Assalam alaykum watanzania wenzangu
Nimekuwa mfuatiliaji wa muziki. Kwangu muziki una thamani yake ya kipekee. Kwani naelewa wazi kuwa una nguvu kubwa sana katika kufikisha ujumbe. Ikiwa una...
Habari wakuu[emoji113]
Naomba ambae atakua na nyimbo zifuatazo anisaidie kwani nazitafuta sana na cjazipata.
1-David Sengo-umejawa na rehema
2-David Sengo-who is greater than Jehova
3-kinondon...
Habari wakuu[emoji113]
Naomba mwenye nyimbo za David Dengo ziitwazo
umejawa na rehema na Who is greater than jehova Anitumie
Pia naomba nyimbo ya kinondoni revival choir iitwayo Maombi ya Yabesi...
Leo ktk pita pita zangu WhatsApp status video nikamwona cousin wangu kaweka wimbo huu wa wanamziki wa Gospel wanaitwa "Makoma"
Doh ulinikosha sana naupendaje alafu hauchuji unaitwa Butu na Moyi...
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu Kwa mara nyingine tena yule mwanadada mwenye sauti nyororo na ya kuvutia ameachia Jisong lake jipya linaloenda kwa jina la Haachi.
Kwa harakaharaka tu toka...
jaman ebu nisaidieni yani nipo kwenye familia toka nimeolewa cjawah chepuka walai nife kesho....lakini huyo mwenzangu anawivu mpaka naumwa nakonda yan nikiwa kazini anataka kila baada ya saa...
Baada ya watu kusema nyimbo za diamond anazoproduce laizer zinakua na ubora mdogo kulingana na level yake naona kaamua kubadirisha producer kwenye African beauty ft omarion!!
Diamond sasa hao...
Series mpya ya kiswahili! ina hadithia mahusiano ya binti Hariri na mchumba wake Aaron. Familia yake Aaron hawamtaki Hariri na wamempangia msichana mwingine wa kuoa! checki hapa kupata episode...
Tamthilia ya MICHAKATO inaonyeshwa CLOUDS TV kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa Saa 2.00 Usiku na kurudiwa kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa Saa 5.00 Asubuhi.
Tamthilia hii ya MICHAKATO ni...
College Top Model na Actor Faraja Thomas ni mmoja kati ya watanzania wanne ambao wataiwakilisha Tanzania kwenye Reality Tv show ambayo inategemewa kuanza mwanzoni mwa mwezi wa nne huko nchini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.