Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kama unapenda movie za kutisha basi hii movie ya kuangalia sikukuu ni movie Kali yenye mafunzo ndani yake. Sio kila kijiji lazima ulipelekee familia yako kwa kuwa umepangiwa kwenda kufanya kazi...
3 Reactions
7 Replies
851 Views
***SORY MADAM*******(1). AGE………………………………….18+ WRITER……………………………EDDAZARIA G.MSULWA Ni siku ya jumamosi kama kawaida wanafunzi waote wa shule tunayosoma tunakwenda viwanjani kucheza michezo...
2 Reactions
24 Replies
15K Views
Huku Kwetu nchini Tanzania tunawaita Marapa / Waghani ila kwa wenyewe Wakongo kutoka Kinshasa na Brazaville wanawaita Atalakus na kwa Wafaransa na Kifaransa wanaitwa Animateurs kutokana na umuhimu...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Lana Del Rey - Henry come on Mp3 Download At long last, Lana Del Rey has officially released the new song “Henry, Come On.” Find the track, which the singer-songwriter has been teasing for over a...
2 Reactions
4 Replies
975 Views
The Day of the Jackal 2024 ‧ Thriller ‧ 1 season Muhtasari Mshambulizi maarufu, Jackal, anapokuwa akitafuta kurudi kwa Nuria, anakuwa miongoni mwa wahalifu wanaotafutwa, huku Bianca akipewa fursa...
2 Reactions
56 Replies
3K Views
1: Nas - New York State Of Mind "I never sleep, cause sleep is the cousin of death. Beyond the walls of intelligence, life is defined. I think of crime when I'm in a New York state of mind" 2...
8 Reactions
65 Replies
3K Views
Kwetu sisi wafuatiliaji wa tamthilia hii maarufu sana, naamini toka Enzi hizo ikianza wengi tumekua tukiingia na kutoka lakini mwisho wa siku bado tunapata ule utamu wake. Basi tutumieni hili...
34 Reactions
9K Replies
789K Views
Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza. Naomba kiwasilisha
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu kwa wale wapenzi wa Isidingo tuliipenda sana lakini hakuna kisicho na mwisho. Hivyo kwa sisi wafuatiliaji wa ITV wameamua kutuletea tamthilia mpya ya Uzalo, japo sina hakika kama ni mpya...
11 Reactions
2K Replies
121K Views
Burudani: Je, unapenda kusikiliza INSTRUMENTAL BEATS za nyimbo mbalimbali? Nyimbo nyingi za sasahivi ukitaka kusikiliza INSTRUMENTAL BEATS utazikuta wameweka huko YouTube, Google, n.k. Lakini...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
PART ONE: Hizi hapa 15 INSTRUMENTAL BEATS za nyimbo za zamani; 1. GK - Piga manati. 2. CHID BENZI - Muda. 3. MEZ B - Kikuku. 4. BRENDA FASSIE - Thola. 5. MARIOO - Beer tamu. 6. BANANA ZORO -...
2 Reactions
1 Replies
486 Views
PART TWO: Hizi hapa 15 INSTRUMENTAL BEATS za nyimbo za zamani. 1. RADO - Usiulize. 2. DAZZ BABA - Wife. 3. AMIRADO - Nimechoka. 4. TUNDAMAN - Asinah. 5. MAKHIRIKHIRI - Dumelang. 6. BASHARI -...
4 Reactions
4 Replies
609 Views
Simulizi: Kaburi la Mwanamuziki Mtunzi: Robert Heriel WhatsApp 0693322300 Sehemu ya 1 “Kazi yangu bila shaka kila mmoja wenu atakuwa ameifanya vizuri, nilifurahishwa na Richard, yeye aliimaliza...
8 Reactions
135 Replies
31K Views
.
1 Reactions
0 Replies
197 Views
Wakuuu vip, Nani mwenye ngoma za hawa jamaa Chuchu sound ya kipind kile cha kina MAO SANTIAGO! =============== ===============
1 Reactions
42 Replies
26K Views
Tafsiri ya kitabu The Merchant of Venice. 1939. SHYLOCK (SHAILOKI) NA ANTONIO SHYLOCK, Myahudi, alikaa Venice (mji mmoja wa Uitalia). Alikuwa mkopeshaji fedha wa namna mbaya kabisa. Yaani yeye...
0 Reactions
2 Replies
341 Views
Ni Joe Kusaga tena… Waswahili husema mwenye nacho huongezwa, sio sahihi. Mwenye nacho hujiongeza ndipo huongezwa. Mfanyabiashara na mwekezaji mkubwa nchini aliyejikita zaidi kwenye tasnia ya...
24 Reactions
152 Replies
7K Views
Dc ilianza mwaka 1930 na marafiki wawili harry donenfield na jack Leibowitz ,dc ilikuwa ni magazine inayachapicha habari za kijamii na pornografia hii ikapelekea baadhi ya watu ktk kampuni...
1 Reactions
0 Replies
264 Views
Napenda kuwatakia maandalizi mema ya Sabato. Sabato ikawe njema kwenu nyote. Sabato yako ikawe njema kupitia uinjilishaji huu kupitia nyimbo Uzi huu utahusisha nyimbo za SDA pekee, karibuni...
6 Reactions
39 Replies
2K Views
Mara ya mwisho ku peak ilikua 2011, taarab ilikua juu sana. Ila baada ya pale naona imepotea, nina miaka mingi sijasikia hit song ya taarab. Whyyyy, hizi amapuano sijui singeli sijawai zielewa...
2 Reactions
52 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…