International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Angalia ramani Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza makubaliano ya awamu ya kwanza ya kusitisha mapigano kati ya Israeli na Hamas, yanayojumuisha kubadilishana mateka na Israeli kurudisha...
3 Reactions
20 Replies
916 Views
Kundi la Hamas limetangaza kuvunja serikali yake ya utawala wa Gaza ili kupisha kamati ya wataalamu wa Kipalestina itakayosimamia shughuli za kiraia katika Ukanda wa Gaza. Hatua hiyo ni sehemu ya...
7 Reactions
11 Replies
384 Views
Aiseee huu mtambo sio poa!! Dude linajulikana kama Khorramshahr-5 hili dude ni hatari lina mlipuko mkubwa kuliko hata yale madude ya Bunker buster ya US Iran is preparing to test the heavy...
25 Reactions
401 Replies
13K Views
Kwa kifupi ni kwamba huko Ulaya kwa sasa karibia kila nchi kuna Left vs Right Vyama vya left vinapenda kuacha mipaka wazi, mfano spain, Ufaransa, Uingereza, wanaongozwa ni left wenye madaraka...
3 Reactions
18 Replies
445 Views
Katika taarifa, Hamas ilithibitisha kuwa inakubaliana na Awamu ya 2 ya mfumo wa kusitisha mapigano, lakini inasisitiza kuwa itaacha tu silaha zake nzito - ikimaanisha roketi, ATGM n.k. - baada ya...
2 Reactions
4 Replies
132 Views
Nimekuwa nikiona kila mahala huko mtandaoni, watu wanauliza kwa kebehi, eti kwanini Iran anashambulia nchi karibia zote hapo Mashariki ya kati, lakini hashambulii Israel!? Hili ndio swali...
12 Reactions
68 Replies
1K Views
Baada ya kuona mambo yamebadilika na wafadhili wao wakikumbwa na changamoto za kifedha, Hamas sasa wanaonekana kulegeza msimamo. Afisa wa kundi hilo anayehusika na mazungumzo, Ghazi Hamad, amesema...
3 Reactions
7 Replies
218 Views
Jabali wa vita, nguli, mwamba Benjamin Netanyahu Bibi tayari kishatua ndani ya ikulu ya marekani, tayari kwa mazungumzo kabambe na Trump. Netanyahu alisafiri Jana kwenda marekani kwa ajili ya...
7 Reactions
82 Replies
1K Views
Ule ubishani uliokuwepo humu Kwa muda mrefu hatimaye Leo umepata jawabu Waziri wa ulinzi wa Israel - Israel Katz anasema kuwa mashambukizi haya yanayoendelea huko Iran ni kuwa marekani wanatumia...
8 Reactions
174 Replies
2K Views
Ungana nasi kwa kutazama video hii kufuatilia mguu kwa mguu toka wakiwasili jijini Sao Paolo Brazil wakijifanya raia wa Angola ktk utalii Brazil kisha wanaanza safari kwenda Canada. Safari hii ya...
22 Reactions
151 Replies
28K Views
Wadau hamjamboni nyote? Wakati Marekani ikiendelea na mashambulizi ya angani dhidi ya Wahouthi wa Yemen, uchambuzi wa AP wa picha za satelaiti zinaonyesha jeshi la Marekani limepeleka ndege 4...
10 Reactions
175 Replies
7K Views
Israeli imefanya mfululizo wa mashambulizi ya anga kote kaskazini na kati mwa Ukanda wa Gaza jioni hii na usiku wa leo baada ya kutoa maonyo ya uokoaji kwa maeneo kadhaa. Mashambulizi yalilenga...
0 Reactions
2 Replies
108 Views
Wanaukumbi. Msemaji wa Walinzi wa Mapinduzi ya Iran: -Tunasubiri uwepo wa majeshi ya Marekani kusindikiza meli za mafuta kupitia Mlango wa bahari wa Hormuz - Tunawakumbusha Wamarekani juu ya...
10 Reactions
233 Replies
4K Views
Ujumbe ndio huo aliye kuwa anawazuia wasifanye majaribio wamemuwa sa walicho enda kushambulia Iran asiwe nacho kisha kuwa Nacho. Trump na Netanyahu watajuta kumuwa Ayatollah Ali Khomen...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
HARARE – Zimbabwe is on alert ahead of planned demonstrations and stay-away actions scheduled for Friday, July 31, with organisers calling for nationwide protests over political and governance...
0 Reactions
2 Replies
118 Views
Waziri Mkuu Netanyahu na Rais wa Ukraine Zelensky walionekana wakizungumza wakati wa ziara yake Washington katika tukio la nadra sana kuonekana
0 Reactions
6 Replies
165 Views
Wanajeshi wa Israeli kutoka Kitengo cha 91 wanaendelea na operesheni kusini mwa Lebanon ili kupata na kuharibu maficho ya silaha za Hezbollah yaliyosalia ndani ya eneo la usalama, huku wanajeshi...
0 Reactions
2 Replies
78 Views
Katika operesheni ya kihistoria iliyoongozwa na Shirika la Kizayuni Duniani (WZO), mabaki ya babu na nyanya wa Theodor Herzl, Shimon Leib Herzl na Rebecca Herzl, yalifukuliwa Jumanne kutoka eneo...
1 Reactions
0 Replies
74 Views
Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu alisema kwamba mkutano aliofanya na Rais wa Marekani Donald Trump ulikuwa mmoja wa mikutano bora zaidi ambayo wamewahi kuwa nayo
0 Reactions
0 Replies
59 Views
Huko nyuma Iran alikuwa anasubiri Marekani ashambulie, ili na yeye ajibu mashambulizi. Alikuwa anafanya mbinu za kuvizia AKA kutegea. Ila ghafla sana naona Waajemi wamebadili mipango, sasa hivi...
4 Reactions
6 Replies
226 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…