Wakuu,
Anaandika Kumbusho Dawson kwenye ukurasa wake wa Instagram:
Hii ilikuwa mwaka 2019, wananchi wa Venezuela walijaribu kuandamana kupinga matumizi mabaya ya mali za umma, utekwaji na...
Awali ya yote ukisikia kuhusu VITA na TAARIFA za Vita unakumbuka Maneno ya Mtu Maarufu Gani? na inakupa tafsiri gani?
Mimi kwangu inanikumbusha Maneno ya Yesu alipokuwapo hapa Duniani aliyoyasema...
Trump hajamkamata Maduro kwasababu ya ukiukaji wa Sheria, bali ni kwasababu Maduro ameharibu maslahi ya Marekani yakupata mafuta
Na ndiyo sababu uamuzi wa kumkamata haujapitishwa na Bunge ni...
Kesho Trump anaweza kuwa Shangai Detention Centre ya China😄😄😀😅😆
---
China has called on the United States to immediately release Venezuelan President Nicolas Maduro after Washington carried out...
Rais wa Marekani Donald Trump asema kuwa Venezuela itatawaliwa na Marekani hadi hapo atapopatikana mtu wa kutawala Venezuela.
Asema kuwa makampuni kutoka Marekani yataanza kazi ya kuchimba mafuta...
Wakuu,
Mambo yanaendelea kuwa sukari huku
Pam Bondi ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Marekani anasema kesi ya Maduro itakuwa inasikiliziwa kwenye Mahakama za New York huko Nchini Marekani
Makosa...
Mali na Burkina Faso zimetangaza kuwazuia raia wa Marekani kuingia katika nchi zao, zikieleza kuwa hatua hiyo ni jibu la moja kwa moja kwa uamuzi wa Marekani wa kuwazuia raia wao kuingia nchini...
Kuna milipuko mikubwa imetokea mji mkuu wa Venezuela, Caracas. Inaelekea wizara ya ulinzi imeshambuliwa. Bado taarifa rasmi kuhusu shambulio hilo hazijatolewa.
Updates:Baada ya mashambulizi yq...
Marekani imekiuaka sheria za kimataifa.
Mkataba wa Montevideo juu ya uhalali wa dola huru kutoingiliwa umekiukwa.
Hakuna aliyepinga kwa kukemea chochote.
Jana matokeo ya uchaguzi yalipotoka ilitangazwa kuwa Nicolás Maduro ameshinda tena kiti cha uraisi nchini Venezuela. Akimshinda mpinzani wake Edmundo González ambaye anaungwa mkono na Marekani...
Rais wa communist Venezuela, Maduro ameomba amnesty kwa Rais wa Marekani Donald Trump kwa yeye, familia na watu wake wa karibu, lakini Trump amemkatalia na ametakiwa kuachia madaraka na kuondoka...
Bi chura ajiandae. Salamu zishatumwa.
Trump katuma meseji ya wazi bila kumung’unya maneno kwa serikali ya kiislamu ya Iran akitoa tahadhari kuwa ataingia kuwanusuru raia wa Iran kama serikali...
Naamini amejibiwa vizuri sana kwa vitendo na katika wakati sahihi. Ashukuru tu hajagusa maslahi ya Super power kwani na yeye wangemnyoosha.
Hata hivyo, bado hayuko salama kwa uovu alioufanya .
Baada ya raisi Donald Trump kushinda uchaguzi mkuu nchini Marekani na kuwa raisi mtarajiwa wa 47 wa taifa hilo kubwa Duniani, nchi kadhaa duniani zimeanza kujiweka sawa.
Baadhi ya nchi hizo ni...
Wizara ya Ulinzi inatangaza kukabidhi wa rasmi kwa mfumo wa kwanza wa kufanya kazi wa laser wa hali ya juu, unaoitwa "Iron Beam," kutoka kwa Mifumo ya Ulinzi ya Juu ya Rafael hadi IDF.
Mfumo huo...