Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

https://fntaz.com/drake-ataweza-kufanya-kwenye-kombe-la-dunia-alichokifaya-kendrick-lamar-superbowl/
0 Reactions
0 Replies
209 Views
Kwa wale wenye upeo wa kujua vizuri watakubaliana nami. Siri ya Mtungi ni miongoni mwa Tamthilia bora za Lugha ya Kiswahili kuwahi kutengenezwa Tanzania. Ni aibu kwanini hatuna Tamthilia za...
4 Reactions
3 Replies
523 Views
Tiwa Savage opens up on why she does not sign artistes Nigerian singer Tiwa Savage has opened up about why she chooses not to sign upcoming artistes, citing the stress and responsibility of...
1 Reactions
0 Replies
472 Views
Wanasema msiba mzuri ukiwa kwa jirani yako sababu ujavaa viatu vyake. Mbaraka Mwinshehe :Mtaa Wa Saba. Katika wimbo wake huu alizungumzia kuhusu mikosi na nehema alizofanya kuhama. Tunapo sema...
2 Reactions
3 Replies
339 Views
________________________ ▪️ Genre: Action, Crime, Thriller ▪️ Date: 8 Jan 2025 ▪️ Rate: 6.3/10 IMDb ▪️ Time: 2h 24m ▪️ Director: Christian Gudegast ▪️ Main characters:- -Gerard Butler kama Nick...
3 Reactions
10 Replies
556 Views
Bila shaka mko vizuri wakuu. Huyu B-boy ukimskiliza vizuri utagundua ako na kitu kwenye namna anavyotengeneza midundo yake. Sijajua ni labda kwakua wako na muunganiko mzuri na huyu kijana...
2 Reactions
57 Replies
2K Views
Mboga saba. Verse 1 – Mr Blue Mboga saba umeniteka, makahaba nawacheka Kwenye mkataba nakuweka, kwenye mahaba nakuweka Napiga ibada usije lala kwenye mkeka Aah kama vumba likikataa Aah ndumba...
5 Reactions
16 Replies
841 Views
Na kenge, Ni kawaida wasanii kutunga nyimbo,tungo na shairi kuhusu siku ya kuzaliwa 'Happy birthday' .: Kwakuwa siku hii ni moja tu maishani na watu husherekea kwa furaha siku hii adhimu ya...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Huu ni ukrasa maalum kwaajili ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za Kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa. Pia, bongo fleva za zamani ni mahara pake...
18 Reactions
791 Replies
214K Views
WADAU naombeni mnisaidie ni wapi nitaipata album ya muziki wa reggae yenye jina "REMEMBER BOB MARLEY-PROVERBIAL REGGAE" picha ya cover lake ilikuwa na wanaume watatu wakiwa wamekaa. ndani ilikua...
2 Reactions
43 Replies
17K Views
Kama ulibahatika kuwa Kijana au kuwa na umri wa utambuzi miaka hiyo Utakumbuka Zaidi Nyimbo Mojawapo iliyokuwa Gumzo miaka hiyo ni Mapenzi kitu gani ya MB DOG.. sasa leo Nataka kukuletea Story...
20 Reactions
73 Replies
8K Views
Mimi: Abby Chams (Me too) https://youtu.be/qCOsfkUKMfI?si=2qhgmsoc67lOGxGK Wadau, tushare nyimbo mbalimbali hapa chini unazodhani zimehit sana mwaka huu. Tuone nani ana taste kali ya mziki! 🎵
0 Reactions
2 Replies
451 Views
Sehemu 1 Naitwa Mamujee, ni mzaliwa wa Musoma. Sijabahatika kusoma sana, niliishia kidato cha pili sababu ya kukosa mtu wa kunisomesha pindi tu nilipofiwa na baba yangu. Mama yangu alifariki...
11 Reactions
71 Replies
6K Views
Habarin ndugu zangu ...mwenye riwaya ya mkimbizi soft copy naomba anisaidie
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Nadhani sijaeleweka!! ila ukimtoa kanumba (ME),gabo(ME),monalisa(KE) na riyama(KE) huyu ndio actor wangu wa bongo movie kwa sasa mpaka 2030....."DUNIA Anaitwa hellena aka cindy kakolanya(ke)
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Nawakaribisha wapenzi wa Singeli,Wanazuoni wa sanaa ,watoto wa kitaa ,Ma itteligentsia wote na wataalamu wa codes. Hebu tuambieni hizi namba zinazotajwa kwenye muziki wa singeli zina maana...
1 Reactions
45 Replies
3K Views
Tupia nawewe yako ngoma kali unayoikubali ya mmakonde
4 Reactions
56 Replies
3K Views
Kitumbua cha buku sehemu ya kwanza STORY NA: Mbogo Edgar Kijana Prosper alikuwa amejilaza kwenye mkeka, askipunga upepo wa na kufaidi kimvuri cha mti wa mwembe dodo mkubwa sana, uliopo pembeni...
0 Reactions
75 Replies
70K Views
Wakuu Habari za Uzima, Naombeni Mnisaidie Audio za Nyimbo hizi, Hizi Nyimbo Nilikuwa Napenda Kuzisikiliza Kabla Sijapata Hearing Loss "Usikivu Hafifu" Najua Kwasasa Nitafaidi Midundo tuu ila...
1 Reactions
1 Replies
362 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…