Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakenya wajanja sana. Wametafuta njia ya kuyachota mahela ya msanii Diamond, njia pekee waliyoona ni kumwalika kwenye show na kutengeneza mazingira ya yeye kuvunja mkataba. Paap akaingia kwenye...
6 Reactions
56 Replies
4K Views
Kama Kuna wengine unaowajua Ruksa kuongeza. Juma Nature aka Kiroboto - Sinta mpaka Nyimbo kamuimbia. Mb- Dog --- Nancy Sumari Mpaka Nyimbo kamuimbia Jagwa Kuna msanii wa mnanda alimuimbia -Asha...
0 Reactions
4 Replies
670 Views
Nyota wa muziki kutoka Bongo, Diamond Platnumz, amethibitisha ukubwa wake katika tasnia ya muziki baada ya kutajwa kama msanii aliyeongoza kutazamwa zaidi kwenye mtandao wa YouTube nchini Kenya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nilikuwa naomba kujuwa sehemu gani kwa dodoma wanauza suit za special affordable price
1 Reactions
2 Replies
512 Views
Jana usiku kulikuwa na Tamasha pale Nairobi ambalo moja ya Wasanii walioalikwa kutumbuiza ni Wasanii kutoka Tanzania, Diamond Platnumz akisindikizwa na Zuchu huku Msanii mwingine akiwa Rayvanny...
20 Reactions
135 Replies
8K Views
Simulizi: Kurudi Kwa Moza Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Moza alikuwa msichana mrembo ila aliishi maisha ya shida na kumfanya ajaribu kufanya kazi za...
4 Reactions
315 Replies
82K Views
Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz afichua kuwa alilipwa dola 150k sawa na TSh. Miloni 374 (373,554,903) kutumbuiza nchini Kenya katika show iliyovurugika mwisho wa wiki. Taarifa hii...
4 Reactions
0 Replies
744 Views
Wakati nasoma shule ya msingi kulikuwa na watu mbalimbali wanakuja shuleni kufanya maonyesho ya mazingaombwe, yale maonyesho yalikuwa na buradani ya aina yake, wanafunzi wengi walikuwa wanalipia...
23 Reactions
119 Replies
4K Views
Japo ya kuwa ni nyimbo za zamani ila always ukiweka bado unapata burudan hile hike. 1.nisamehe ya belly black ft Suma lee 2.ulofa ya top c 3.sina raha ya Sam wa ukwel R. I. P 4.lala salama ya...
6 Reactions
56 Replies
3K Views
Japo mimi sio mtazamaji wa hizi mbanga za bongo ila kwa bahati nimekutana na huyu msanii STEVE MWEUSI ana kipaji apewe support atafika mbali.
5 Reactions
12 Replies
3K Views
MASIKINI WEZANGU - NGWEA. Wachache ndo wanaishi wengine maescorts/ Twiga wanapanda pipa hata bila ya passports / Mikoa mingi bado haina hata airports / Zaidi ya migodini madini kuyaexport / Bila...
1 Reactions
0 Replies
428 Views
MTUNZI: SHAABAN ROBERT. WACHAPISHAJI : Tanzania Publishing House. Dar es Salaam. SURA YA 1 Mfalme Rai Rai, mfalme wa Ughaibu , alikuwa mfalme namna ya peke yake duniani. Alikuwa na tabia...
7 Reactions
45 Replies
13K Views
A man of the people Enters his office to sit on the throne of Party and State, His stick of power Across the table. He looks into the files To see the demands Of the millions of people Who for...
0 Reactions
4 Replies
706 Views
Hivi karibuni, Msimu wa Kutangaza Tamthilia na Filamu za Beijing Afrika ulianza jijini Dar es Salaam, Tanzania. Tukio hilo lililoandaliwa na Ofisi ya Redio na Televisheni ya Mji wa Beijing...
0 Reactions
0 Replies
398 Views
Kwenye wimbo wa Diamond wa Baba Lao yope wanatajwa na kusifiwa watu ambao Leo hawapo Tena kwenye circles of power . Magufuli baba Lao. Makonda baba Lao . Hawa Leo wote hawapo mmoja kafa mwingine...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Diamond alikuwa na Show ya ku-peform kwenye Show ya Raha-festival huko Kenya 🇰🇪, Ambapo Diamond, alisusa na kukataa ku-peform kutokana na kutokuwa na Maelewano kati ya yeye na waandaaji wa...
9 Reactions
26 Replies
2K Views
Wakuu,naomba msaada kwa yeyote mwenye link ya site kwaajili ya ku-download hiyo movie.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
PROFESSOR JAY -MACHOZI,JASHO NA DAMU VERSE..1 Nashukuru Macho yangu mawili hayana upofu/ na mdomo upo wazi kukemea mambo maovu/ siku inapofika naona Heri ya jana/ maisha ya wabongo yanakuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom