Kwanini Trump anashambuliwa sana kwenye Twitter?

Kwanini Trump anashambuliwa sana kwenye Twitter?

Anamkimbiza Clinton vibaya,

Mkuu leo nimecheka sana, Trump baada ya kuchoshwa na mbinu chafu za Clinton, Trump kahamua kuanika kila kitu adhalani, kasema.
kwanza:
Familia ya Clinton hawampedi Obama wanadai ndiye alimuwekea kauzibe Hillary akashindwa kuwania Urais kwa mara ya kwanza
Pili:
Trump kasema Hillary ndiye alimshinikiza Trump adai Obama si raia halali wa Marekani alizaliwa Mombasa na baba wa Kiarabu alafu mama yake kafanya ujanja wa kupata birth certificate Honolulu Hawaii.

Trump kasisitiza kwamba kelele zote alizokuwa anapiga kupinga Obama hasikubaliwe kuwania Urais kutokana na utata wa Uraia wake lilikuwa ni shinikizo la Hillary, ila Hillary hakutaka ajulikane ndiye muhusika akawa anamtumia Trump kumvurugia OBAMA-wazungu wakati mwingine ni binadamu wa ajabu sana!!!
 
Mkuu leo nimecheka sana, Trump baada ya kuchoshwa na mbinu chafu za Clinton, Trump kahamua kuanika kila kitu adhalani, kasema.
kwanza:
Familia ya Clinton hawampedi Obama wanadai ndiye alimuwekea kauzibe Hillary akashindwa kuwania Urais kwa mara ya kwanza
Pili:
Trump kasema Hillary ndiye alimshinikiza Trump adai Obama si raia halali wa Marekani alizaliwa Mombasa na baba wa Kiarabu alafu mama yake kafanya ujanja wa kupata birth certificate Honolulu Hawaii.

Trump kasisitiza kwamba kelele zote alizokuwa anapiga kupinga Obama hasikubaliwe kuwania Urais kutokana na utata wa Uraia wake lilikuwa ni shinikizo la Hillary, ila Hillary hakutaka ajulikane ndiye muhusika akawa anamtumia Trump kumvurugia OBAMA-wazungu wakati mwingine ni binadamu wa ajabu sana!!!
Jamaa ni mnafiki kweli ameona Obama amziba kila sehemu sasa anaanza kujipendekeza kibaya zaidi inaonekana zaidi wamarekani 50%+ wanaelewa kile Obama anachokiongea sasa Trump ameanza kutafuta kura za huruma baada ya kugundua hilo!!
Sasa amekiri kwamba obama alizaliwa marekani!!
Huyu ni mnafiki kweli!!
 
Jamaa ni mnafiki kweli ameona Obama amziba kila sehemu sasa anaanza kujipendekeza kibaya zaidi inaonekana zaidi wamarekani 50%+ wanaelewa kile Obama anachokiongea sasa Trump ameanza kutafuta kura za huruma baada ya kugundua hilo!!
Sasa amekiri kwamba obama alizaliwa marekani!!
Huyu ni mnafiki kweli!!
Jamaa ni mnafiki kweli ameona Obama amziba kila sehemu sasa anaanza kujipendekeza kibaya zaidi inaonekana zaidi wamarekani 50%+ wanaelewa kile Obama anachokiongea sasa Trump ameanza kutafuta kura za huruma baada ya kugundua hilo!!
Sasa amekiri kwamba obama alizaliwa marekani!!
Huyu ni mnafiki kweli!!

Hana unafiki wowote na wala uchu wa madaraka mwenye tatizo hilo ni Hillary na kundi lake la kifaidhina wapenda vita na kuhusudu wenye viwanda vya kuhunda silaha, Wamiliki wa Mabenki na Military contractors. Mama huyo na mumewe wanahusudu sana fedha na ni matapeli wa kutupwa kupitia foundation yao ya uongo na kweli - narudia,wote ni pathological liars mfano:Hillary na E-Mail saga pamoja na ugonjwa wake ambao huko so obvious lakini yeye anakuwa na ubavu wa kuzuga Raia eti yuko fit to serve the Nation as a President! Anafikia mpaka hatua ya kutafuta mwanamke anaye fanana naye ili aendeleze maigizo yake, akikumbwa na ugojwa wake wa kuanguka wanamswitch double wake ajifanye ndiye real Hillary Clinton - kapania Urais wa mwaka huu kuliko maelezo, yuko radhi kufanya na kusema lolote!!

Mumewe naye ni muongo wa kutupwa, kumbukeni kisanga cha Monica Lewiski alisema nini alipo banwa na Bunge lao!! Amerika na Dunia inategemea nini kutoka kwenye mixed grill ya couple hao wa ajabu.

Kundi lote tajwa hapo juu ni binadamu hatari sana kwa amani Duniani - Wamerikani wakifanya kosa kumtehua mama huyo basi Dunia ijitayarishe kwa vita ya tatu ya Dunia ambayo ndiyo itakuwa ya mwisho. Sina hakika kama mama huyo amewahi kulitafakari hilo kwa kina, kwamba akithubutu kushambulia Taifa/Mataifa ambayo yana silaha za maagamizi basi Marekani nayo ijitayarishe kuchakazwa back to stone age.

Salama ya Dunia kuanzia mwaka kesho na kuendelea hiko mikononi mwa Trump, akishinda uchaguzi huu Dunia itasalimika, Mataifa yataelewana na vurugu zote zinazo endelea Africa Kasikazini na Mashariki ya kati vitapungua sana au kumalizika kabisa - Dunia yenye amani na uelewano ita emerge - the whole World should bank our hopes 2 Donald TRUMP not 2 arrogant neocon war mongers.
 
Back
Top Bottom