Vyombo vya habari vya serikali ya Iran vimeripoti kwamba binti yake Khamenei, mkwe wake wa kiume, mjukuu wake na mkwe wake wa kike wameuawa. Kwa mujibu wa taarifa za awali, vifo hivyo vinadaiwa...
TAARIFA MPYA: Maafisa wa Israel wamesema jeshi linajaribu kuangusha utawala wa Iran kwamba linalenga viongozi wote wa Iran wa kisiasa na kijeshi wa zamani, wa sasa, na wa baadaye,’ kwa mujibu wa...
Mkumbuke Wamarekani ndio waasis wa HAKI SAWA KWA WOTE. Ule uchaguzi wao ulikuwa ni kuchagua kati ya nyanya mbili mbovu. Wao wakaona bora wachague atleast yenye afadhali maana washaonja ladha...
Iran, Hamas, Hezbollah, Isis, Houthi, huwa wanafurahi sana kukiwa na rais wa Marekani aliyetokea chama cha Democrats kama Biden na walitegemea Kamala Harris ashinde.
Waliposikia ni rais wa...
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuna chaguo kadhaa za kupunguza mvutano (off ramps) baada ya operesheni ya kijeshi ya Marekani nchini Iran.
Amesema: “Naweza kuendelea kwa muda mrefu na...
Nikiwaambia kutwa hapa chezeni na Wote ila siyo Israel hamnielewi.
Haya Waziri Mkuu wa Israel aliye katika Avatar yangu kathibitisha kuwa Shambulio lao kubwa katika Makazi ya Kiongozi wa Iran...
22 February 2026
Jalisco, Mexico
Baada ya kutumia miaka mingi kukwepa mamlaka duniani kote, kiongozi mwenye nguvu wa genge la wahalifu wa Mexico aliuawa wakati wa operesheni ya kijeshi, maafisa...
Sasa Iran anazishambulia nchi za waarabu wenzake ikiwemo nchi yao ya Saudi Arabia yenye chimbuko la wavaa kobazi alafu unakuta mvaa kobazi wa Yombo Vituka au Bonyokwa anashangilia Iran kuwapiga...
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, leo alitaka mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ili kuzuia kile ambacho Iran inakitaja kama mashambulizi ya anga...
Waarabu waliokutana na kisasi Cha Israel wamenyamaza kimya hawatamani hata kuwasikia
Gaza kupitia magaidi wa hamas 7october walichokoza kidogo tu Israel Leo miji yao ni magofu wanagombea CHAKULA...
TAARIFA MPYA: Iran imesema itawafundisha Israel na Marekani somo la kihistoria,” ikisema itatoa jibu kali baada ya operesheni ya pamoja ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi yake, kulingana na...
Shida hapo ni kwa nini Iran hawezi kuthubutu kuishambulia Marekani direct, apige kombola pale New York....
Kama Iran anajiweza apeleke mashambulizi moja kwa moja pale California 😂😂😂😂 aache...
Wakuu
Akizungumza muda mfupi baada ya shambulio kwa Iran, Donald Trump amesema kuwa Jeshi la Iran linatakiwa ku-surrender na kuacha kupambana kumtetea Ayatollah
"To the members of the Islamic...
TAARIFA MPYA: UAE imesema mabaki ya kombora la Iran yaliyoanguka yameangukia maeneo ya makazi jijini Abu Dhabi, na kwamba shambulio hilo limekiuka mamlaka yake ya kikatiba; UAE imehifadhi haki ya...
TAARIFA MPYA: Italia imethibitisha kwamba kombora la Iran limepigia uwanja wa ndege unaotumika na vikosi vya Italia huko Kuwait, likisababisha uharibifu mkubwa kwenye reli ya ndege, lakini askari...
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya AI ya Anthropic, Dario Amodei, amesema kampuni yake haitakubali shinikizo kutoka Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) kuondoa vizuizi vya usalama kwenye...
Imagine you are sitting at a table in Geneva. It’s late February, 2026. For months, the world has been holding its breath. You are there to negotiate the limits of Iran’s nuclear and missile...