Mungu nipe mbunge kama lema.

Mungu nipe mbunge kama lema.

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,900
Reaction score
37,696
Bridge : A. Town , hi indo a. town , a town, hi indo a. town.
Chorus : Mungu Nipe A. Town, Mungu nipe acity,
Mungu nipe Arachuga, bongofleva wakituona wana zuga.

Mungu nipe mkoa, sio darisalama
Uliojaa mashoga na watoto wa mama.
Mungu nipe demu, sio Wema Sepetu,
Aliye jaa maskendo mengi ya umalaya tu,
Mungu nipe muziki, sio bongo fleva, tungo zao za mademu hawana wanacheza
Mungu nipe madj kama wa arusha, wengi ni magangster halafu ni ma hustler,
Mungu nipe ma break dance sio kiduku, baada ya miaka arobaini wanakula mambo huku.
Mungu nipe majani kama ya A.TOWN nikikaa ghetto nijione nipo Marekani

REPEAT CHORUS
Mungu nipe mbunge kama Lema, amejaa ushujaa ndo maana tunampenda
Mungu nipe Legendary kama Faza Neli, sio Afande Sele, anaye piga makelele.

Mungu nipe rais kama Nyerere, sio wa awamu ya nne, sitaki kumuona milele,
Mungu nipe Waziri Mkuu kama Sokoine, sio Edward Lowassa aliye iba mapene,
Mungu nipe mwandishi wa habari kama Mwangosi, njo uwachukue polisi watuondolee mikosi
Mungu nipe nembo kama machalii, sio wakawaka ya masoro fulani,
REPEAT CHORUS TILL FADE.
Artist : KAPUKU DIGITAL a.k.a Mitishamba Boy.
Track Name : Mungu Nipe A . TOWN
SOURCE : www.Machalii.com
 
You still have a long way to go katika ushairi,,unaandika kwa kutumia viunganishi kama si na kama,,,ifanye mistari iwe deep na 16 bars au ka pumz unayo piga no chorus or 1 chorus with no bridges and 32 bars
 
Back
Top Bottom