Naomba nieleweshwe vizuri maana sielewi, hivi Fawler aliyekuwa mchezaji wa Liverpool aliitwa Mungu wa Magoli ilikuaje na alicheza mwaka gani? Kwanini walimpa jina hilo na alikua anacheza nafasi...
Bridge : A. Town , hi indo a. town , a town, hi indo a. town.
Chorus : Mungu Nipe A. Town, Mungu nipe acity,
Mungu nipe Arachuga, bongofleva wakituona wana zuga...
Ni maneno ya nyimbo moja ya kale. Nyongeza ya hayo maneno ni."mimba hiyo imeshakuwa kubwa,la kufanya hulion,utamwambia nin mumeo, jambo linalontisha hv sasa, ni huo mzgo ulio nao sauda." Naomba...
Ndugu wapenzi wa nyimbo za Taarab,
Leo hii nimetumiwa habari za kusikitisha kupitia Whatsapp,nimejulishwa kuwa Muimbaji maarufu wa Taarab huko Mombasa Mohamed Khamis Juma Bhalo amefariki dunia...
Ni jambo la kusikitisha kwa huyu binti kukatishwa uhai na mumewe kumkata na shoka kichwani siku ya tarehe 25, kwa kile kilichodaiwa muwe alichukia kuandaliwa chai siku ya sherehe ya kuadhimisha...
Kwa nchi za kiafriaka jambo kama hili linaweza kutokea kwa kuwa bado kuna ndoa za kulazimishwa, wazazi wengine wanatamaa wakimuona mtu mwenye pesa nyingi amekuja kutaka kumuoa binti yao...
Paul Walker
Muigizaji wa Marekani, Paul Walker aliyekuwa akiigiza kwenye filamu ya Fast & Furious amefariki dunia kwa ajali ya gari California.
Msemaji wake ametoa taarifa ya kifo chake kupitia...
Taarifa zilizotufikia chini chini kutoka Netflix kwa wanaoishi huku mamtoni, director wa Money Heist wanampango wa kumpa jina actor mpya jina la mji mmoja wapo wa Tanzania ambaye atamuokoa Prof...
Top Nollywood Actor, Muna Obiekwe Dies Of Kidney Failure
Popular Nollywood actor, Muna Obiekwe has passed away after a battle with Kidney failure.
The Trent exclusively reports that the actor...
Wakuu Kuna bonge la version la huu wimbo wa Muogo wa Jang'ombe ulioimbwa na marehemu, nguli na mkongwe wa muziki huu wa mahadhi ya pwani Bikidude badae ukaimbwa na wengine kutia ndani LadyJaydee...
SHERIA ZA GROUP
*Marufuku kupost kitu chochote ambacho ni tofauti na jina la group linavyosema (latest movies) group ni maarumu kwa ajili ya movies tu
*marufuku kupost picha za uchi au video ya...
Katika muendelezo wa siasa za Tanzania, msanii maarufu kama Ney wa Mitego ametoa wimbo unaomkashifu Rais Magufuli na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, maarufu kama "Daudi Albert...
Habarin wakuu..
baada Ya kusikiliza wimbo mpYa wa stamina-asiwaze nikasema kweli muda ndio kila kitu
Refer miaka Ya nyuma "stamina" ashawai chana mistat hii katka moja Ya nyimbo zake
"Ndoa ngum na...
Aliiimba Hamza Kalala sikumbuki kama alikuwa na Bantu Group au peke yake.
Anasema eeeh eehe eehh kasimbagho, kabhuka. Mka mkamwana mkalole kasimbagho.
Mwenye huu wimbo please aubandike hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.