Kuna watu huwezi kuwasahau kirahisi. Jadda ni mmoja wao. Ukimletea hoja, anakupa hoja; ukijaribu kumuelezea jambo, anakuelewa na kukujibu kwa mantiki. Ni thinker wa kweli. Nimeikosa sana ile namna...
Kuna tofauti kubwa kati ya mganga wa kienyeji na mchawi ila jamii imepotoshwa na sasa haina uwezo wa kuwatofautisha tena na sasa inaishia kuwaweka kaput moja!!
1. Mganga wa kienyeji ni daktari wa...
Kuna mgahawa ulikuwa classic sana.
Ile sehemu wanafanya renovation na pamefungwa...
Aisee nimejikuta napata hasira, maana msosi ulikuwa classic sana.
Sasa nianze tena kutafuta mahala pengine...
Huku mitaani kuna watu wananunua unit za umeme takribani sh. 350 kwa unit 1, na wengine bei ipo chini zaidi kwa unit 1.
TANESCO, Naomba kujua tofauti hizi za bei zinatokana na nini...
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeongeza mikakati ya kuhakikisha uimarikaji wa huduma, ikiwa ni pamoja na kuimarisha ufuatiliaji wa vyanzo vya maji, ili...
Mimi ni mpandaji mabasi ya Mwendokasi hasa Gerezani tu Kimara, sasa leo nilibanwa na haja ndogo nikafika dirishani nikakata tiketi nika-scan nikaingia ndani nikaona choo nikajua kwaajili abiria...
Tarehe 23 mwezi huu wa 8 ni Jumapili, kwa hiyo tuseme mishahara italipwa baada ya tar 23, nini kinaendelea. Je haiwezekani kulipwa ndani ya muda wa kazi kabla ya tar 23? Au ndio tuelewe pesa za...
Mwanasiasa wa Afrika Kusini na aliyekuwa msemaji wa chama cha EFF, Dkt. Mbuyiseni Ndlozi, ametoa kauli nzito dhidi ya viongozi wa ukanda wa Kusini mwa Afrika (SADC), akipigania misingi ya...
Dodoma kituo kikuu nanenane ila abilia 80% wapo CBE,machame,mnada mpya,iringa road. DAR kutuo kikuu mbez magufuli ila 70% abilia wapo kalibu na shekilango,mbagala nk.IRINGA kituo kikuu ni igumbilo...
Kuna ubovu wa miundombinu ya Shule ya Msingi Rugu iliyopo Kata ya Rugu, Tarafa Nyaishozi, Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe, Mkoa wa Kagera, hii shule ni kongwe ila uchakavu wa miundombinu unatisha...
Hapo ni TAZARA ya Dar kero kubwa ni watu kutosafiri kwa wakati, Watu hufika Kituoni hapo wakiwa wanatokea sehemu mbalimbali wakifika hapo wanakuta tangazo la kubandika kuwa safari imeahirishwa...
Imekuwa utamaduni wa mabasi ya Tabora Mbeya hasa Sesabosa Bus inajaza abiria, wakati huohuo Askari wa Usalama Barabarani wanafumbbia macho, je mwenye kosa ni nani?
Nakumbuka miaka ya nyuma mahubiri kuhusu Mpinga Kristo, alama ya mnyama (666) na kitabu cha Ufunuo yalikuwa kawaida sana kuyasikia kuanzia makanisa ya kilokole vijijini huko hadi yale makubwa ya...
Salaam!
Ni kweli,hii ni ndoto ya Mwalimu Nyerere iliyobadilishwa kuwa uhalisia na Rais wa awamu ya tano ndugu JPM ambaye alimwachia kiti chake Daktari Samia Suluhu Hassan
Ajabu katika Kila...
Wananchi Wilayani Karagwe hususani Kijiji cha Bukabara wanateseka sana na maji jamani, yaani mfano kipindi cha kiangazi kuanzia mwezi May mpaka August kusema ukweli ukiona namna watoto na wanawake...
Habari za muda huu wakuu,
Naomba kuwasilisha mada hii kwenu ili kupata uzoefu au taarifa za kina kama kuna mtu yeyote humu ndani alishawahi kufanya kazi na kampuni inayoitwa Fine Modern Homes...
Hapa ni Julius Nyerere Hydro Power Plant, yaani Kilipo Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere MW 2,115 ambapo uzinduzi wa kituo hiki utafanywa rasmi leo Agosti 22, 2026 na Rais wa Jamhuri ya...
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa leo Juni 10, 2026 akiwa Bungeni amesema "Ushiriki wa Wanaukerewe katika shughuli hizi [Uvuvi] itategemeana na upatikanaji wa mitaji...