Habari JF,
Waziri mkuu wa Uingereza Theresa May achagua waziri wa kwanza wa Uingereza kusimamia upweke miongoni mwa wananchi.
Tafiti kuonyesha kwamba watu milioni 9 nchini humo wanakabiliwa...
Wadau wa JF
Viongozi walikutana jana Jumatatu na kutoa jawabu kwa hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kuitambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel. Ingawa hatua ya PLO inaweza kusababisha...
1. Abraham Lincoln was elected to Congress in 1846, John F Kennedy was elected to Congress in 1946
2. Abraham Lincoln won his presidential election in 1860, John F Kennedys won his presidential...
Harusi angani! Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis jana amewaoza wahudumu wawili wa ndege wakati akiwa safarini nchini Chile. Wapenzi hao walikuwa tayari wamekwishasajili ndoa yao...
ABRAHAM LINCOLN vs JOHN KENNEDY
Kuna wakati unaweza kuona mambo mawili yanagongana kwa namna ya ajabu sana. Wakati mwingine yamepangwa, lakini wakati mwingine yanabaki kuwa ya ajabu tu! Migongano...
Serikali kuu ya Marekani imefungwa huku zikiwa zimebaki zaidi ya saa moja tu, zilihitajika kura zaidi ya 60% lakini kura zilizopigwa ni 49% tu, wabunge wa Democratic wameshindwa kuafikiana ...Rais...
Mwanafunzi wa kidato cha kwanza mwenye umri wa miaka 15 amemuua mwalimu wake wa somo la hesabu kwa kumchoma kisu baada ya kufeli mtihani wa kuvuka darasa, na kumtuhumu mwalimu huyo kuhusika na...
Wadau huko nchini Marekani Jimbo la California Watoto waliofungwa kwenye kitanda wamepatikana leo 16/01/2018.
Kufuatia tukio hilo la kushangaza na kusikitisha Wazazi wawili wamekamatwa huko...
KOSOVO: Kiongozi wa Chama cha Serbia aliyekuwa na ushawishi mkubwa katika eneo la kaskazini mwa nchi hiyo, Oliver Ivanovic auawa kwa kupigwa risasi
> Bwana Ivanovic(64) ni mwanasiasa mashuhuri na...
Ndege moja ya Malaysia ililazimika kutua katika eneo la Australia ya kati baada ya tatizo la kiufundi kuifanya kuanza kutetemeka ikiwa angani, wamesema abiria.
Ndege hiyo aina ya MH122 ilikuwa...
Trump Has Not Spoken to Obama Since He Took Office. Here's Why That's Weird
President Donald Trump and Barack Obama have not spoken since the former president handed over the keys to the White...
Ndege Ya Kampuni Ya Malysia Airline Aina Ya MH 122 Ikiwa Na Abiria 224 Imelazimika Kutua Kwa Dharura Katika Uwanja Wa Alice Spring Airport Katika Eneo La Australia Baada Ya Kupata Tatizo La...
Rais Yoweri Museveni amesema atasaini kuidhinisha kunyongwa kwa wahalifu waliohukumiwa adhabu hiyo, akidai ni njia mojawapo ya kujenga hofu kwa wahalifu. Museveni amesema anachukua uamuzi huo...
Levels of armed conflict flux and wane. In 2017, levels of high fatality violence in Africa were significantly lower than during the immediate post-Cold War period. This trend has occurred in...
Wana JF
Buenas Tardes!
Korea Kaskazini inaandaa maonyesho makubwa ya nguvu zake za kijeshi kwenye gwaride la usiku wa michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi itakayofanyika katika taifa jirani la...
Katika dunia hii, tenda wema nenda zako. Ipo siku utaaga dunia na kwahio usiumize wabadamu wenzako.
Banda alikua dictator hatari sana. Kila mmoja aliempinga aliuawa au kunyongwa. Leo kawakuta...
Rwanda imeruhusu wageni kuchukua visa kila wanapowasili na hivyo kumekuwa na ongezeko la wageni kwa 150% ukilinganisha na miaka iliyopita. Wageni wanaingia kwa sababu tofauti wengine wamekuwa...
Wakati Waafrika tukihangaika huku na kule kutaka tuombwe msamaha na D.Trump kwa kuitwa ,,shithole countries” kwa Wazungu waishio Namibia wao wameipokea tofauti na kuigeuza kuwa fursa ya kuitangaza...
New California wanamatumaini ya kujiondo ndani ya utawala wa jimbo la California. Sababu kubwa inayopelekea kutaka kujitenga ni uwepo wa kodi kubwa,uduni wa huduma za kijamii na kutofurahishwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.