Tukitizama figisu figisu za hawa jamaa zetu tuliowakaribisha majuzi kwenye jumuiya yetu pendwa ya EAC, nadhani hatukupaswa kuwakaribisha kwa sasa maana bado wanaendeleza sarakasi zao za kuteuana na kumwagana (hasa nafasi ya Makamu wa Rais).
Hawa jamaa ni kama hawaelewi dunia inaendaje. Na mateso wanayopata raia wao kwenye kambi za wakimbizi. Sasa Machar kapigwa chini kateuliwa mwingine duuh! tujiandae kupokea wakimbiz kwa wingi toka huko.
NB: Hivi hakuna namna ya kusitisha uanachama wao EAC tukawakaribisha kina Koffi Olamide? au hata Wahabeshi toka Ethiopia?
Hawa jamaa ni kama hawaelewi dunia inaendaje. Na mateso wanayopata raia wao kwenye kambi za wakimbizi. Sasa Machar kapigwa chini kateuliwa mwingine duuh! tujiandae kupokea wakimbiz kwa wingi toka huko.
NB: Hivi hakuna namna ya kusitisha uanachama wao EAC tukawakaribisha kina Koffi Olamide? au hata Wahabeshi toka Ethiopia?