Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kwa wale wanaoamini mungu yupo na ndiye ameumba ulimwengu, kwa nini aliuumba ulimwengu pamoja na viumbe hai ? Kwa nini hasa mungu alimuumba binadamu ?
7 Reactions
69 Replies
493 Views
Influencer na mfanyabiashara mwenye asili ya Nigeria na uraia wa Uingereza, Igho “Tiny” Ubiribo, anayejulikana pia kwa majina ya Denisi au Ego, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 43 baada ya...
1 Reactions
15 Replies
195 Views
Na. Philipo Hassan - Kilimanjaro Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), leo Septemba 5, 2026, ametembelea eneo ulipozuka moto ndani ya Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro kwa lengo la...
2 Reactions
3 Replies
45 Views
https://youtu.be/JAJCrk-oZeo?si=eSJXVSTTrXr__E-r
0 Reactions
1 Replies
21 Views
Hello Jamii, Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam, lakini mara kwa mara huwa naenda Tanga kwa ajili ya shughuli mbalimbali. Kwa kweli, nimeshtushwa na hali ya usalama ninayoiona kwa sasa katika maeneo...
2 Reactions
4 Replies
140 Views
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amesema CCM inatamani kuona Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, akiwa nje ili aendelee kushiriki katika ujenzi...
1 Reactions
11 Replies
185 Views
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ametangaza kufutwa kwa zoezi la usafi lililokuwa likifanyika kila Jumamosi katika Mkoa wa Dodoma. Akizungumza katika tukio hilo, Mkuu huyo wa Mkoa amesema hatua hiyo...
3 Reactions
4 Replies
168 Views
Sina sababu ya kupost picha yoyote kuwadhalilisha lakini, mtu anakaa afrika kusini miaka 30 lakini dah. Maisha ya ugenini tena kwenye nchi za watu mambo ni magumu sana, ni kheri kama vipi, kaza...
15 Reactions
223 Replies
2K Views
Masikini wanabidi wazae watoto wachache na matajiri au watu wenye kipato kikubwa wazae watoto wengi na sio kama ilivyo Masikini wamekuwa wabishi. Kukubaliana na huu ukweli Watoto wanahitaji...
3 Reactions
20 Replies
119 Views
Wamiliki wa nyumba Sinza, wilayani Ubungo, wamesema wanakusudia kwenda mahakamani kufungua kesi ya kupinga rasimu ya mpango mpya wa 2026/2046 wa kuliendeleza eneo lote la kata hiyo unaotarajiwa...
3 Reactions
9 Replies
187 Views
Bahari inakuona, inakusikia na inaweza kufanya maamuzi ya ajabu juu yako mpaka watu wakashangaa 😳 unapoiangalia Bahari unaona ni maji tu ila bahari ina uhai, yaani Bahari inajua nini kinaendelea...
22 Reactions
109 Replies
1K Views
Saudha imebidi wanunue siraha yenye thaman ya 5m usd tena watumiaji na wataalamu bado watakua usa (USA anawapigisha stoti waarabu ili awauzie siraha
0 Reactions
7 Replies
143 Views
Huyu jamaa hachoki kupiga wajinga. Mara ya mwisho niliona ana mradi wa kuuza viwanja watu wakalizwa. Alikuwa na mradi wa mbuzi nako ikawa lawama. Karudi tena na mradi wa kuku ila kwa kutumia...
0 Reactions
3 Replies
96 Views
Wakazi wa maeneo ya Mwenge na Mlalakuwa, Dar es Salaam, wamekuwa wakikabiliwa na changamoto za maji taka, ikiwemo kuziba kwa baadhi ya mifumo ya majitaka na maji machafu kuonekana katika maeneo ya...
2 Reactions
6 Replies
101 Views
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, akizungumza katika kipindi cha Medani Kuu cha Star TV, amesema Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea...
0 Reactions
1 Replies
32 Views
Wananchi na wanunuzi wadogo wa felo katika eneo la Mgodi wa Msasa, Runzewe, Geita, tunaomba msaada wa mamlaka husika kutokana na changamoto kubwa inayotukabili katika shughuli zetu za kila siku za...
0 Reactions
0 Replies
19 Views
Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Washington DC umepokea barua pepe kutoka “The Office of Chief Medical Examiner” ikitaarifu kuwa inachunguza kifo cha Mtanzania aitwaye KHALIFA H. SIWA...
9 Reactions
82 Replies
2K Views
Inasikitisha sana kwa kinachoendelea dhidi ya vijana wanaozamia South Africa kutafuta maisha huku wakiwa hawana elimu wala ujuzi wowote. Wengi wao ni kutoka wilaya ya Temeke hasa kata ya Mbagala...
8 Reactions
18 Replies
540 Views
Naomba majibu tafadhali na mtuambie watu wa mikoani imekuwaje kuwaje mpaka kumpa nafasi kubwa namna hiyo mpaka Rais analalamika mji wenu ni mchafu mpaka aibu.
10 Reactions
36 Replies
797 Views
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, amesema kuwa katika kuongeza ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam katika utoaji wa huduma, Wilaya hiyo imeandaa Kata 10 kwa ajili ya matumizi ya Bandari...
1 Reactions
8 Replies
408 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…