Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

ikitokea umeitwa kwenda kuamua mgogoro wa rafiki yako wa kiume aliyemfumania mke wake wa ndoa, wew kama rafiki yake utampa mawazo yapi katika kuamua hili?
1 Reactions
10 Replies
204 Views
Mamlaka ya Kupambana na Kuzuia Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA) imemkamata mfanyabiashara, Abdul Nsembo maarufu Abdukandida na mkewe, Shamim Mwasha kwa tuhuma ya kukutwa na dawa za kulevya aina ya...
21 Reactions
1K Replies
237K Views
Habari wapendwa. Naomba utizame majani ya hili ua then unitajie dawa inayoweza kuokoa hili ua lisife. Nitabarikiwa kama atanishauri mtu mwenye uhakika na anachoongea mana mpaka nakuja kutafuta...
6 Reactions
84 Replies
2K Views
Huwa nashindwa kuelewa kwanini viongozi wetu hupenda kuwapa nafasi watu wa hovyo mfano Pierre liquid. Na wengineo Ina maana Watanzania wengi uwezo wao wa kufikiri ni kama wa Pierre liquid ndio...
1 Reactions
4 Replies
103 Views
Wakuu mi huwa napenda kufatilia mambo ambayo hayafuatiliwi na watu wengine. Hii jamii ya pygymies inayopatikana tanzania ni ipi? Ndugu zangu waha mnisamehe nauliza tu maana waha wengi ni wafupi...
0 Reactions
1 Replies
92 Views
Habari zenu wadau. Naomba kujua tafadhali. Kipi bora kati ya hivi : 1. Ninunue mpunga nikoboe zitoke kilo elfu moja niweke ndani kwa ajili ya matumizi ya familia. Au ninunue mpunga, niweke...
1 Reactions
15 Replies
292 Views
SHERIA YA MVUTO NA HISIA KATIKA KULETA JAWABU LINALOSTAHILI. Where concentration is, is where energy flows!" Mahali ambapo unawekeza mawazo au fikra zako ndiko nguvu hutiririkia Hii Ni Sheria ya...
4 Reactions
7 Replies
952 Views
  • Redirect
HABARI: Juni 11, 2024 - Sanamu ya Askari jijini Dar es salaam ikiondolewa leo kupisha mradi wa ujenzi wa barabara ya BRT unaoendelea sehemu mbalimbali jijini. Tunafuatilia Kinikia hili kujua...
4 Reactions
Replies
Views
Kumejengeka dhania ya kwamba watu wa vijijini wanaishi kwa muda mrefu kuliko watu wa mijini kutokana na aina ya mifumo ya maisha wanayoishi. Unakubaliana na hili na unafikiri ni kwa nin watu...
3 Reactions
24 Replies
446 Views
Kino Yves, Ni mfaransa anaezunguka nchi mbali mbali na baiskeli, Haendi kilometer nyingi kwa siku, ni kilometa kama 60 kwa siku, pia hutumia baadhi ya siku kupumzika na kutalii sehemu alizofikia...
12 Reactions
69 Replies
2K Views
Waambieni huko Chang'ombe kiwandani Serengeti beer, sticker mpya za chupa za beer yenu hazipendezi. Sasa hivi chupa hiyo ya sticker ya njano utafikiri kifungashio cha togwa! Kiwanda cha...
19 Reactions
88 Replies
2K Views
1 Pet 3:7 1 Petro 3:7 Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu...
0 Reactions
23 Replies
224 Views
Ushawahi kujiuliza nchi ughaibuni kuna vituko vingi vya majini kuliko mikasa ya hapa. Na rafiki yangu ni mganga ambaye hupata safari nyingi nchi za kiarabu kwa ajili ya kwenda kupambana nayo...
1 Reactions
12 Replies
427 Views
Na Mwandishi Wetu, WHMTH, Arusha. Serikali ya Tanzania imeuhakikishia Umoja wa Posta Afrika (PAPU) kuhusu msimamo wake usioyumba wa kuendelea kuunga mkono na kusaidia mipango mkakati ya Umoja...
0 Reactions
0 Replies
46 Views
Mataifa mengi huwa na vyakula vyao vya kipekee ambavyo ni kama sehemu ya utamudini wao kitaifa. Wako walio na piza, mabaga, taco, shawarma, matoke, githeri, kimchi n.k. Nafikri kwa sisi Tanzania...
1 Reactions
8 Replies
145 Views
Wakuu habari zenu? Naomba kwa anayeifahamu vizuri Familia ya waziri mkuu mstaafu mh. Mizengo Pinda anisaidie kujua huyu jamaa anaitwa Don Mizengo Pinda ni mtoto kweli wa mheshimiwa au la. Kuna...
1 Reactions
35 Replies
7K Views
  • Redirect
Huyu Sheikh siku zote makalio ya wanawake ndo ajenda yake. Ameyabatiza majina mengi ya ajabu na mengine yakidhalilisha utu wa mwanamke. Lakini eti Leo ndo anatumika na UVCCM Kwa agenda kificho...
1 Reactions
Replies
Views
Wiki hii nimekua nafatilia sana pages za madalali wa magari, Kuna gari ya ofisi nataka kununua kutokana na bajeti nimeamua nianze na used kwanza, sasa hao madalali yaani ni vichekesho tu "Gari ya...
30 Reactions
43 Replies
1K Views
Tumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo. Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango...
15 Reactions
269 Replies
5K Views
Habari wanaforums, naomba kujuzwa Data au MB zinatengenezwa wapi, haiwezekani mtu yeyote kitaa akazitengeneza kimagendo?
34 Reactions
111 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…