Ripoti zinasema kuwa kumetokea shambulizi katika makao makuu ya polisi kwenye mji mkuu wa Somalia Mogadishu.
Ripoti moja ilisema kwa mshambuliaji wa kujitolea mhanga, alivurumisha gari lake...
One of South America's most dangerous criminals had a plasma TV and DVDs, plenty of furniture and a stocked fridge in his cell.
His quarters also had a sofa, smart laminated flooring and curtains...
Sixteen people were killed when a hot air balloon burst into flames and plummeted to earth soon after dawn outside the town of Lockhart, south of Austin, Texas
Sixteen people were killed when a...
Rais wa zamani wa Brazil, Luiz Inacio Lula da Silva, atakabiliwa na mashtaka ya kuzuia utekelezaji wa haki.
Stakabadhi kutoka mahakama moja ya Brasilia zinaonyesha kuwa Lula ameshtakiwa pamoja na...
Kampeni za mwisho mwisho za Uchaguzi mkuu wa Zambia unaotarajiwa kufanyika Agosti 11 zimeshika kasi. Kampeni hizi hazijacheza mbali na mmoja wa wanasoka bora kuwahi kutokea barani Afrika, KALUSHA...
Facebook imemaliza jaribio lake la kurusha ndege yake inayotumia solar energy huko angani. Lengo ni kurahisisha internet katika maeneo ambayo mitandao haijafika ambapo inatoa wireless internet...
Tukitizama figisu figisu za hawa jamaa zetu tuliowakaribisha majuzi kwenye jumuiya yetu pendwa ya EAC, nadhani hatukupaswa kuwakaribisha kwa sasa maana bado wanaendeleza sarakasi zao za kuteuana...
Wadada wa venezuela wamekuja na syle yao mpya ya kampeni kwa maneno ya ti-shirts zao
tafsiri ya maneno yaliyopo kwenye ti-shirt inasema ''naipenda venezuela bila chavez''
sound like naipenda tz...
Mafuriko mashariki mwa India na nchini Nepal yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 100 na kuwaathiri mamilioni ya wengine.
Mito iliyojaa maji imesababisha vijiji kufurika na kuwalazimu maelfu ya...
Maafisa wa upelelezi nchini Marekani wamesema kuwa programu ya komputa inayotumiwa na jopo linalosimamia kampeni ya Bi Hillary Clinton imedukuliwa.
Mameneja wanaosimamia kampeni ya Bi Clinton...
Maafisa wa upelelezi nchini Marekani wamesema kuwa programu ya komputa inayotumiwa na jopo linalosimamia kampeni ya Bi Hillary Clinton imedukuliwa.
Mameneja wanaosimamia kampeni ya Bi Clinton...
Great thinkers,
Rais wa ufilipino (The Punisher) alishaamrisha vibaka/wauzaji/watumiaji wa madawa ya kulevya wauawe wote! Na hata raia ikitokea umemuua muuza madawa/mtumiaji hakuna kesi...
The Investment arm of the Japanese auto Maker Toyota Motor corporation has bid for the 2000km long Lamu-Juba Pipeline. The project will cost a whopping US$3 billion easily making the largest PPP...
More than 10,000 Muslim women have registered their desire to be married at a mass ceremony in Kano.
The Hizba board, the main Islamic authority in the predominantly Muslim state, arranges the...
An aircraft wing part found in Tanzania is "highly likely" to be part of missing Malaysia Airlines flight MH370, an Australian government minister said on Friday, in what would be the second...
Apple’s China Problem Is That Local Phones are Good -- and Cheap
Alex Webb atbwebb
July 24, 2016 — 11:00 PM AST
Maker of iPhone has lost market share to Huawei and Oppo
Apple third-quarter...
Raia mmoja wa Malawi alionekana katika habari moja ya BBC akihusishwa na tambiko la usafishaji wa wasichana wadogo kupitia kushiriki ngono nao amekamatwa.
Eric Aniva amekamatwa kufuatia agizo la...
Harare, Zimbabwe: The country’s ATMs have run out of cash. Even the police and the army — linchpins of the government’s control — are not getting paid on time.
But as economic protests have...
An outbreak of the Zika virus has been confirmed in Florida, marking the first time the virus has been found to be transmitted via infected mosquitoes within the U.S.
The outbreak has infected at...
Kundi la wanamgambo wenye itikadi kali wa Dola la Kiislamu IS limedai kuhusika na shambulizi lililofanywa na watu wawili waliokuwa na visu katika Kanisa moja kaskazini mwa Ufaransa .
Kasisi wa...