Pengine kile kizazi cha dhahabu cha muziki wetu wa bongo kinaweza kisijuridie kamwe, enzi hizo maproducer walikuwa wachache ila wakali mno, ukija kwa wasanii kila mtu ana flavour yake, ukimkuta...
Imepita miaka 16 since Andre Young almaarufu Dr. Dre alirelease album yake ya Chronic.Sasa baada ya miaka kadhaa ya kusubiri bila matumain album yake ya mwisho aliyoipa jina la Detox, Instead...
Fid Q na Joh Makini Ni miongoni mwa wasanii bora kupata kutokea bongo kwenye Hip hop, kila mmoja anangoma kali nyingi. Ila binafsi ukiniambia nichague wimbo mmoja tu wa Fid Q ambao niliwahi...
Tumesikia na kuona kupitia vyombo vya habari kile alichofanya msanii Shilole a.k.a Shishi baby kwenye onyesha alilofanya nchini Ubelgiji. Baada ya taarifa na picha za tukio Hilo kusambaa BASATA...
Pongezi ziende kwa kingKiba kwa kuendelea kutoboa kimataifa "kavu kavu" bila collabo.
Wimbo huo umeingia kwenye Top ten Raido kubwa zaidi nchini Nigeria "The Beat 99.9
Source: Bongo5,
Kituo cha kimataifa MTV base kesho kitazindua video mpya ya moja Kati ya wasanii mashachari jux ft Joh Makini jina la nimbo ni looking for you.
Ni vizuri mziki wetu kufika international level
Kwa wale wapenzi wa vibonzo hebu tujaribu kuwatathmini hawa jamaa katika hii tathnia. Pia ongeza na wengine unaowafahamu 1. Abdul Kingo. Huyu jamaa ana katuni zake kama vile songombingo za...
Kwa yoyote mwenye kipaji cha uigizaji wanahitajika mabinti kadhaa kwa project iliyoandaliwa na Tanzania Media Company. Ni wakati wako kuonesha kipaji chako.
Sharti uwe hujawahi kuigiza hata...
Nimeangalia mambo yanayoendelea katika siasa nikakakumbuka kale kasongi ka mv mapenzi....
Nahodha kajitupa baharini.....
maswali: -
1. Je, meli ilizama? kama haikuzama mchango wa nahodha...
Kuna jambo nimelifikiria sana nikaona nililete hapa JF kupata msaada zaidi, ni hivi, kwanini wasanii wa bongo movie hawana uwezo wa kucheza movie kali za action kama kina RAMBO,JET LI,JACK...
Hivi ni mimi tu ninayevutiwa na tuvesi twa Nyandu Tozi? Jamaa naonaga kama hayuko siriaz na mziki, anafanya just for fun, but tuvesi twake huwa tunanibamba kweli.Nyimbo alizofanya na Blue, ile...