Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Taifa linaangamia na kutengeneza jamii ya mataahira. Wakuu wangu wa serikali nawaheshimu sana lakini hapo mmekaa kimya. Kusema serikali haina dini mnamaanisha matapeli waliojificha kwenye imani ya...
1 Reactions
25 Replies
872 Views
Kaka yake Lissu amesema amevutiwa na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Rose Mayemba na kwamba atamuingiza ndani ya familia ili kuunda udugu. Ameyasema ktk mkutano wa hadhara Igungi jana. Mayemba...
1 Reactions
2 Replies
556 Views
Forex na uwekezaji katika hisa mara nyingi huonekana kama utapeli kwa sababu ya sababu hizi hapa: Udanganyifu na Ahadi za Faida Kubwa: Watu wengi wanavutwa na matangazo yanayodai kuwa unaweza...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Anonymous
Wahitimu wa Chuo Kikuu cha St. John's, Dodoma, mwaka 2023 bado hatujarejeshewa ada tuliyolipa, ingawa HESLB ilikuwa imelipa ada hiyo kwa chuo. Pamoja na tangazo la chuo la 06/09/2023 kuwa fedha...
0 Reactions
0 Replies
171 Views
Mwandishi wa habari mkongwe nchini Tanzania, Abdallah Majura amehoji kuhusu radio kuwa na vipindi vya michezo asubuhi na kujadili mambo ya Simba na Yanga. “Tangu asubuhi watu wanatangaza michezo...
39 Reactions
108 Replies
4K Views
Kuna taratibu zingine ukizikuta unaanza kujiuliza hawa waliwaza nini? Kwa aina ya viongozi waliopo pale chuoni kwetu sina shaka wote wanajua umuhimu wa kunywa maji kila wakati ili Ubongo ufanye...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Katika kupambania life nimeamua kuingia kiwanjani nataka nikatafutie Fiji nataka nijue kwa upana fursa za uko, usafiri mpaka uko, maradhi na gharama za maisha kutoka kwa experience za watu...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
The Golden Generation: A Tribute to Those in Secondary School from 1993-1996 The mid-90s was a transformative era, a golden age of music, sports, science, and global affairs. Those who were in...
7 Reactions
7 Replies
647 Views
VYEO VYA JESHI LA POLISI TANZANIA KWA PROTOCOL 1. RC (Recruit Constable) akiwa mafunzoni. KURUTA 2. PC (Police Constable) aliyemaliza mafunzo ya awali police officer kamili. POLISI ASIYE NA CHEO...
4 Reactions
37 Replies
38K Views
Mzee mmoja amefariki na M/Mungu alimjaalia kweli enzi za uhai wake mali kweli kweli za kutosha, katika kujumuika na nzengo Mzee hakuwa na historia ya kuhudhuria misiba ya wengine na hata kushiriki...
41 Reactions
246 Replies
9K Views
Habari wadau. Kila mwaka udsm inamwaga vijana graduates wenye degree mbali mbali. Mzumbe na udom hivyo hivyo. Ajira ni ngumu wote tunajua, graduates karibu wote wa vyuo hivyo vikuu huwa...
9 Reactions
46 Replies
3K Views
True story: Tea time, Nilizaliwa katika ukristo na kukulia kwenye ukristo. Mwaka Jana nilihamia Tanga kikazi, mtaa niliokuwa Ninaishi ulikuwa una Waislam tupu. Nyumba nliyokuwa Ninaishi ilikuwa...
66 Reactions
283 Replies
16K Views
Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania kipindi Cha nyuma aliwahi kusifiwa Kwa umahiri wake wa kuongea lugha ya Kingereza na Waandishi wa Habari wa CNN wakati wakimhoji na Ile ni kutokana na...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Moja kwa moja kwenye mada! Kuna muda mpaka unajiuliza hivi huu mkoa kweli una viongozi au ni vile wako bize na timu yao ya Pamba Jiji. Barabara ya Kona ya Bwiru kuelekea Kitangiri na inayounga...
0 Reactions
1 Replies
570 Views
USHUHUDA NAMBA MOJA JUU YA MBINGUNI NA KUZIMU.JIANDAE KUKUTANA NA MUNGU WAKOJIANDAE KUKUTANA NA MUNGU WAKO!FALME ZA MBINGUNI NA KUZIMU,NA KURUDI KWA KRISTOAngelica ZambranoImefasiriwa na Alpha...
5 Reactions
19 Replies
8K Views
Anonymous
Sisi Wakazi wa Kata ya Buhembe katika Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera tunaomba Mamlaka ya Maji Bukoba (BUWASA) kushughulikia suala la ukosefu wa maji kwenye Kata ya Buhembe. Serikali imewekeza...
0 Reactions
1 Replies
628 Views
Kwenye ulinzi wa Rasilimali zao Wachagga wanapaswa kupongezwa kwa kweli Tofauti na Usukumani walikoachiwa Mashimo matupu migodini Ahsanteni sana 😄 Kwako Lucas Mwashambwa 😂
3 Reactions
16 Replies
676 Views
Awamu ya Magufuli kidogo watumishi wa serikali walishaanza kuogopa. Nidhamu na customer care ilikuwepo kwa kiwango fulani. Kwa hiki nampongeza Magufuli. Awamu hii ya sita hali inatisha. Ofisi za...
15 Reactions
61 Replies
3K Views
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ametoa siku mbili kwa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuvunja ukuta uliozidi kwenye kiwanja namba P18618 kilichopo eneo la Kigogo jijini Dar es...
2 Reactions
5 Replies
503 Views
Mhadhara (82)✍️ CHUKUA TAHADHALI KABLA YA HATARI. Watoto wa sikuhizi ni watundu sana, hivyo katika uzi huu tunakumbushana mambo madogo ambayo yanaweza kusababisha madhara makubwa ndani kwako...
2 Reactions
0 Replies
252 Views
Back
Top Bottom