International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Mhariri mashuhuri wa gazeti la Zimbabwe Independent, Faith Zaba, amekamatwa na kuzuiliwa jijini Harare siku ya Jumatano kwa kuchapisha makala ya kejeli inayomkosoa Rais Emmerson Mnangagwa, hatua...
0 Reactions
3 Replies
307 Views
Trump alidai hivi karibuni kwamba Elon Musk angekuwa “rasmi anarudi Afrika Kusini” ikiwa serikali ya Marekani itakata misaada kwa makampuni yake. Hii ilitokea alipokosoa muswada wake wa matumizi –...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
beautiful congolese woman as a white house reporter …
3 Reactions
16 Replies
1K Views
moja ya viongozi wakuu wa kidini nchini Iran 🇮🇷 Ayatollah Makarem Shirazi, ametoa wito kwa waislam kote Duniani, kuwaua Donald Trump na Benjamin Netanyahu, akiwaita viongozi hao kuwa ni “maadui wa...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Nchi hizi mbili zimeanza mchakato wa kupitia upya tekinolojia wanazotumia kwenye ulinzi wa anga baada ya Israel kuiangamiza Iran kwa kiwango kikubwa mno. Jamii nzima ya kimataifa imepatwa na...
16 Reactions
98 Replies
4K Views
srael imekubali masharti ya kusitisha mapigano Gaza kwa siku 60, Trump anasema Israel imekubali "masharti ya lazima" ili kukamilisha usitishaji vita wa siku 60 huko Gaza, Rais wa Marekani Donald...
2 Reactions
9 Replies
767 Views
Watu watatu wameuawa na 35 kupelekwa hospitali kufuatia shambulio la Ukraine kwenye kiwanda kimoja katika mji wa Izhevsk - zaidi ya kilomita 1,000 kutoka mpakani, mamlaka ya Urusi inasema. Kati ya...
2 Reactions
2 Replies
423 Views
Kumekucha Burundi. Naomba kuuliza, kuna ubaya gani kwa nchi za Kiafrika kuendesha demokrasia huru shindani ili kudumisha amani na kuleta maendeleo kwa wananchi? Kwa sababu vyama vingi vina faida...
7 Reactions
64 Replies
3K Views
Ujumbe ndio huo Israel angejifanya kichwa maji Iran angeimaliza Israel yote. https://www.youtube.com/live/lApYRMw7eHQ?si=mCrHvVQZ4D4AqEkY...
13 Reactions
41 Replies
2K Views
🇺🇸✈️ Marekani Yairuhusu Israel Kupokea Vifaa vya Mabomu ya Kisasa vya JDAM Tarehe: 30 Juni 2025 Chanzo: Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Reuters, Anadolu Agency Serikali ya Marekani, kupitia...
11 Reactions
83 Replies
3K Views
Wale ni Mayahudi wa Kutengeneza👆🏻 Ukweli wa Vita ya Iran na Taifa haram👆🏻 Wayahudi weusi kutoka 🇹🇿 nawasubiri
9 Reactions
89 Replies
3K Views
Marais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Vladimir Putin wa Urusi wamezungumza kwa simu jana Jumanne ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka miwili na nusu. Macron ametumia mazungumzo hayo...
0 Reactions
0 Replies
377 Views
Bunge la Kitaifa linaloungwa mkono na serikali ya Venezuela limemtangaza Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu, Volker Turk kuwa mtu asiyetakiwa nchini humo Hatua ya Venezuela...
0 Reactions
0 Replies
309 Views
Picha za satelaiti kutoka Maxar Technologies zinaonyesha vifaa vizito vya ujenzi vikifanya kazi katika kituo cha nyuklia cha Fordo nchini Iran mojawapo ya maeneo yaliyoshambuliwa na jeshi la...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Israel yatangaza kufanya mashambulizi nchini Iran Milipuko ya mabomu yasikika katika mji mkuu wa Iran wa Tehran Usiku wa kuamkia leo Juni 13 Israel imefanya mashambulizi ya anga kwa nchi ya...
37 Reactions
2K Replies
65K Views
Elon Musk alijua, kabla hata hajanipigia debe kwa nguvu kama Rais, kwamba nilikuwa napinga vikali agizo la magari ya umeme (EV Mandate). Agizo hilo ni la kipuuzi, na lilikuwa sehemu kuu ya kampeni...
9 Reactions
22 Replies
2K Views
Rais Trump wa Marekani amesema kuwa Marekani imeshambulia site tatu za mitambo ya nyuklia ya Iran vilivyoko Fordow, Natanz na Isfahan huku akiwaonya Iran kutolipiza kisasi Pia Waziri Mkuu wa...
31 Reactions
533 Replies
23K Views
1. Lord's Resistance Army (LRA): Hili ni kundi la waasi lililoanzishwa mwaka 1987 nchini Uganda na Joseph Kony. Kundi hili limehusishwa na vitendo vya kikatili, ikiwa ni pamoja na utekaji nyara...
17 Reactions
123 Replies
28K Views
Anawaambia Congo na Rwanda ole wenu atakaekiuka mkataba huu. Hii ni baada ya kuwasainisha mkataba. Trump ana dharau mpaka anakera.
10 Reactions
44 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…