International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Waziri wa mambo ya nje Urusi Bwana Lavlov adai kuwa usiku wa kuamkia leo Ukraini ilijaribu shambulia makazi Putin Amesema kuwa mazungumzo ya amani yanasitishwa Hayo yakitokea Rais wa Ukraini...
3 Reactions
20 Replies
754 Views
Katika mkesha wa mwaka mpya, rais Xi Jinping wa China ametoa hotuba ya salamu za mwaka mpya wa 2026 kupitia Shirika Kuu la Utangazaji la China (CMG) na mtandao wa Internet. Ifuatayo ni hotuba...
1 Reactions
4 Replies
521 Views
Afisa mwandamizi wa Ofisi ya Waziri Mkuu ya Japan hivi karibuni alisema hadharani kwamba, kutokana na mazingira magumu ya usalama yanayoizunguka Japani, nchi hiyo inapaswa kumiliki silaha za...
2 Reactions
3 Replies
514 Views
Kuna taarifa zinasambaa kuwa huko Nigeria kumedondoshwa mabomu kuwapa ujumbe hao wenye misimamo ya kidini nchini humo wanbaosababisha vurugu na mateso kwa waNigeria wengine wasiokubaliana na...
7 Reactions
73 Replies
2K Views
Baada ya Mapinduzi ya Kiislamu ya 1979, Utawala wa Kiayatollah umekumbwa na maandamano mwaka 1999, 2009-2010; 2017-2018; 2019 na 2022-2023. Katika maandamano hayo yote sababu kubwa zimekuwa madai...
3 Reactions
3 Replies
465 Views
Maangamizi mkubwa zaidi wa magaidi uliofanywa na IDF katika miaka miwili iliyopita: Walioangamizwa na Wasifu wao kwa mwaka (2024): 1) Salee al-Arouri Naibu kiongozi wa kisiasa wa Hamas...
2 Reactions
5 Replies
180 Views
Maelezo ya picha, Makumi ya watu nchini Kenya wametekwa nyara na kuuawa tangu maandamano yalipozuka mwezi Juni 2024Maelezo kuhusu taarifa Afrika ya Kusini mwa Jangwa la Sahara imeshuhudia kushuka...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Ongezeko la Maumivu ya Kiuchumi Yasukuma Wairani Mitaani. Waandamanaji waliingia katika mitaa ya mji mkuu, Tehran na miji mingine nchini Iran siku ya Jumatatu kulalamikia kupanda kwa mfumuko wa...
5 Reactions
11 Replies
317 Views
Tangu enzi za ukoloni wa wareno kina Vasco Da Gama, wakaja waarabu, wakaja wajerumani, waitalia, waingereza hadi baada ya kupata uhuru bado tunaendelea kunyonywa na makontawa kama Marekani...
3 Reactions
7 Replies
348 Views
Waziri wa mambo ya nje Urusi Bwana Lavlov adai kuwa usiku wa kuamkia leo Ukraini ilijaribu shambulia makazi Putin Amesema kuwa mazungumzo ya amani yanasitishwa Hayo yakitokea Rais wa Ukraini...
2 Reactions
2 Replies
237 Views
Hamas inatangaza rasmi safu ya maafisa wakuu ambao waliangamizwa katika miezi ya hivi karibuni (kwa mpangilio kutoka kushoto kwenda kulia): Abu Ubaida - Msemaji wa Hamas Ra'ad Saad - Mkuu wa...
1 Reactions
8 Replies
273 Views
Kunapokuwa na foleni nchini Ujerumani, madereva hulazimika kisheria kupita pembeni ya barabara ili kuacha nafasi ya magari ya dharura kama magari ya wagonjwa na zimamoto. Je unadhani ni muhimu...
3 Reactions
5 Replies
908 Views
Taiwan inaonekana kuwa nchi ya kwanza kuunga mkono uamuzi wa Israel kuitambua Somaliland. Ijumaa Israel ilitangaza kuitambua rasmi Somaliland kama taifa huru, na kuwa nchi ya kwanza duniani...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Rais wa Marekani alipoulizwa kama Iran utaendelea na mpango wake wa Nuclear na makombola itazhambuliwa? Trump Ali jibu kwa makombola ndiyo atashambuliwa lakini kwa Nuclear atashambuliwa harakati...
1 Reactions
13 Replies
252 Views
Nigeria kuna Boko Haram wenye mirengo mikali ya kiislam ikiwemo kuona watu wa dini nyingine hawatakiwi kuishi na kuwaua ni ibada, wameweza kuua wakristo wengi sana hasa mikoa ya kati (Middle belt)...
8 Reactions
29 Replies
808 Views
Utafutaji mpya wa ndege ya Malaysia Airlines MH370 umeanza zaidi ya muongo mmoja baada ya kutoweka katika moja ya mafumbo makubwa ya ajali za anga duniani. Kampuni ya utafiti wa baharini, Ocean...
1 Reactions
42 Replies
2K Views
Israel, Ugiriki, na Cyprus zimetia saini "mpango wa kazi wa pande tatu" kwa ushirikiano wa kijeshi unaojumuisha, miongoni mwa mambo mengine, mazoezi ya pamoja na mafunzo, vikundi vya kazi katika...
0 Reactions
1 Replies
190 Views
Kwa zaidi ya miaka 30, Somaliland imekuwa ikifanya kazi kama serikali: • Serikali inayofanya kazi • Uchaguzi wa kidemokrasia • Vikosi huru vya usalama • Kutovumilia kabisa na kuwadhibiti magaidi...
4 Reactions
21 Replies
632 Views
BREAKING: ISRAEL yazifunga rasmi ofisi za UNRWA huko Israel.!!!! Bunge la Knesset liliidhinisha sheria inayohitimisha shughuli za UNRWA nchini Israel. Shughuli zitakazo sitishwa ni kama...
1 Reactions
0 Replies
154 Views
Trump kuhusu Hamas: "Itakuwa ya kutisha kwao - ya kutisha, kwa kweli, mbaya sana kwao [kama hawatapokonya silaha]. Sitaki hilo litokee, lakini walifanya makubaliano kwamba watawapokonya silaha."...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…