Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ni miaka 7 Sasa tangu atangulie mbele za haki mama huyu wa kizungu anaitwa, Charlotte Nelson William. Charlotte Nelson William, enzi za uhai wake katika jumuiya ya Freemason nchini uingereza...
17 Reactions
115 Replies
19K Views
1&2 Utangulizi 3. Wahusika 4. Mfalme Rai
1 Reactions
3 Replies
545 Views
Salamu Wajumbe. Kuna muvi ya Kiswahili niliwahi kuitazama miaka ya 2009/10 ya vijana wawili, mmoja wa kike mmoja wa kiume ambao walikuwa wanaishi msituni na wazazi wao ambao walifukuzwa kwa...
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Habari Wadau, Ni nadra sana kwa mtu kuwa bilionea, hasa akiwa na umri mdogo. Hii ni orodha ya mabilionea vijana ambao wametajwa na Jarida la Forbes kwa mwaka 2024, kuwa matajiri wadogo zaidi...
2 Reactions
10 Replies
615 Views
๐™’๐™„๐™ˆ๐˜ฝ๐™Š: MARIO ๐™ˆ๐™’๐™„๐™ˆ๐˜ฝ๐˜ผ๐™…๐™„: MADILU & FRANCO ๐™๐˜ผ๐™๐™Ž๐™„๐™๐™„: SULE MKANDARASI ๐™ˆ๐™–๐™ง๐™ž๐™ค ๐™ฃ๐™ž ๐™Ÿ๐™ž๐™ฃ๐™– ๐™ก๐™– ๐™ ๐™ž๐™Ÿ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ฎ๐™š๐™ฅ๐™š๐™ฃ๐™™๐™– ๐™ ๐™ช๐™ก๐™š๐™ก๐™š๐™ฌ๐™– /๐™ ๐™ช๐™ž๐™ฃ๐™œ๐™ž๐™– ๐™ ๐™ฌ๐™š๐™ฃ๐™ฎ๐™š ๐™ข๐™–๐™๐™ช๐™จ๐™ž๐™–๐™ฃ๐™ค ๐™ฃ๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ฌ๐™–๐™ ๐™š ๐™ฌ๐™–๐™ก๐™ž๐™ค๐™ข๐™ฏ๐™ž๐™™๐™ž ๐™ช๐™ข๐™ง๐™ž. ๐™†๐™ฌ๐™– ๐™ฃ๐™ฎ๐™–๐™ ๐™–๐™ฉ๐™ž ๐™๐™ž๐™ฏ๐™ž ๐™ ๐™ฌ๐™– ๐™๐™–๐™ฅ๐™–...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wanajukwaa. Mimi nimpenzi wa kusoma story,Naombeni msaada kwenu natafuta story ya kusoma humu JF weekend hii. kiufupi sina appointment yoyote na nilitegemea waandishi wangu...
8 Reactions
106 Replies
12K Views
Habari zenu wana wa JF Jmn hii ngoma napenda sana but siijui jina lake Mnisaidie jmn jina yake
0 Reactions
0 Replies
234 Views
Kama unaijua hii movie jina lake please itaje..
2 Reactions
4 Replies
801 Views
KAMBI YA NDALA. MWANGAZA hafifu wa mapambambazuko uliwafanya Luten Dennis Raymond Makete na wenzeke waonekane kama vivuli.Walikuwa katikati ya msitu wa Ndala wakienda mbio za mchakamchaka...
12 Reactions
431 Replies
178K Views
Asasnte kwa kufungua uzi huu. Mimi binafsi, napenda comedy na nafanya comedy pia (stand up comedy). Japo sijafika stage kubwa mpaka watz wakanijua. Lakini huwa naona stand up comedians kadhaa...
0 Reactions
1 Replies
257 Views
B HITS ILITUBARIKI VYA KUTOSHA Hermy B alikuwa akifanya kazi redioni lakini akawa anajiiba humohumo baada ya vipindi kuisha na kurekodi kazi binafsi mpaka aliposimamisha studio yake na...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana Jf, ni bia gani ambayo ukiinywa leo kesho hupati hang over? Nimebadilisha bia za aina mbali mbali mpaka sasa ila kila nikiamka asubuhi nakuwa na uchovu wa hali ya juu. Mwanzoni nilikuwa...
2 Reactions
72 Replies
16K Views
Kuna TETESI kuwa hakuna matata nyimbo mpya ya MARIOO kufanyiwa remix nne Remix hizo ni kwa wasanii wafuatao 1. Diamond 2. Harmonize 3. Alikiba 4. Darasa Watu wanasubiri kuona ipi itakuwa Kali zaidi
3 Reactions
6 Replies
842 Views
Wapo waliofukuzwa kazi/ wapo walioshushwa ngazi/vinatia uchungu/ ridandansi hizi za majungu ridandansi.
1 Reactions
2 Replies
497 Views
wapendwa, kama mtakumbuka wiki mbili nyuma Bujibuji alileta thread HII na mimi nkajitafhidi kufukuakufua nikaupata huo wimbo HAPA. sasa nimempigia simu rafiki yangu mmoja akaniambia walipata...
3 Reactions
27 Replies
21K Views
Funguka wimbo wa bongo flavor ambao ni wimbo pendwa kwako kwa miaka yote na huchoki kuusikiliza ili wengine wapate ladha ya mziki mzuri kutoka nyumbani..
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Kwa nchi kama India, Korea, na Marekani, sanaa imekuwa ni moja wapo ya kazi inayoongeza uchumi kwa taifa. Kwa mfano, Korea wako vizuri kwa kuonyesha utamaduni wao na hata kuonyesha historia...
0 Reactions
0 Replies
323 Views
Baada ya kushinda alitakiwa awasiliane na washiriki wa nyuma ili kupata maoni yao kuhusiana na mashindano hayo. Angeweza kuwatafuta mmoja mmoja au kuwaita wote kwa kikao ili akakusanya maoni ya...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Mzee mbabe untouchable mkali ka Mugabe, Hakuiva na Manji wenye ganji akasema akabwe, Panya wakafyata mkia wakapotea wenye ngebe, Acha kumpinga ukimsema unanyea debe, Hakua mlevi wa uhuru kunyata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya kipindi kirefu kuongea kwa mafumbo dhidi ya wamiliki wa Clouds FM kuwanyonya wanamuziki akianzia na wimbo wake wa Joto Hasira, mwanamuziki Judith Wambura ameendelea kuwaishambulia redio...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ