International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

AMEKATAA OFFA ---------- Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, amekataa katakata ofa ya kwenda Moscow kukutana na Vladimir Putin. Amesema mapendekezo hayo ya Kremlin ni "michezo" tu, na yeye...
9 Reactions
50 Replies
1K Views
Katika matukio ya kutisha yaliyotokea wakati wa tetemeko la ardhi nchini Venezuela, mtoto mdogo anayejulikana kama Mateo anaripotiwa kunaswa chini ya vifusi baada ya majengo kuporomoka. Katika...
2 Reactions
5 Replies
182 Views
Makundi yanayojiita Islamic Resistance in Iraq yalitangaza Alhamisi usiku kuwa yanatoa zawadi ya dola milioni 10 kwa yeyote atakayemuua Rais wa Marekani Donald Trump, kwa mujibu wa shirika la...
0 Reactions
19 Replies
388 Views
Amri Kuu ya Marekani ilitangaza kwamba kizuizi cha baharini dhidi ya bandari za Iran kimerejeshwa, huku shughuli zikilenga meli zinazoingia au kutoka katika vituo vya pwani ya Iran. Iliongeza...
4 Reactions
32 Replies
854 Views
Msikilile Ayatollah akielezea maana ya "death to Amerika" halafu kuna watu wanamtetea kwamba alikuwa mtu wa amani na kwamba kaonewa, ilikuwa ni sawa kum-eliminate kwa maana yeye ndiye aliyeanza...
0 Reactions
38 Replies
473 Views
  • Featured
Serikali ya Sierra Leone imeamua kufuta mashtaka yote ikiwemo yale ya uhaini—yaliyokuwa yakimkabili Rais wa zamani wa nchi hiyo, Ernest Bai Koroma. Kiongozi huyo alikuwa amekamatwa akihusishwa na...
2 Reactions
9 Replies
553 Views
Former Binga North legislator Prince Dubeko Sibanda has approached Zimbabwe’s Constitutional Court in a new legal challenge against parts of the recently enacted Constitution of Zimbabwe Amendment...
0 Reactions
0 Replies
64 Views
Zimbabwe recorded 563 maternal deaths and 6,177 neonatal deaths in 2025, highlighting the continued challenges facing maternal and newborn healthcare despite ongoing efforts to strengthen the...
0 Reactions
0 Replies
54 Views
Kuanzia mwanzoni mwa mwaka huu Marekani na Israel zilipozusha mgogoro wa Mashariki ya kati kwa kuishambulia Iran, bei ya mafuta kwenye soko la dunia ilipanda kwa ghafla na kuleta changamoto kwa...
1 Reactions
1 Replies
149 Views
Huu ni mwaka wa 50 tangu kuzinduliwa rasimi wa Reli ya TAZARA. Reli hiyo inayopita Bonde la Ufa la Afrika Mashariki ni ushuhuda wa urafiki kati ya China na Afrika. Nusu karne iliyopita, wahandisi...
0 Reactions
11 Replies
182 Views
Katika kipindi cha kati ya mwaka 1959 hadi 1961 China ilikumbwa na tatizo kubwa la uhaba wa chakula, tatizo ambalo lilisababisha madhara makubwa ya kiuchumi na kijamii na hata vifo kwa watu wengi...
1 Reactions
1 Replies
83 Views
Ukuta Mkuu wa China ni moja ya maajabu ya dunia yanayofahamika katika dunia nzima. Kwa sasa ukuta huu wenye urefu wa zaidi ya kilometa elfu 21 uliojengwa kwa ajili ya sababu za usalama kwa madola...
3 Reactions
2 Replies
113 Views
Ndani ya karakana iliyojaa watu wengi kando ya pwani ya Bahari Nyekundu ya Misri, Kareem Gaber, meneja wa vifaa katika kampuni ya Jushi Egypt Fiberglass Co., Ltd., amesimama karibu na kigari cha...
1 Reactions
0 Replies
72 Views
Kikundi cha kupinga wahamiaji nchini Afrika Kusini kimethibitisha kifo cha mmoja wa viongozi wake aliyepigwa risasi katika kile kinachodaiwa kuwa ni mauaji ya kupangwa. Andile Somgxada, ambaye...
2 Reactions
8 Replies
479 Views
Jitihada za Afrika Kusini za kuwashtaki wahusika wa kashfa kubwa ya ufisadi ndani ya jeshi la polisi zimegonga mwamba, baada ya mfanyabiashara Vusimuzi "Cat" Matlala kujiondoa kwenye makubaliano...
0 Reactions
2 Replies
105 Views
Trump anataka na yeye ushuru Chanzo cha picha,Reuters Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Baharini (IMO), ambalo ni wakala wa Umoja wa Mataifa, limesema linapinga utozwaji wa ada kwa meli...
3 Reactions
10 Replies
412 Views
Serikali ya Afrika Kusini imefanya maboresho katika sera yake ya msamaha wa visa, ikithibitisha kuwa raia kutoka nchi 22 za Afrika sasa wanaweza kuingia nchini humo bila visa kwa ajili ya utalii...
5 Reactions
2 Replies
221 Views
HARARE, Zimbabwe – Zimbabwe has commissioned Africa’s first lithium sulphate processing plant, a landmark US$400 million investment expected to create more than 2,000 jobs while positioning the...
0 Reactions
0 Replies
240 Views
Bertha Asiedua Boadu, mwanafunzi kijana wa Ghana, alianza kupenda kutazama filamu za Kichina mwaka 2020. Ili kuelewa hadithi za filamu bila kutegemea (subtitle) yaani tafsiri zinazopita chini ya...
0 Reactions
2 Replies
89 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…