International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Mawaziri wa Ulinzi na Mazingira wa Ghana wamefariki katika ajali ya Helikopta ya Kijeshi katika eneo la kati la Ashanti, pamoja na watu wengine sita. Mkuu wa Majeshi Julius Debrah aliuambia...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Israel lazima "iwashinde kabisa" Hamas huko Gaza, Benjamin Netanyahu amesisitiza siku ya Jumanne, Agosti 5. Mkuu wa majeshi ya Israeli, kama sehemu kubwa ya uongozi wa juu wa kijeshi, anapinga...
0 Reactions
2 Replies
499 Views
Mahakama ya Katiba nchini Cameroon imemzuia mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa Maurice Kamto kugombea urais dhidi ya Rais Paul Biya, ambaye ana miaka 92 na amekuwa madarakani tangu 1982...
0 Reactions
7 Replies
489 Views
Hatimaye mwanasiasa wa ngazi ya juu wa marekani ameondoka Taiwan mchana huu. Ziara ya Pelosi ilileta gumzo duniani kote na kufuatiliwa na mamilioni ya watu ulimwenguni kote. China imeachwa na...
13 Reactions
90 Replies
8K Views
Baada ya siku mbili za mazungumzo jijini Stockholm, pande zote zilionyesha nia ya kusuluhisha tofauti zao lakini msimamo wa Washington wa kuitaka China kusitisha biashara hiyo ya nishati bado ni...
8 Reactions
34 Replies
2K Views
  Su-57 Gains New Hypersonic Strike Capability: Why the Zircon Mach 9+ Missile Could be a Game Changer  Su-57 and Hypersonic Missile Artwork ***kama alivyoeleza Mkuu wa Jeshi la Anga la...
8 Reactions
1 Replies
738 Views
Wataalamu wa Shirika la Ujasusi la Kijeshi la Ukraine (HUR) wamefanikiwa kuvunja ulinzi wa Jeshi la Majini la Urusi na kupata nyaraka za ndani zinazohusu manowari mpya ya daraja la Project 955A...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Muungano wa kijeshi wa NATO unaratibu ufikishaji wa kawaida wa silaha kubwa kwa Ukraine baada ya Uholanzi kusema itatowa mfumo wa ulinzi wa anga, risasi na msaada mwengine wa kijeshi wenye thamani...
0 Reactions
1 Replies
296 Views
Ni ukweli kwamba anachofanya Ibrahim Traore ni jambo zuri in term of mabadiliko ni jambo ambalo waburkinafaso wanafurahia na waafrika wote wanafurahia Hawa viongozi wengi wa Afrika ambao ni...
21 Reactions
147 Replies
4K Views
Jeshi la Israel linasema limefanikiwa kulidunguwa kombora lililorushwa kutoka nchini Yemen mapema leo. Taarifa hiyo imekuja baada ya milio ya ving'ora vya hadhari kusikika kwenye maeneo kadhaa ya...
2 Reactions
10 Replies
704 Views
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema hakuna mtu anayekufa kwa njaa Gaza na kwamba Israel haijawahi kuwa na sera ya kuwanyima Wapalestina chakula “Tunaruhusu misaada ya kibinadamu...
3 Reactions
89 Replies
3K Views
Trump anapaswa kukumbuka jinsi 'mkono uliokufa' ulivyo hatari," ni maneno ambayo rais wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev alitumia akihutubia Marekani, suala ambalo liliikasirisha Ikulu ya...
7 Reactions
31 Replies
2K Views
Wakuu, Kwanini China kila ugonjwa mbaya unaanziaga huko? Baada ya COVID sasa umekuja huu mwingine unaitwa Chikungunya na kuna watu 7,000 tayari wameathirika. Mnaonaje China ikatengwa ili mambo...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Shirika la anga la Marekani (Nasa) limepanga kuharakisha ujenzi wa kinu cha nyuklia kwenye Mwezi ifikapo 2030 kama sehemu ya mpango wa kuanzisha makazi ya kudumu ya binadamu kwenye uso wa Mwezi...
0 Reactions
2 Replies
673 Views
Kinachoweza kubadilisha kinachoendelea kutokea Palestina hakuna isipokuwa ni rehma za Allah.Si mataifa majirani,ndugu wala marafiki wa Ulaya pamoja wapenda haki duniani wanaoweza kubadili...
3 Reactions
27 Replies
859 Views
Wizara ya Nishati ya Marekani hivi karibuni ilitangaza kukamilika kwa utengenezaji wa bomu jipya la nyuklia aina ya B61-13. Wakati dhana ya jumuiya yenye hatma ya pamoja ya binadamu inazidi...
14 Reactions
44 Replies
4K Views
Babu kachoka na visingizio na kutishiwa Nyau eti Uingereza sijui Canada kaamua kuwaambia kama Mbwai mbwai tu so Palestina kutawanywa watakuwa Taifa katika nchi kadhaa Duniani ila Sio katika Ardhi...
6 Reactions
45 Replies
2K Views
Waziri wa Usalama wa Israel, Itamar Ben-Gvir ametembelea eneo la Msikiti wa al-Aqsa mjini Jerusalem na kusali huko, na kukiuka mpango wa miongo kadhaa unaohusu mojawapo ya maeneo nyeti zaidi...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Kijana mwenye kipaji cha michezo aitwaye Abu Khater mwenye umri wa miaka 17 amefariki kwa kukosa kula chakula na kunywa maji kwa muda mrefu. Kwa mujibu wa manesi wa magofu ya hospitali ya Ashifa...
2 Reactions
72 Replies
2K Views
Wanaukumbi. Amir alikuwa mvulana mdogo ambaye alifika bila viatu mwishoni mwa Mei katika mojawapo ya vituo vya usambazaji chakula vya Wakfu wa Gaza Humanitarian Foundation (GHF). Alikuwa...
2 Reactions
13 Replies
538 Views
Back
Top Bottom