Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Inakuaje mtu hupatiwi ticket ? wanapita na machine kwenye magari wanakatisha parking lakini hawaweki karatasi kumjulisha mwenye gari kua amekatiwa Parking. Hii inasabaabisha madeni makubwa ambayo...
1 Reactions
4 Replies
390 Views
Kwa heshima na taadhima, nichukue nafasi hii ya kipekee kuushukuru uongozi mzima wa jamii forums, wafanyakazi wake wote, na pia wana JamiiForums wenzangu kwa kuwa pamoja kwa mwaka wote huu wa...
8 Reactions
37 Replies
1K Views
Enzi zile za kukaa darasani, ukisikiliza mwalimu kwa saa kadhaa huku ukipiga miayo, zinaelekea ukingoni! Teknolojia imefanya mambo kuwa rahisi sana, na sasa unaweza kujifunza chochote unachotaka...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) imewataka Wananchi kuacha kutumia Madaraja ya juu maarufu kama Flyover isivyotakiwa kama kupita kwa miguu juu ya Madaraja hayo au kupiga picha mnato(...
0 Reactions
4 Replies
461 Views
Hii imekuwa too much maana kila siku ni mauaji kwenda mbele. Maiti za wanawake watatu zimeokotwa huko Mwanza. Maiti za wanawake watatu zaokotwa kando ya mto. ----- Wanawake watatu wanaokadiriwa...
4 Reactions
55 Replies
6K Views
Masikini wataendelea kuwepo lakini ujue masikini ni mtaji wa matajiri. Tajiri kamwe asingependa masikini ajikwamue atoke kwenye umasikini, hivyo mifumo imetengenezwa kuendelea kumfunga masikini...
1 Reactions
1 Replies
327 Views
Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko ametoa mwezi mmoja kwa Katibu Tawala wa mkoa pamoja na wakuu wa wilaya zote za mkoa wa Katavi kufanya ukaguzi wa kina kwenye maeneo ya biashara nakuchukua...
0 Reactions
2 Replies
374 Views
Kwema wakuu Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya nimegundua kanisa katholiki lina maeneo makubwa ya ardhi unapokuta kanisa la roma lazima kuwe na heka nyingi sana. Nini kilisababisha kuwa na...
25 Reactions
200 Replies
10K Views
Wewe mwana JF mwenzangu utakuwa jaji kwenye hili, je, nani anadanganya? "Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, lasema lawatuhumu Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi nani anaijua Historia haswa ya ule Mbuyu wa pale ‘Mbuyuni’ kona ya kwenda Oysterbay/Masaki. Maana inashangaza vile umekaa katikati ya Barabara na haujawahi kukatwa!! Sahizi mwendokasi nao...
1 Reactions
15 Replies
939 Views
1) Tembo wawili walilambwa shoti tukala nyama mwezi mzima KILOSA. 2) Pundamlia kahamia zizi la ng'ombe ni fulu maselfie haogopi watu MSAGALI. 3) Fisi anafugwa nyumbani mwa mtu pamoja na mbuzi...
7 Reactions
48 Replies
2K Views
Happy Christmas Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao...
54 Reactions
443 Replies
16K Views
Uislamu (au tuseme Muhammad), anadai kuwa Ibrahimu ndiye aliyejenga Kaabah. Mtu anapochunguza kwa makini jambo hili, ni vigumu sana kuamini kuwa Uislamu uko sahihi. Badala yake mtu unasukumwa...
7 Reactions
24 Replies
1K Views
Nimefika kufanyiwa makadirio ya kodi katika Ofisi za TRA Tanzania Mafinga lakini tangu asubuhi wahudumu wanajizungusha tu mara huku mara kule, mara mtandao uko chini mara wahudumu wengine wako...
1 Reactions
1 Replies
502 Views
Ni hali ya kushangaza sana na taratibu ya ovyo. Leo nimetembelea ofisi ya TANESCO Kahama, kwa issue inayohusu umeme...cha ajabu naambiwa nirudi nikapige simu nakuomba huduma nikiwa...
1 Reactions
0 Replies
541 Views
Katika zama hizi, dhana ya “Soft Girl Era” imechukua kasi kubwa, hasa kwenye mitandao ya kijamii. Wanawake wanajitokeza wakipigia debe maisha ya utulivu, starehe, na kujitunza—mara nyingi wakitoa...
1 Reactions
2 Replies
662 Views
Habarini wa JF na maisha yakiendelea. Tunakaribia kutimiza mwaka kukaribisha 2023 ila kabla ya kukaribisha mwaka watu au mtu hupenda kujua au kusaisha alichokiacha mwaka huo. Ilikuwa TAHARUKI...
0 Reactions
3 Replies
553 Views
Tanzania imejaa vipaji – kutoka kwa waimbaji wenye sauti za kuvutia, wachoraji wa ramani za ajabu, wanariadha wa hali ya juu, hadi wabunifu wa mitindo wenye ladha ya kipekee. Lakini je, kuwa na...
0 Reactions
1 Replies
397 Views
Karibu kufuatilia ajali mbalimbali za vyombo vya moto kuanzia magari,yenu Hadi Ndege. Kwa uchunguzi wangu usio rasmi Huwa ikianza kutokea ajali A elewa automatically kuja nyingine itatokea...
5 Reactions
19 Replies
848 Views
Back
Top Bottom