Kutokana na historia ya Palestina kila wanapokaribishwa na kupewa uhuru hujikuta wao ndio wanataka kuamrisha wenyeji na kutaka kutawala wao.
Historia zimeandikwa nyingi sana kuhusu hawa.
Hawa...
Haya yanajiri siku chache tu baada ya kusainiwa makubaliano ya amani yaliosimamiwa na Marekani.
Awali balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa Mike Waltz, aliliambia Baraza la Usalama la Umoja...
Baada ya kuibuka vita kali kati ya M23 na jeshi la FARDC, likisaidiwa na mamluki kutoka nchi za ulaya na marekani, kundi la FDLR, Kundi la wazalendo, jeshi la Burundi na kundi la Imbonerakure...
Mamia ya wakulima wa Ulaya walijaa mitaa ya Brussels wakipinga makubaliano ya kibiashara ya EU-Mercosur trade . Maandamano yaliyoanza kwa utulivu yaligeuka vurugu, waandamanaji walishambulia...
Discovered reserves of the system are
1.6 billion barrels of oil .
59 trillion cubic feet of gas.
More than one-half of the reserves are in Lower Permian rocks below the salt seal.
Aluta...
Msichana wa miaka sita alilazimishwa kuolewa na mwanaume mwenye umri wa miaka 45 nchini Afghanistan baada ya kuuzwa kwa fedha.
Picha ya kusikitisha inayomuonesha mwanaume mzee akiwa amesimama na...
hi i am interested by the etymological database project of Serguei sTAROSTIN
i want to participate in it , bringing infos about african languages to compare them with melano- hindus( veddoids and...
Wakulima wa Ufaransa wapo kwenye maandamano kwa kutupa samadi nje ya nyumba za wanasiasa.
Wakulima kote Ufaransa wamezidisha maandamano yao kwa kutupa samadi nje ya nyumba na ofisi za wanasiasa...
Waziri wa biashara na viwanda wa Somalia Bw. Gamal Mohamed Hassan (Kushoto) na mtangazaji wa CMG Bw. Fadhili Mpunji (Kulia) kwenye mahojiano mjini Beijing, Desemba 18, 2025.
Katika muda wa...
Banyamlenge ni jamii ya watutsi wanaoishi eneo la Mulenge, eneo hili ni kiunga kilichopo wilaya ya Uvira jimboni Kivu Kusini (Sud Kivu) mashariki mwa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo...
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alitangaza katika ujumbe wa video kwamba ameidhinisha makubaliano makubwa zaidi ya nishati katika historia ya Israeli. Mkataba wa gesi asilia na Misri una thamani ya...
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetuacha; tunataka AFC/M23/Twirwaneho. Serikali iko bize kulisumbua jeshi na kuwatesa raia wa kawaida.
Alisema mmoja wa waandamanaji wa amani huko...
Alhaji Aliko Dangote, siku ya Jumapili alidai kuwa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Sekta ya Petroli ya Kati na Chini ya Nigeria (Nigerian Midstream and Downstream Petroleum Regulatory...
Waziri wa Ulinzi wa Venezuela, Vladimir Padrino Lopez, amelaani tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu mpango wa kuweka mzingiro wa kijeshi baharini dhidi ya usafirishaji wa mafuta wa...
Polisi wa Australia wamesema baba na mwana waliotekeleza shambulio la mauaji Bondi Beach, Sydney, walichochewa na itikadi ya Islamic State.
Washukiwa ni Sajid Akram, 50, aliyeuawa baada ya...
: Katibu mtendaji wa chama cha PPRD cha rais wa zamani wa Kongo, Joseph Kabila, Emmanuel Ramazani Shadary amekamatwa jijini Kinshasa.
Taarifa ya chama cha PPRD imesema kukamatwa kwa Shadary na...
Tarehe 6 Agosti 1945, Tsutomu Yamaguchi alikuwa Hiroshima kwa kazi wakati bomu la atomiki lililipuliwa. Alijeruhiwa vibaya (hasa masikio na mwili kuungua), lakini aliweza kupona kiasi na kuondoka...
Rais Donald Trump amefungua kesi ya kashfa dhidi ya BBC katika mahakama ya shirikisho ya Miami, akidai fidia ya hadi dola bilioni 10.
Trump anaituhumu BBC kwa kuandaa makala ya Panorama...
Kiukweli, sipendi vita wala sishabikii matumizi ya nguvu katika kutatua migogoro ya kimataifa. Lakini inasikitisha mno kuona mataifa yanayojiona kuwa “ya kidemokrasia” na “yenye maadili ya juu”...