International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Watu 11 waliorejeshwa nchini Ghana kutoka Marekani wameifungulia mashtaka serikali ya taifa hilo, kwa madai ya kuzuiliwa kinyume cha sheria. Wakili wao, Oliver-Barker Vormawor, ameiambia BBC kuwa...
0 Reactions
0 Replies
359 Views
UNRWA ikusanya zaidi ya dollar bilioni moja kila mwaka za pesa za misaada na pesa hizi zilipotea katika mifuko ya maofisa waliokuwa wamewekwa na hamas katika nafasi za shule hizo. Pesa hizo...
1 Reactions
6 Replies
419 Views
ANTIFA ni muunganiko wa vikundi vy kikomonisti, vikundi vya mashoga, vikundi vya itikadi kali, etc katika itikadi moja ya kupingana na mrengwa wa kulia kwa kutumia vurugu, mauaji na uharibifu...
0 Reactions
0 Replies
264 Views
Takribani miaka milioni sita iliyopita, Bahari ya Mediterania ilipitia mabadiliko makubwa yaliyotikisa historia ya kijiolojia ya dunia, kuanzia muonekano hadi ubora wake wa kuitwa bahari. Shughuli...
3 Reactions
1 Replies
404 Views
Chanzo . BBC Swahili. Mahakama nchini Zambia imewahukumu wanaume wawili kifungo cha miaka miwili jela kwa kujaribu kutumia uchawi kumuua Rais Hakainde Hichilema. Mzambia Leonard Phiri na...
5 Reactions
25 Replies
1K Views
Israel kuchukua udhibiti kamili wa kijeshi wa Gaza Netanyahu ameifanya kazi nzuri sana leo hii na atasababisha yafuatayo: Hamas itaondolewa milele!!. Hali ya ugaidi haitakuwapo tena. Na kwa upande...
6 Reactions
34 Replies
2K Views
ANTIFA ni syndicate ya mrengwa wa kusoto inayotumia njia za machafuko na vurugu kuwakilisha itikadi yao ya kupinga sera za mrengwa wa kulia, ku-promote ukomonisti/ujamaa na kulinda haki za mashoga...
5 Reactions
17 Replies
941 Views
Cuba Vietnam Tz Zambia North korea Laos Cambodia Mozambique Albania Na wengine sana tu.. Vilichezewa foul bila kujijua kuwafaiddisha wao pekee. UKOMONISTI NI USHETANI
6 Reactions
75 Replies
3K Views
Siasa za Marekani zimegeuka na kuwa kama za Afrika ndani ya muda mfupi. Bw. Trump kila ambaye anapingana naye basi anakuwa mbaya na waliomzunguka sharti kumsifia tu kama machawa. Siasa zimekuwa ni...
2 Reactions
8 Replies
545 Views
Askari polisi kijana jijini Lusaka ametoweka baada ya kujilimbikizia kwa nguvu "pakiti ya kustaafu" yenye thamani ya K622,483 kutoka Zanaco, tawi la Civic, siku mbili zilizopita. Wafanyakazi wa...
3 Reactions
7 Replies
581 Views
Bunge la Rwanda limelaani vikali azimio la Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) lililotaka kuachiwa huru kwa mwanasiasa wa upinzani Victoire Ingabire, likisema hatua hiyo ni kuingilia uhuru wa mahakama na...
1 Reactions
7 Replies
470 Views
Simon Leviev, raia wa Israel anayejulikana zaidi kupitia filamu ya Netflix The Tinder Swindler, amekamatwa nchini Georgia kwa ombi la Interpol baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Batumi...
1 Reactions
12 Replies
736 Views
Kabla ya yote nakushauri weka bundle la kukutosha muda wa dakika 20 ili ufuatilie matokeo haya ya uvumbuzi wa kihistoria wa " the pilgrimage road from the city of David to the Temple Mount". Njia...
0 Reactions
0 Replies
259 Views
Oya Myahudi kachafukwa kinoma. Hataki discussion na mtu yeyote yule. ================= Mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya Kaja Kallas amependekeza awamu nyengine ya vikwazo dhidi ya mawaziri...
1 Reactions
5 Replies
550 Views
Utengenezaji wa mfumo wa kukamata laser wa "Iron Light" umekamilika kufuatia mfululizo wa majaribio kusini mwa nchi. Jina jipya la mfumo: "Nuru ya Eitan,"”Light of Eitan,” iliyopewa jina la...
2 Reactions
5 Replies
377 Views
Niaje waungwana Wengi tunafaham kuwa shetan huwa hana undugu, urafiki wala ujamaa na binadamu. Shetan ndugu yake, rafiki yake na jamaa yake ni shetan mwenzake. Hivyo ukiingia makubaliano yoyote...
13 Reactions
75 Replies
3K Views
WAPALESTINA NI WAVAMIZI KWA MUJIBU WA QURAN Qur’an inataja wazi kuwa ardhi takatifu (Ardhi ya Kanaani) ilipewa kwa Waisraeli (wana wa Israel). Kuna aya kadhaa zinazolitaja hilo Qur’an 5:20–21...
2 Reactions
10 Replies
601 Views
Niaje niaje..........katika hali ya kushangaza kumbe jamaa walihiti target vizuri tu bila papara ..............maneno yalikuwa meeengi kumbe kitu kimewaramba
1 Reactions
7 Replies
565 Views
Nikiwa nimeishi nchini China kwa miaka mingi sana tangu mwaka 2008, na kushuhudia nchi hii ambayo sasa ni ya pili kwa uchumi mkubwa duniani inavyobadilika hatua kwa hatua, chini ya muongozo wa...
3 Reactions
6 Replies
432 Views
Tarrif King, mwendawazimu Trump kaamua kuchapa dunia nzima tarrifs, mpaka Tanzania nasi tumo! Huyo mzee kachanganyikiwa anajiendea kama gari la mlevi.
3 Reactions
99 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…