Takribani watu 25 wameuawa baada ya kutokea shambulio la kujitoa mhanga katika msikiti mmoja.
Mlipuko huo ulitokea katika mkusanyiko wa swala ya ijumaa katika kijiji cha Payee Khan wilaya ya...
BEIJING - In an otherwise nondescript conference room, Wu Jianping stands before a giant wall of frosted glass. He toggles a switch and the glass becomes transparent, looking down on an imposing...
Some of the detainees boarding the police van on Saturday following the arrests. Picture- Reuters
Takribani watu 100 wamekamatwa na Polisi pamoja na wabunge wa Upinzani wanne kufuatia maandamano...
ISIS has marked Eid by hanging dozens of prisoners upside down from meat hooks and 'butchering them like sheep' in a gruesome new execution video.
In one sickening scene, men accused of being US...
Facebook imebatilisha uamuzi wake wa awali wa kufuta moja ya picha mashuhuri ya wakati wa vita vya Vietnam.
Picha hiyo inamuonyesha mtoto msichana aliyekuwa bila nguo akikimbia moto katika kijiji...
Mamlaka nchini Burkina Faso wanamshikilia aliyekuwa waziri mkuu wa taifa hilo kwa mauaji ya waandamanaji waliokuwa wanaupinga utawala wa rais wa za zamani Blaise Compaore.
Rais huyo aliyetawala...
Rais wa Ufilipino, Rodrigo Duterte leo amevitaka vikosi vya Marekani vilivyoko nchini humo kuondoka mara moja akidai kuwa wanaweza kumleta balaa la kushambuliwa na magaidi wa ISIS.
Kauli hiyo ya...
Rais wa zamani wa Italia Carlo Azeglio Ziampi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 96.
Rais huyo alizaliwa mwaka 1920 na alifanikiwa kuliongoza taifa la Italia kuanzia mwaka 1999 mpaka mwaka...
Mabaki yaliyopatikana Pemba, Tanzania ni ya MH370
Waziri wa uchukuzi wa Malaysia Liow Tiong Lai amesema kupitia taarifa, kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters, kwamba baada ya uchunguzi...
Mgombea wa kiti cha urais nchini Marekani kupitia chama cha Democratic Hillary Clinton amelazimika kuahirisha ziara yake ya kuchangisha fedha katika jimbo la California baada ya vipimo kuonyesha...
MWANAUME mmoja kutoka katika familia maskini inayoishi mjini Bhawanipatna katika jimbo la Orissa nchini, amelazimika kuubeba mwili wa mkewe begani, baada ya hospitali kushindwa kutoa gari la...
Taasisi ya KUpambana na Rushwa nchini Nigeria imezifunga akaunti za Mke wa Rais mstaafu wa Nigeria, Goodluck Jonathan.
Akaunti hizo zilikuwa na kiasi cha shilingi bilioni 64, mke huyo wa Rais...
Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte, aliamuru kuuawa kwa wanasiasa wapinzani alipokuwa meya wa zamani wa Davao, mwanachama mmoja wa kikosi kilichopewa jukumu la kuwaua walanguzi wa biashara haramu...
The report says the UK diplomat spent almost entire career serving in Arab countries.
British Ambassador to Saudi Arabia Simon Paul Collis and his wife Huda Mujarkech performed Haj this year...
Muammar Gaddafi aliuawa mwezi Oktoba 2011, wakati nchi za Magharibi ziliingilia kati kijeshi nchin mwake.
Ripoti ya Bunge la Uingereza inakosoa vikali Ufaransa na Uingereza kuingilia kijeshi...
Muungano wa Makanisa ya kikristo eneo la Mlima Kenya, umeapa kupinga warsha za malezi zinazopangwa na kundi lisilomwamini mungu hapa nchini la Atheist in Kenya.
Warsha hizo zimetangazwa na...
Nchi nyingi za africa zimekuwa zikipiga hatua kubwa kimiuondo msingi hususan kwenye usafir wa mijini.
Hizi hapa ni baadhi ya picha ndani ya ruti za Khartoum na mji wa Wadi-halfa