RIWAYA; BAHARIA
NA;BAHATI MWAMBA
SIMU; 0758573660
VITABU VILIVYOPITA.
• MPANGO WA CONGO
• DAKIKA ZA MWISHO
• URITHI WA GAIDI
• OPERESHENI JICHO LA PAKA
• SAUTI YA MTUTU
• MBWA...
WATU PORI - NAFSI YA MTU.
Watu pori a.k.a washamba a.k.a washamba a.k.a washamba /nyani wapya msitu wa zamani beat mjerumani mambo yote kwa Bonnie/
Sikiliza haya ninayo kueleza leo na kesho...
PROFESOR JAY FT LB GENIUS & IMAM ABAS " NA BADO"
Natumia nafasi hi kudhibitisha kipaji changu/ nikiwa ni mkakati wa kuinua jina langu/ na huu sio mkwala tu ni msisitizo wenye nia/ kama kipaji...
Wakuu ushauskiliza huu wimbo wa marioo uitwao 2025.
Ukiuskiliza huo wimbo ni ameongea mapnzi tu. Akisisitiza kuwa atadumu na mpnz wake Hadi 2030+
Sasa huu wimbo ukiuskiliza kwa upande wa...
ALBUM YA PROFESOR JAY "MACHOZI ,JASHO NA DAMU
https://www.facebook.com/100064569174258/posts/pfbid0Eksw2k3qTSg3kzXd5H6BtXzEYYNiNtGTXA6K24WvMf2U6zETpBsMxgtCTF6L1u2yl/?app=fbl
"Machozi Jasho na...
Wanabodi,
leo nikiwa natoka mahali kwa kutumia public transport, ukapigwa wimbo wa King Kikii, kitambaa cheupe, hivyo from no where, nimetokea kumkumbuka mwanamuziki mkongwe huyu, jina kamili ni...
Baadhi ya watangazaji wanatumi majina bandia(AKA) kwa sababu mbalimbali kama vile ubaya wa majina Original, jina kufanana na la kwenye bibilia mfano Yohana, Yeremia, Petero nk. Kwa hakika sababu...
Huyu mzee wakati huo sijui alikuwa anawaza nini wakati anatunga huu wimbo . Kweli muziki ni fasihi ya wakati. Ukiangalia kwa nyakati za sasa ni kama vile kuna mtu(kiongozi) anaona matatizo ya Watz...
Mwamba aliweza kuja na biti kali ambazo zilikuwa na chembe chembe za sound za mwambao akichanganya sound za dance hall.
Aliweza kutukosha zaidi na ngoma ya "na wewe tu" na "najua"...
wakuu natafuta nyimbo ya mr blue ile tabasam yenye version ya Q chief. Kila nnayoona kipande cha Q chief kimeondolewa. Mwenye nayo tafadhali. Mim kijana wa zamani nikumbukie enzi yetu
SOMA ILI UJIFUNZE KITU, AMINI HUWEZI KUTOKA BURE
Siku moja Dokta aliingia haraka sana hospitalini mara baada ya kupigiwa simu iliyomtaka akafanye upasuaji. Baada ya kufika hospitalini...
STORI FUPI: JINSI YA KUTAFUTA FURAHA YAKO.
Alitokea mwanamke mmoja aliyevalia nguo za gharama sana, kwa kumtazama tu ilitosha kutambua kuwa ni dada wa kitajiri. Basi alienda kwa mwanasaikolojia...
MR. PREZZY - G ( STUDIO BONGO RECORDS)
Sema chochote unachokitaka hata kama unaweza paka mi ndio nasema naonyesha kipaji/ kama dibaji ongea unachokitaka na piga na domo so mi ndio in chaji/...
PROFESOR JAY - HAKUNA NOMA
Nimesimama kwenye haki/ kurumbana sitaki/ bado nipo na fani kama Saturn na Zebaki/ sitaki kujiuliza.. yupi..? ndugu yupi ..? adui/ sijui..!! Pata nasaha za ma bedui...
Waandaaji wa tuzo za Grammy wametoa majina ya Nominees ambao watawania tuzo za grammy 2024 na kwenye kipengere cha Best african music perfrmance ambacho yeye alipeleka kazi zake lakino kwenye list...
Naamini mtakufa nyinyi
Kupona nitapona mimi
Kama biashara ya madini
Mgodi na umiliki mimi
Siwezi kuanzisha zaga wakati mwisho wake siuoni
Ni kama kumtusi Baba tena kwa matusi ya nguoni...