Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Habari wa kuu wangu. Leo nimeamka nimekutana na hiki kitu cha ajabu kwa kuku wangu. Kuku alikuwa analalia wiki moja iliyopta usiku mmoja alinyonyoka manyoya ya shingoni hadi kuelekea mgongoni na...
0 Reactions
36 Replies
16K Views
Wakuu, Kujitathmini ni moja ya njia inayokufanya ujirekebishe ulipokosea na uwe mtu mpya katika mambo mbalimbali unayofanya, kujitathmini sio lazima iwe mwaka hadi mwaka bali huanzia siku...
0 Reactions
1 Replies
475 Views
nakushangaa sana Mzee .. hadi Leo hakuna nyongeza kwa wafanyakazi .. watu wamesimamishiwa ajira zao.. wafanyakazi wamerudishwa madaraja yao wakati walishapanda.. juzi umetafuta kiki Hapa ya...
0 Reactions
1 Replies
808 Views
FUNDI baiskeli mjini Tarime amekufa baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana na kunyofolewa sehemu zake za siri. Fundi huyo alikufa akikimbizwa hospitalini na polisi waliofika eneo la tukio...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
  • Redirect
1.KIBORILONI & KIBOSHO[MOSHI]. Kiboriloni ni neno lililotokana na maneno mawili KIBO ALONE. Hii ilikuwa sehemu ambapo wazungu walisimama na kuona kilele cha Kibo pekee bila kukiona kilele cha...
5 Reactions
Replies
Views
Wana jf...natumai mko salam kabisa. Kwanza napenda kulipongeza jeshi la polisi tz kwa kuwahakikishia ulinzi watanzania katika kilele cha fiesta viwanja vya liders jijini dar es salam. Hakika...
0 Reactions
3 Replies
635 Views
Miaka michache iliyopita rafiki yangu alinipa stori moja ambavyo alipata kazi kutoka kwenye kampuni moja ya kudai madeni. Kampuni hiyo ipo Selander jijini DSM. Mteja wa kwanza jamaa yangu kupewa...
12 Reactions
51 Replies
5K Views
[emoji117]Kijana wa miaka 17 nchini China ana shahada ya Udaktari [emoji117]Kijana wa maika 17 nchini Japan ana shahada ya makenika [emoji117]Kijana wa miaka 17 nchini Marekani ana utajiri...
0 Reactions
3 Replies
696 Views
MARA: Watoto wanne katika Kata ya Kisorya wilayani Bunda ambao ni watoto wa familia moja ya mzee Siajali Magoti wamefariki kwa kupigwa na radi iliyokuwa imeambatana na mvua ya upepo. Kamanda wa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Huko Mtwara jamaa mmoja ajulikanaye kama Abdlah Chande amefariki dunia baada ya kuibuka mshindi wa kunywa mizinga minne ya gongo Kijijini Likolombe mashindano haya yapo kila wakati... Kipindi...
30 Reactions
116 Replies
10K Views
m Wakati mitihani ya form1V ikiendelea watu wameshapata cheti cha mwaka huu tena kwa ufaulu mkubwa! *Naipenda Tanzania*[emoji12]
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Serikali iliwaza nn kuanzisha board ya mikopo ??, kwa nn ikopeshe watanzania baadhi na wengine wakose haki ya kukopa??, mfano watanzania wanaosoma ngazi ya ASTASHAHADA na STASHAHADA. Hawa n...
0 Reactions
0 Replies
635 Views
Kwanza nichukue nafasi hii kukupongeza kutimiza mwaka mmoja tangu uchaguliwe uwe rais wa JMT.Hakika Watanzania wanajivunia kuwa na rais mwenye uchungu na Watanzania.Rais anayeguswa na sshida za...
0 Reactions
11 Replies
656 Views
Husband and wife could be president and VP Nicaraguan president seeks re-election with wife as VP - CNN.com
0 Reactions
1 Replies
567 Views
Nimekaa na kujiuliza lakini sipati majibu. Wakati mwingine napata hasira ninaposikia mtu anapata tatizo alafu anaambiwa usijari Mungu atakusaidia. Kiukweli hakuna utumwa mkubwa kama kuendelea...
7 Reactions
81 Replies
7K Views
Jamani habari za leo, Hivi uliwahi kutafakari namna unavyowaza ktk nafsi yako kabla ya kutamka kwa maana ya kutoa sauti kile ulichokuwa unakiwaza? mara nyingi wetu huwa hatulijali sana hili...
0 Reactions
2 Replies
664 Views
Viongozi wa dini Tanzania hugombana na kugombea waumini nendeni mkawasaidie hawa ambao hakuna walijualo kuhusu dini za Ukristo
0 Reactions
0 Replies
6K Views
TANROADS wanalishikilia lori lililopata ajali kwa kuharibu barabara kwa mwezi mmoja sasa. Mwenye lori anasema anayewajibika kulipa uharibifu huo ni kampuni ya bima. Hebu tupeane elimu, hizi nguzo...
0 Reactions
1 Replies
690 Views
Najiuliza hata sipati jibu. Ni nani aliplan barabara ya mwendo kasi iishie kimara mwisho na si mbezi mwisho? Hapo ndo nakosa jibu kabisa. Hii barabara ya morogoro ni barabara pekee inayopeleka...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Mji wa Kahama ndio mji unaokua kwa kasi kubwa kanda ya ziwa na Magharibi mwa Tanzania.Sifa kubwa ya mji huu ni kilimo na biashara,. Upande wa kilimo zao la mpunga ndio limepewa kipaumbele kikubwa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom