Mvumbo
JF-Expert Member
- Aug 20, 2015
- 3,444
- 11,941
Salaam
Nyakati hizi ni mengi yanazungumzwa na kuandikwa kuhusu yanayo endelea Iran na Marekani ila tufikiri nje ya box kidogo kuhusu Iran.
Inatambulika Taifa lenye nguvu duniani ni Marekani katika nyanja zote za uchumi na kijeshi na pia wana mfumo wa kujilinda katika kambi zao zote za kijeshi, na pia wana aircraft zisizo onekana katika Radar na kuingia nchi yeyote bila kujulikana.
Tukija upande wa Iran ni nchi ambayo ina Technology yake lakini si kwa ukubwa Marekani, hali inayofanya Iran ikitoa kauli yake inaonekana kama mbwa koko mpaka hili walilo lifanya kushambulia kambi mbili za Marekani kule Nchini Iraq wengi hawaamini.
Swali la nje ya box ni kuwa je, ile ndege ya Marekani isiyoonekana katika rada ilionekana vipi na jeshi la Iran mpaka wakaitungua?
Je, kambi zile mbili za Marekani zenye mfumo wa kujilinda na makombora, imepitaje mizinga ya jeshi la Iran bila kuzuiliwa wala kuonekana katika rada za usalama?
Je Iran ina uwezo zaidi ya vile wengi wanavyoifikiria katika medani za kivita?
Tujadili...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyakati hizi ni mengi yanazungumzwa na kuandikwa kuhusu yanayo endelea Iran na Marekani ila tufikiri nje ya box kidogo kuhusu Iran.
Inatambulika Taifa lenye nguvu duniani ni Marekani katika nyanja zote za uchumi na kijeshi na pia wana mfumo wa kujilinda katika kambi zao zote za kijeshi, na pia wana aircraft zisizo onekana katika Radar na kuingia nchi yeyote bila kujulikana.
Tukija upande wa Iran ni nchi ambayo ina Technology yake lakini si kwa ukubwa Marekani, hali inayofanya Iran ikitoa kauli yake inaonekana kama mbwa koko mpaka hili walilo lifanya kushambulia kambi mbili za Marekani kule Nchini Iraq wengi hawaamini.
Swali la nje ya box ni kuwa je, ile ndege ya Marekani isiyoonekana katika rada ilionekana vipi na jeshi la Iran mpaka wakaitungua?
Je, kambi zile mbili za Marekani zenye mfumo wa kujilinda na makombora, imepitaje mizinga ya jeshi la Iran bila kuzuiliwa wala kuonekana katika rada za usalama?
Je Iran ina uwezo zaidi ya vile wengi wanavyoifikiria katika medani za kivita?
Tujadili...
Sent using Jamii Forums mobile app