Habari za asubuhi wajameni
Nimekuwa mpenzi msikilizaji wa kipindi gospel hapa wasafi fm ila leo naona huyu dj kaja kujifunza kupiga vyombo hadi radha ya mziki inapotea
Najua mpo humu ndani...
Nikikumbuka kipindi cha kizazi cha dhahabu katika mziki wa bongo fleva(kwa mtazamo wangu) kuna wasanii wengi walifanya vitu vikubwa na vya maana sana.
Moja kati ya wasanii waliowahi kutamba na...
Wadau wa ngumi kuelekea pambano la hassan mwakinyo huyu bondia toka kilimanjaro kimaru bruno, wamemuokotea wapi mbona kama wamemchukua kwenda kitudhalilisha tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
NYEMO CHILONGANI.
SEHEMU YA 01
Wasichana zaidi ya kumi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam walinyamaza ghafla huku macho yao yakimwangalia kijana mmoja ambaye alikuwa akipita mbele yao.
Mwendo...