya bandari za Iran kimerejeshwa, huku shughuli zikilenga meli zinazoingia au kutoka katika vituo vya pwani ya Iran.
Iliongeza...
Msikilile Ayatollah akielezea maana ya "death to Amerika" halafu kuna watu wanamtetea kwamba alikuwa mtu wa amani na kwamba kaonewa, ilikuwa ni sawa kum-eliminate kwa maana yeye ndiye aliyeanza...
Serikali ya Sierra Leone imeamua kufuta mashtaka yote ikiwemo yale ya uhaini—yaliyokuwa yakimkabili Rais wa zamani wa nchi hiyo, Ernest Bai Koroma. Kiongozi huyo alikuwa amekamatwa akihusishwa na...
Former Binga North legislator Prince Dubeko Sibanda has approached Zimbabwe’s Constitutional Court in a new legal challenge against parts of the recently enacted Constitution of Zimbabwe Amendment...
Zimbabwe recorded 563 maternal deaths and 6,177 neonatal deaths in 2025, highlighting the continued challenges facing maternal and newborn healthcare despite ongoing efforts to strengthen the...
Kuanzia mwanzoni mwa mwaka huu Marekani na Israel zilipozusha mgogoro wa Mashariki ya kati kwa kuishambulia Iran, bei ya mafuta kwenye soko la dunia ilipanda kwa ghafla na kuleta changamoto kwa...
Huu ni mwaka wa 50 tangu kuzinduliwa rasimi wa Reli ya TAZARA. Reli hiyo inayopita Bonde la Ufa la Afrika Mashariki ni ushuhuda wa urafiki kati ya China na Afrika. Nusu karne iliyopita, wahandisi...
Katika kipindi cha kati ya mwaka 1959 hadi 1961 China ilikumbwa na tatizo kubwa la uhaba wa chakula, tatizo ambalo lilisababisha madhara makubwa ya kiuchumi na kijamii na hata vifo kwa watu wengi...
Ukuta Mkuu wa China ni moja ya maajabu ya dunia yanayofahamika katika dunia nzima. Kwa sasa ukuta huu wenye urefu wa zaidi ya kilometa elfu 21 uliojengwa kwa ajili ya sababu za usalama kwa madola...
Ndani ya karakana iliyojaa watu wengi kando ya pwani ya Bahari Nyekundu ya Misri, Kareem Gaber, meneja wa vifaa katika kampuni ya Jushi Egypt Fiberglass Co., Ltd., amesimama karibu na kigari cha...
Kikundi cha kupinga wahamiaji nchini Afrika Kusini kimethibitisha kifo cha mmoja wa viongozi wake aliyepigwa risasi katika kile kinachodaiwa kuwa ni mauaji ya kupangwa.
Andile Somgxada, ambaye...
Jitihada za Afrika Kusini za kuwashtaki wahusika wa kashfa kubwa ya ufisadi ndani ya jeshi la polisi zimegonga mwamba, baada ya mfanyabiashara Vusimuzi "Cat" Matlala kujiondoa kwenye makubaliano...